Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamu na chungu ya sera mpya ya elimu na mafunzo ya 2014

Serikali imezindua rasmi sera mpya ya elimu na mafunzo, ambayo ama kweli inakusudia kuleta mabadiliko makubwa katika mfumo wa elimu nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

Wizara ya Mambo ya Nje yajipanga kutekeleza Sera ya Elimu n Mafunzo ya Mwaka 2014

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof.Sifuni Mchome akiwasilisha mada kuhusu Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 kwa Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika warsha fupi iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam tarehe 06 Machi, 2015. Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirkiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya (kushoto) akiwa na Mkurugenzi Idara ya...

 

10 years ago

Vijimambo

JK ALIVYOZINDUA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 katika hafla iliyofanyika katika shule ya sekondari Majani ya Chai, Kipawa jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Februari 13, 2015. Kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt.Shukuru Kawambwa, na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck SadikRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi Dkt.Shukuru Kawambwa, Naibu Waziri wa elimu na ufundi Kassim Majaliwa wakiangalia jaribio la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mratibu wa Elimu Kigamboni; Sera mpya ya elimu yahitaji maandalizi kwanza

DSC_0103

Kaimu Afisa Elimu Manispaa ya Temeke, Angelina Ngasazwa akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi madawati 50 na majengo mawili yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO katika shule ya msingi Kibugumo iliyopo Kigamboni jijini Dar hivi karibuni.

Na modewji blog team

Sera mpya ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 2014, iliyozinduliwa na Rais Dk. Jakaya Kikwete, Februari 13 mwaka huu, wadau mbalimbali wameanza kuonyesha wasiwasi wao juu...

 

10 years ago

GPL

BETHIDEI YA WASTARA TAMU, CHUNGU

Stori: Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha
BETHIDEI ya msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma imegeuka kuwa maumivu baada ya kumkumbuka aliyekuwa mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ ukumbini. Shabiki akimpongeza Wastara kwa kumbeba mgongoni. Sherehe hiyo ya kuzaliwa ya nyota huyo ilifanyika wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Dar West uliopo Tabata jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo...

 

11 years ago

Mwananchi

Tamu na chungu msimu wa 2013/14

Katika Ligi Kuu msimu wa 2013/2014 makocha 10 wa klabu tofauti walitimuliwa kwa sababu ya matokeo mabovu.

 

10 years ago

Mwananchi

Tamu na chungu ya Malinzi TFF

Siku hazigandi, kwani ni mwaka sasa tangu uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), chini ya Rais Jamal Malinzi uingie madarakani kwa kipindi cha miaka minne.

 

10 years ago

Mwananchi

Tamu, chungu ya kuhamia mfumo wa matangazo ya dijitali

Tanzania jana imeungana na jumuiya ya kimataifa kuadhimisha uzimaji rasmi wa mfumo wa matangazo ya analojia, huku ikiwa ni miongoni mwa nchi za kwanza katika nchi zilizo kusini ya Jangwa la Sahara.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Chungu, tamu’ ya maisha ya kila siku ya Maria, Consolata

Ni pacha walioungana, wasema hubaki nyumbani muda mwingi kwa kukosa usafiri wa kuwapeleka shuleni na ndoto yao ni  kuwa makatibu muhtasi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani