Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa walia kuibiwa sera yao ya elimu

suzan-lyimo-april25-2013Na Arodia Peter, Dodoma

KAMBI Rasmi ya Upinzani bungeni imesema Serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeiba sera yake ya elimu inayozungumzia elimu bure kuanzia shule za msingi hadi chuo kikuu.

Mbali na hilo, wapinzani wameonya makada wa chama hicho wanaotangaza nia ya kuwania urais kuacha kutumia sera hiyo ya upinzani kwa sababu walikuwa Serikalini tangu uhuru na wameshindwa kufanya hivyo.

Akiwasilisha hotuba ya kambi hiyo bungeni jana kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Msemaji...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mratibu wa Elimu Kigamboni; Sera mpya ya elimu yahitaji maandalizi kwanza

DSC_0103

Kaimu Afisa Elimu Manispaa ya Temeke, Angelina Ngasazwa akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi madawati 50 na majengo mawili yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO katika shule ya msingi Kibugumo iliyopo Kigamboni jijini Dar hivi karibuni.

Na modewji blog team

Sera mpya ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 2014, iliyozinduliwa na Rais Dk. Jakaya Kikwete, Februari 13 mwaka huu, wadau mbalimbali wameanza kuonyesha wasiwasi wao juu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wadau elimu walia na serikali

WADAU wa elimu nchini wameilaumu serikali kwa kubadilisha mara kwa mara viwango vya ufaulu bila kufanya tathimini ya kutosha, mpango uliofananishwa na  upanuzi wa magoli ili kumwezesha kila mchezaji kufunga...

 

9 years ago

Mwananchi

Wabunge wa Ukawa walia na Spika

Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea amesema atamfikisha mahakamani Spika wa Bunge, Job Ndugai kwa kuvunja kanuni baada ya kuwaingiza polisi ndani ya ukumbi wa chombo hicho.

 

9 years ago

Mtanzania

UVCCM walia na Ukawa kumsusa Magufuli

hamduNA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM

UMOJA wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), umesikitishwa na vitendo vya  wabunge wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) bungeni muda mfupi kabla ya Rais Dk. Magufuli kulifungua rasmi Bunge la 11 mwishoni mwa wiki.

Wabunge hao wa Ukawa waliwazomea baadhi ya viongozi walioongozana na Rais Dk. John Magufuli na kuamriwa  na Spika wa Bunge Job Ndugai watoke nje.

Wabunge hao wa upinznai walifanya hivyo kama hatua ya   kutokubaliana na   kufutwa  ...

 

10 years ago

Habarileo

NCCR-Mageuzi bado‘walia’ na Tume ya Elimu

Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James MbatiaCHAMA cha NCCR-Mageuzi kimeshauri Serikali kuunda Tume ya Kudumu ya Elimu itakayoshughulikia pamoja na mambo mengine, ubora wa elimu na kudhibiti mambo yote yanayosababisha kutetereka kwa ubora huo.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

JK ALIVYOZINDUA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 katika hafla iliyofanyika katika shule ya sekondari Majani ya Chai, Kipawa jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Februari 13, 2015. Kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt.Shukuru Kawambwa, na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck SadikRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi Dkt.Shukuru Kawambwa, Naibu Waziri wa elimu na ufundi Kassim Majaliwa wakiangalia jaribio la...

 

10 years ago

Mwananchi

Sera ya Elimu safi, sasa utekelezaji

Rais Jakaya Kikwete juzi alizindua rasmi Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014 ambayo inatarajiwa kuwa dira ya maendeleo ya elimu kwa kipindi cha miaka kadhaa ijayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Sera mbovu kiini kuporomoka elimu

Wadau wa elimu nchini wameichambua elimu ya Tanzania na kueleza kuwa, tatizo la kuporomoka kwa elimu ni matokeo ya sera na mifumo mibovu na si uhaba wa miundombinu kama madawati, vitabu au majengo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani