Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BETHIDEI YA WASTARA TAMU, CHUNGU

Stori: Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha
BETHIDEI ya msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma imegeuka kuwa maumivu baada ya kumkumbuka aliyekuwa mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ ukumbini. Shabiki akimpongeza Wastara kwa kumbeba mgongoni. Sherehe hiyo ya kuzaliwa ya nyota huyo ilifanyika wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Dar West uliopo Tabata jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tamu na chungu msimu wa 2013/14

Katika Ligi Kuu msimu wa 2013/2014 makocha 10 wa klabu tofauti walitimuliwa kwa sababu ya matokeo mabovu.

 

10 years ago

Mwananchi

Tamu na chungu ya Malinzi TFF

Siku hazigandi, kwani ni mwaka sasa tangu uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), chini ya Rais Jamal Malinzi uingie madarakani kwa kipindi cha miaka minne.

 

10 years ago

Mwananchi

Tamu, chungu ya kuhamia mfumo wa matangazo ya dijitali

Tanzania jana imeungana na jumuiya ya kimataifa kuadhimisha uzimaji rasmi wa mfumo wa matangazo ya analojia, huku ikiwa ni miongoni mwa nchi za kwanza katika nchi zilizo kusini ya Jangwa la Sahara.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hair Bleaching’: Mtindo wa nywele wenye tamu, chungu

Bleaching au kupaka rangi nywele ni mtindo maarufu kwa vijana wenye umri kati ya miaka 18-25 wa jinsi zote.

 

10 years ago

Mwananchi

Tamu na chungu ya sera mpya ya elimu na mafunzo ya 2014

Serikali imezindua rasmi sera mpya ya elimu na mafunzo, ambayo ama kweli inakusudia kuleta mabadiliko makubwa katika mfumo wa elimu nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Chungu, tamu’ ya maisha ya kila siku ya Maria, Consolata

Ni pacha walioungana, wasema hubaki nyumbani muda mwingi kwa kukosa usafiri wa kuwapeleka shuleni na ndoto yao ni  kuwa makatibu muhtasi

 

9 years ago

GPL

WASTARA: PENZI TAMU NILILIPATA KWA SAJUKI TU!

Imelda Mtema NASEMA ukweli kabisa! Staa wa ‘grade one’ kunako filamu za Bongo, Wastara Juma ameweka wazi kuwa, tangu azaliwe, penzi pekee alilowahi kulifurahia ni la aliyekuwa mumewe na msanii mwenzake, marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’. Staa wa ‘grade one’ kunako filamu za Bongo, Wastara Juma. Akichonga na Amani juzi, Wastara alifunguka kuwa, Sajuki ndiye mtu pekee aliyekuwa akimwelewa na kumpa mapenzi ya...

 

10 years ago

GPL

WASTARA ASHEREHEKEA ‘BETHIDEI’ YAKE KWA SHAMRA KIBAO

Keki iliyoandaliwa kwa ajili ya Wastara. Meneja wa Wastara, Bondi Bin Sinan, akimpa zawadi ya kuzaliwa kwake. Wastara akiwa na mwanaye wa pili aitwaye Farees.…

 

10 years ago

GPL

UTAMU NA CHUNGU YA PENZI NI 50%

Kama ilivyo ada wapenzi wasomaji wa safu hii karibuni kwa Jumanne nyingine katika kuelimishana na kujuzana kuhusu uhusianao na maisha.Kabla sijaanza mada ya wiki hii napenda kuwakumbusha mada ya wiki iliyopita kutamani au kuwa na mtu anayekufaa wakati wewe mwenye hujajitathmini kama unamfaa. Ni matumaini yangu wasomaji wangu mtakuwa mmejifunza mengi kuhusu mada iliyopita, leo nitazungumza nanyi kuhusu utamu na uchungu wa penzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani