Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NCCR-Mageuzi bado‘walia’ na Tume ya Elimu

Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James MbatiaCHAMA cha NCCR-Mageuzi kimeshauri Serikali kuunda Tume ya Kudumu ya Elimu itakayoshughulikia pamoja na mambo mengine, ubora wa elimu na kudhibiti mambo yote yanayosababisha kutetereka kwa ubora huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,Letcia Mosore (katikati)akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani)  juu  ya ukiukaji wa katiba ya chama hicho kumvua madaraka iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi NCCR-Mageuzi ,Hamlyn Erasto,Kushoto ni Kamishina Mkoa wa Ruvuma,Mchatta Mchatta.Baadhi ya waandishi wakiwa katika mkutano huo.

Na Chalila Kibuda

AALIYEKUWA  Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...

 

9 years ago

Habarileo

NCCR Mageuzi yaongezewa majimbo

CHAMA cha NCCR Mageuzi kimesema katika mgawanyo wa majimbo yaliyofanywa na vyama vinavyounda umoja wa katiba (Ukawa) kimeongezewa majimbo mengine matano na hivyo kufanya chama hicho kuwa na majimbo 19 ambako watasimamisha wagombea.

 

11 years ago

TheCitizen

NCCR-Mageuzi gets new secretary-general

Mr Mosena Nyambabe has been elected NCCR-Mageuzi Secretary-General. Mr Nyambabe was elected by the party’s Central Committee when it met on Sunday.

 

10 years ago

Mtanzania

NCCR-Mageuzi yapuliza kipenga

mosenaJonas Mushi na Adamu Mkwepu, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetoa ratiba kwa wanachama wake kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Ratiba hiyo ilitangazwa jana na Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi, Mosena Nyambabe, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya chama hicho.
Alisema wanachama wenye sifa kwa mujibu wa katiba ya NCCR- Mageuzi pamoja na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wana haki ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Makamu mwenyekiti NCCR - Mageuzi asimamishwa

Makamu Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, Leticia Mosore amesimamishwa uongozi kutokana na kukiuka taratibu na madai ya kushirikiana na CCM kukihujumu chama hicho.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali: NCCR Mageuzi fuateni taratibu

>Siku moja baada ya Chama cha NCCR-Mageuzi kuitaka serikali kumpa ulinzi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kutokana na vitisho anavyopata baada ya kusimama  Bungeni na kutaka suala la upotevu wa fedha Escrow lichunguzwe, Serikali imesema ni lazima chama hicho kifuate taratibu zinazotakiwa ndipo waweze kupatiwa ulinzi wanaoutaka.

 

5 years ago

The Citizen Daily

NCCR-Mageuzi's fate in Ukawa to be known next week

NCCR-Mageuzi's fate in Ukawa to be known next week  The Citizen Daily

 

10 years ago

Habarileo

Mbatia: NCCR-Mageuzi haitajiondoa Ukawa

Mwenyekiti wa NCCR - Mageuzi, James Mbatia.CHAMA cha NCCR - Mageuzi kimesema hakitajitoa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa vile lengo lake si mgawanyo wa madaraka bali Katiba.

 

10 years ago

Michuzi

NCCR-MAGEUZI WASHAMBULIA JIMBO LA VUNJO

Mwenyekiti wa kitengo cha kina mama Jimbo la unjo na Katibu wa Chama cha NCCR Mageuzi kata ya Kilema, Leah Mudy akizungmza wakati wa mkutano uliofanyika katika eneo la Lyamombikatika jimbo la Vunjo.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi jimbo la Vunjo ,Dauson Lyimo akizungumza katika mkutano huo.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani