Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamu na chungu msimu wa 2013/14

Katika Ligi Kuu msimu wa 2013/2014 makocha 10 wa klabu tofauti walitimuliwa kwa sababu ya matokeo mabovu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BETHIDEI YA WASTARA TAMU, CHUNGU

Stori: Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha
BETHIDEI ya msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma imegeuka kuwa maumivu baada ya kumkumbuka aliyekuwa mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ ukumbini. Shabiki akimpongeza Wastara kwa kumbeba mgongoni. Sherehe hiyo ya kuzaliwa ya nyota huyo ilifanyika wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Dar West uliopo Tabata jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo...

 

10 years ago

Mwananchi

Tamu na chungu ya Malinzi TFF

Siku hazigandi, kwani ni mwaka sasa tangu uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), chini ya Rais Jamal Malinzi uingie madarakani kwa kipindi cha miaka minne.

 

10 years ago

Mwananchi

Tamu, chungu ya kuhamia mfumo wa matangazo ya dijitali

Tanzania jana imeungana na jumuiya ya kimataifa kuadhimisha uzimaji rasmi wa mfumo wa matangazo ya analojia, huku ikiwa ni miongoni mwa nchi za kwanza katika nchi zilizo kusini ya Jangwa la Sahara.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Chungu, tamu’ ya maisha ya kila siku ya Maria, Consolata

Ni pacha walioungana, wasema hubaki nyumbani muda mwingi kwa kukosa usafiri wa kuwapeleka shuleni na ndoto yao ni  kuwa makatibu muhtasi

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hair Bleaching’: Mtindo wa nywele wenye tamu, chungu

Bleaching au kupaka rangi nywele ni mtindo maarufu kwa vijana wenye umri kati ya miaka 18-25 wa jinsi zote.

 

10 years ago

Mwananchi

Tamu na chungu ya sera mpya ya elimu na mafunzo ya 2014

Serikali imezindua rasmi sera mpya ya elimu na mafunzo, ambayo ama kweli inakusudia kuleta mabadiliko makubwa katika mfumo wa elimu nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yaliyojiri mechi ya watani kufunga msimu 2013/2014 

PAZIA la Ligi Kuu Vodacom 2013/14 lilifungwa juzi kwa timu zote 14 kushuka katika viwanja saba tofauti, huku watani wa jadi, Simba na Yanga wakimalizia kwa sare ya bao 1-1...

 

10 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA MSIMU NA KUFUNGUA MSIMU MPYA

Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Tumbaku ya Tanzania Tobacco Procesing Limited (TTPL) na Tanzania Leaf Tobacco Company (TLTC) David Crowhorst Akitoa hotuba yake wakati wa sherehe za kumaliza msimu uliopita na kukaribisha msimu mwingine pamoja na kutoa zawadi kwa wafanyakazi waliotumikia kampuni hizo kwa muda mrefu pamoja na wafanyakazi bora zilizofanyika Kiwandani hapo.Katika Hotuba yake Mkurugenzi Huyo alisema Makampuni hayoyamesaidia Mkoa wa Morogoro kuanza kuinuka kiuchumi kutokana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Walipachika mabao msimu uliopita, msimu huu chali

Ligi Kuu Tanzania Bara imesimama kwa muda wa mwezi mmoja huku timu zote zikiwa zimeshacheza michezo saba na Mtibwa Sugar ndiyo inaongoza msimamo wa ligi hiyo ikiwa na pointi 15.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani