Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walipachika mabao msimu uliopita, msimu huu chali

Ligi Kuu Tanzania Bara imesimama kwa muda wa mwezi mmoja huku timu zote zikiwa zimeshacheza michezo saba na Mtibwa Sugar ndiyo inaongoza msimamo wa ligi hiyo ikiwa na pointi 15.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Messi:Jeraha liliniathiri msimu uliopita

Mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi amekiri kwamba hakujisikia vyema baada ya kukabiliwa na jeraha.

 

11 years ago

GPL

Tambwe amfikia mfungaji bora msimu uliopita

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe . Na Phillip Nkini
ZIKIWA zimebaki mechi saba ili Ligi Kuu ya Tanzania Bara imalizike, mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, ameshafikisha idadi ya mabao yaliyofungwa na Kipre Tchetche, msimu uliopita. Kipre, msimu uliopita alikuwa mfungaji bora baada ya kufunga mabao 17 kwenye ligi kuu, lakini mabao mawili ambayo Tambwe alifunga jana yameshamfanya afikie idadi hiyo. Hii ni rekodi mpya...

 

9 years ago

Mwananchi

Kadi 14, mabao 12 yafungua msimu

Ligi Kuu Tanzania Bara ilianza mwishoni mwa wiki, huku bingwa mtetezi Yanga ikiongoza kwa pointi tatu, sawa na timu sita zenye pointi tatu pia.

 

10 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA MSIMU NA KUFUNGUA MSIMU MPYA

Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Tumbaku ya Tanzania Tobacco Procesing Limited (TTPL) na Tanzania Leaf Tobacco Company (TLTC) David Crowhorst Akitoa hotuba yake wakati wa sherehe za kumaliza msimu uliopita na kukaribisha msimu mwingine pamoja na kutoa zawadi kwa wafanyakazi waliotumikia kampuni hizo kwa muda mrefu pamoja na wafanyakazi bora zilizofanyika Kiwandani hapo.Katika Hotuba yake Mkurugenzi Huyo alisema Makampuni hayoyamesaidia Mkoa wa Morogoro kuanza kuinuka kiuchumi kutokana na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Magari yazuiliwa Borno msimu huu.

Marufuku magari kutembea Borno,nchini Nigeria msimu huu wa sikukuu za mwishoni mwa mwaka kujihami na shambulio la kigaidi .

 

10 years ago

Mwananchi

Mavuno zao la tumbaku kuporomoka msimu huu

Mavuno ya zao la Tumbaku mkoani Tabora kwa msimu huu huenda yakashuka ikilinganishwa na msimu uliopita wa 2013/2014.

 

9 years ago

Mwananchi

Tuiheshimu ligi yetu ya soka msimu huu

Mbio za kusaka bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara zinaanza, Septemba 12 na 13 kwa timu zote 16 kuumana kwenye viwanja tofauti.

 

11 years ago

GPL

Kavumbagu: Piga ua, Yanga bingwa msimu huu

Mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga, Mrundi Didier Kavumbagu. Na Hans Mloli
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Yanga, Mrundi Didier Kavumbagu, ametamka wazi kwamba hata iweje ubingwa wa ligi unatua Jangwani kwa mara nyingine msimu huu. Akizungumza na Championi Jumamosi, Kavumbagu alisema kwamba hakuna ubishi kwamba mabingwa ni wao kuanzia matokeo bora waliyokuwa nayo ya ligi mpaka kikosi kamili walichokuwa nacho msimu huu. Alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani