JK ALIVYOZINDUA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 katika hafla iliyofanyika katika shule ya sekondari Majani ya Chai, Kipawa jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Februari 13, 2015. Kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt.Shukuru Kawambwa, na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadik
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi Dkt.Shukuru Kawambwa, Naibu Waziri wa elimu na ufundi Kassim Majaliwa wakiangalia jaribio la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Feb
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Tamu na chungu ya sera mpya ya elimu na mafunzo ya 2014
10 years ago
Vijimambo06 Mar
Wizara ya Mambo ya Nje yajipanga kutekeleza Sera ya Elimu n Mafunzo ya Mwaka 2014
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Mratibu wa Elimu Kigamboni; Sera mpya ya elimu yahitaji maandalizi kwanza
Kaimu Afisa Elimu Manispaa ya Temeke, Angelina Ngasazwa akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi madawati 50 na majengo mawili yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO katika shule ya msingi Kibugumo iliyopo Kigamboni jijini Dar hivi karibuni.
Na modewji blog team
Sera mpya ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 2014, iliyozinduliwa na Rais Dk. Jakaya Kikwete, Februari 13 mwaka huu, wadau mbalimbali wameanza kuonyesha wasiwasi wao juu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq*NNJVtmwykCmYPAQ68AsKZ12UiDk3qXzF0nc4hlB48oPujWVSVwFs3xI6eN3aprUePMexn4aK4vq48XePikaQr/IMG20141117WA0006.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI AWATUNUKU VYETI WADAU WA ELIMU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HuDNA2JjJDU/VTvhmgWtPBI/AAAAAAAHTRA/J3PD_A_u7Zg/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore
Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, unalenga kuendeleza wanafunzi katika kuwapatia stadi muhimu zinazohitajika kwa maendeleo ya nchi.
Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, umeweka mkazo zaidi katika kutoa mafunzo ya ufundi stadi ambayo yanatoa ujuzi kwa mhitimu kuweza kufanya kazi katika ...
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Mafunzo yatasaidia utekelezaji wa sera
SERIKALI imesema mafunzo kuhusu kiongozi cha Mwalimu Mkuu yatasaidia kutekeleza sera ya kitaifa na kimataifa ya kukuza uchumi na kupunguza umasikini.
Akifungua mafunzo kwa walimu wakuu na waratibu elimu kata katika Wakala wa Maendeleo ya Elimu (Adem), Bagamoyo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki, kwa niaba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Profesa Sifuni Mchome, alisema malengo hayo yanaweza kufikiwa kupitia usimamizi wa elimu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QahIX3juL54/UvpzZ-5CgTI/AAAAAAAFMbo/6THt2meYwOg/s72-c/unnamed+(100).jpg)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA OMAN KUHUSU ELIMU YA JUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-QahIX3juL54/UvpzZ-5CgTI/AAAAAAAFMbo/6THt2meYwOg/s1600/unnamed+(100).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tPJN3F0IlaA/VTwZIrTHpjI/AAAAAAAHTUI/z47uxcm8tTs/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore