Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfungaji bora Caf anakuja Yanga

Mshambuliaji nyota wa AS Vita, Firmin Ndombe Mubele. Na Mwandishi Wetu
KLABU kongwe ya Yanga imesisitiza lazima ipate mshambuliaji wa kucheka na nyavu na zoezi hilo litakamilika kabla ya Desemba 15, siku ya mwisho ya dirisha dogo.Yanga imetega rada zake katika nchi zaidi ya nne, lakini inaonekana nguvu imeanza kwa mshambuliaji nyota wa AS Vita, Firmin Ndombe Mubele ambaye ni mfungaji bora wa Ligi ya Mabingwa Afrika, akifunga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Pluijm: Tambwe atakuwa mfungaji bora

Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Na Omary Mdose
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amewashangaa wanaosema kuwa mshambuliaji wake, Mrundi, Amissi Tambwe hawezi kuwa mfungaji bora katika Ligi Kuu Bara, msimu huu. Tambwe ambaye amejiunga na Yanga akitokea Simba ikiwa ni siku moja kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa Desemba 15, mwaka jana, alikuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu...

 

11 years ago

GPL

Tambwe amfikia mfungaji bora msimu uliopita

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe . Na Phillip Nkini
ZIKIWA zimebaki mechi saba ili Ligi Kuu ya Tanzania Bara imalizike, mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, ameshafikisha idadi ya mabao yaliyofungwa na Kipre Tchetche, msimu uliopita. Kipre, msimu uliopita alikuwa mfungaji bora baada ya kufunga mabao 17 kwenye ligi kuu, lakini mabao mawili ambayo Tambwe alifunga jana yameshamfanya afikie idadi hiyo. Hii ni rekodi mpya...

 

9 years ago

Bongo5

Samatta awa mfungaji bora, TP Mazembe yachukua ubingwa wa Afrika

Mbwana

Klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imechukua kombe la michuano ya mabingwa wa Afrika baada ya kuifunga mabao 2-0 USM Alger ya Algeria kwenye fainali zilizochezwa jana mjini Lubumbashi.

Mbwana
Samatta alifunga bao moja kwenye mechi hiyo na kufikisha mabao saba yaliyomfanya kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo.

Samatta aliyezaliwa Januari 7, 1992 anacheza kama mshambuliaji kwenye klabu hiyo yenye makazi yake mjini Lubumbashi.

Mchezaji huyo anajulikana kutokana na magoli saba...

 

9 years ago

BBCSwahili

Samatta katika orodha ya 3 bora ya CAF

Mbwana Samatta ametajwa katika orodha ya wachezaji watatu bora na shirikisho la soka la Afrika CAF wanaocheza spoka barani Afrika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Samatta kuwania tuzo ya mchezaji bora wa CAF

Samatta anayechezea TP Mazembe ametajwa miongoni mwa wachezaji 24 watakaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika anayechezea soka barani.

 

9 years ago

Bongo5

Mbwana Samatta aingia orodha ya 3 bora ya CAF

samatta3-e1437380737934

Mshambuliaji wa Taifa Stars ya Tanzania na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mbwana Samatta ametangazwa katika orodha ya wachezaji watatu bora na shirikisho la soka la Afrika CAF wanaocheza soka barani Afrika.

samatta3-e1437380737934

Samatta anashindana na wachezaji wengine wawili Baghdad Boundjah wa Algeria na Etoile du Sahel na Kipa machachari wa TP Mazembe ya DR Congo Robert Kidiaba.

Mshindi atachaguliwa na makocha wa timu za taifa na kutangazwa katika dhifa maalum Januari tarehe 7 mwakani.

CAF...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ATEULIWA KUTUMBUIZA TUZO ZA MWANASOKA BORA CAF

Msani Nasib Abdul ‘Diamond’ amechaguliwa kuwa mmoja wa wasanii watakaotumbuiza kwenye hafla ya utoaji tuzo za mwanasoka bora Afrika 2014.Diamond atatumbuiza katika tuzo hizo ambazo wachezaji 25 nyota barani Afrika wamechaguliwa kugombea tuzo hizo. Hafla hiyo itafanyika Januari 8, 2015 jijini Lagosi Nigeria. Mwanasoka Bora, Yaya Toure raia wa Ivory anayeitumikia Manchester City ya England ni kati ya watakaowania nafasi hiyo. 



Wanaowania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika:


1.    Ahmed...

 

9 years ago

Dewji Blog

CAF yatangaza majina ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji Bora Afrika 2015

Andre-Dede-Ayew

Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo za Caf mwaka huu, Andrew Ayew.

Shirikisho la Soka barani Africa limeyataja majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika kwa mwaka wa 2015. Katika majina hayo pia ameorodheshwa mchezaji bora kwa mwaka 2014, Mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Mnachester City.

Kwa upande wa taifa nchi ya Algeria na Ivory Coast yamefanikiwa kuingiza wachezaji wawili kila moja kwa upande wa Algeria wachezaji ambao wameingia katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani