Tambwe amfikia mfungaji bora msimu uliopita

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe . Na Phillip Nkini ZIKIWA zimebaki mechi saba ili Ligi Kuu ya Tanzania Bara imalizike, mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, ameshafikisha idadi ya mabao yaliyofungwa na Kipre Tchetche, msimu uliopita. Kipre, msimu uliopita alikuwa mfungaji bora baada ya kufunga mabao 17 kwenye ligi kuu, lakini mabao mawili ambayo Tambwe alifunga jana yameshamfanya afikie idadi hiyo. Hii ni rekodi mpya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
Pluijm: Tambwe atakuwa mfungaji bora
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Walipachika mabao msimu uliopita, msimu huu chali
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Messi:Jeraha liliniathiri msimu uliopita
10 years ago
GPL
Mfungaji bora Caf anakuja Yanga
9 years ago
Bongo509 Nov
Samatta awa mfungaji bora, TP Mazembe yachukua ubingwa wa Afrika

Klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imechukua kombe la michuano ya mabingwa wa Afrika baada ya kuifunga mabao 2-0 USM Alger ya Algeria kwenye fainali zilizochezwa jana mjini Lubumbashi.
Samatta alifunga bao moja kwenye mechi hiyo na kufikisha mabao saba yaliyomfanya kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo.
Samatta aliyezaliwa Januari 7, 1992 anacheza kama mshambuliaji kwenye klabu hiyo yenye makazi yake mjini Lubumbashi.
Mchezaji huyo anajulikana kutokana na magoli saba...
11 years ago
GPL
Kavumbagu abariki ufungaji bora kwa Tambwe
10 years ago
Mwananchi11 May
Kikosi bora cha Ligi Kuu Bara msimu wa 2014/15
10 years ago
Africanjam.Com
KIKOSI BORA CHA UEFA CHAMPIONS LEAGUE MSIMU HUU 2015

Goal-keepers: Marc-Andre ter Stegen (Barcelona), Gianluigi Buffon (Juventus)Defenders: Branislav Ivanovic (Chelsea), Gerard Pique (Barcelona), Javier Mascherano (Barcelona), Giorgio Chiellini (Juventus), Jordi Alba (Barcelona)
Mid-fields: Ivan Rakitic (Barcelona), Sergio Busquets (Barcelona), Andres Iniesta (Barcelona), Claudio Marchisio (Juventus), Toni Kroos (Real Madrid),Andrea Pirlo (Juventus)Strikers:Luis Suarez (Barcelona), Alvaro Morata (Juventus), Neymar (Barcelona), Cristiano Ronaldo...