Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadau elimu walia na serikali

WADAU wa elimu nchini wameilaumu serikali kwa kubadilisha mara kwa mara viwango vya ufaulu bila kufanya tathimini ya kutosha, mpango uliofananishwa na  upanuzi wa magoli ili kumwezesha kila mchezaji kufunga...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wadau, serikali wana mengi ya kufanya kunusuru elimu

>Hii ni wiki ya maadhimisho ya elimu. Wadau wa sekta hiyo kuanzia ngazi ya wilaya na mikoa wamekuwa wakikutana kujadili hatima ya elimu nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

WADAU WA ELIMU WAITAKA SERIKALI KUPANDISHA WASTANI WA UFAULU

Kaimu Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyuo na shule(TAMONGSCO) Taifa, Leonard Mao, akizungumza katika mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama hicho Kanda ya Mbeya uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Saut tawi la Mbeya.Mwenyekiti wa Kanda ya Mbeya wa Tamongsco, Mzee Asanga akitoa utambulisho katika mkutano huo.Wamiliki wa Shule na Vyuo, Wakuu wa Shule na Mameneja wakiwa kwenye mkutano mkuu wa Mwaka wa Tamongsco Kanda ya Mbeya.CHAMA cha wamiliki wa vyuo na shule zisizokuwa za Serikali(TAMONGSCO)...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI NA WADAU WAJA NA ELIMU JUU YA CORONA KWA WATOTO

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara Kuu
ya Maendeleo ya Jamii) kwa kushirikiana na Mtandao wa Malezi, Makuzi
na Maendeleo ya Watoto Wadogo Tanzania (TECDEN), Taasisi ya Chakula na
Lishe, Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Watoto (UNICEF)
wameandaa mkakati wa kufikisha ujumbe kwa watoto kuhusu kujikinga na
maambukizi ya Virusi vya Corona.
Akizungumza leo katika kikao kazi kilichowakutanisha wadau hao jijini
Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali na wadau mbalimbali kuendelea kutoa elimu kwa makundi yaliyo katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU

NACP -1

Mkurugenzi wa Udhibiti na Uhakiki wa Wizara ya Afya  Dkt.Mohamed Ally Mohamed akionyesha moja ya chapisho lenye taarifa za tafiti za watu walio katika makundi maalum na hali ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi  katika mikoa 7 lililotambulishwa jana jijini Dar es salaam.

Na Aron Msigwa – MAELEZO

SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya kutoa elimu kwa makundi ya watu wanaotumia dawa za kulevya na wale wanaojihusisha na biashara ya ngono katika maeneo...

 

10 years ago

GPL

NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI AWATUNUKU VYETI WADAU WA ELIMU

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenester Mhagama akiongea na Global TV Online leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar wakati wa kutunuku vyeti wadau wa elimu. Wanahabari wakimhoji Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Rosemary Lulabuka baada ya zoezi la kutunuku vyeti wadau wa elimu leo kwenye Hoteli ya…

 

10 years ago

Habarileo

NCCR-Mageuzi bado‘walia’ na Tume ya Elimu

Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James MbatiaCHAMA cha NCCR-Mageuzi kimeshauri Serikali kuunda Tume ya Kudumu ya Elimu itakayoshughulikia pamoja na mambo mengine, ubora wa elimu na kudhibiti mambo yote yanayosababisha kutetereka kwa ubora huo.

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa walia kuibiwa sera yao ya elimu

suzan-lyimo-april25-2013Na Arodia Peter, Dodoma

KAMBI Rasmi ya Upinzani bungeni imesema Serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeiba sera yake ya elimu inayozungumzia elimu bure kuanzia shule za msingi hadi chuo kikuu.

Mbali na hilo, wapinzani wameonya makada wa chama hicho wanaotangaza nia ya kuwania urais kuacha kutumia sera hiyo ya upinzani kwa sababu walikuwa Serikalini tangu uhuru na wameshindwa kufanya hivyo.

Akiwasilisha hotuba ya kambi hiyo bungeni jana kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Msemaji...

 

9 years ago

StarTV

Wachimbaji wadogo walia na Serikali kwa uvamizi maeneo ya machimbo

Wachimbaji Wadogo katika kijiji cha Samina wamedai kuwa Serikali haiwajali na imekuwa ikiwapa ahadi zisizokamilika hali iliyochangia wachimbaji hao kuvamia maeneo hatarishi na kujitafutia riziki.

Wakiongea na Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa wamesema kuwa waliahidiwa kutafutiwa maeneo ya uchimbaji lakini maeneo waliyopewa hayakuwa na dhahabu hali iliyokatisha tamaa na kuchangia kuongezeka kwa vijana wasio na ajira

Mkuu wa Mkoa Fatma Mwassa amewapa nafasi wachimbaji wataje maeneo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau kujadili changamoto za elimu

WADAU wa elimu nchini wameandaa kongamano litakalojadili changamoto katika sekta ya elimu na jinsi gani ya kukabiliana nazo. Kongamano hilo litakalofanyika leo Ubungo Plaza, Dar es Salaam, litajumuisha walimu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani