Pluijm: Tambwe atakuwa mfungaji bora
![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFxzV*QnfI*9ni8WAKGL1o0TcWV8n5yb8QimU9XKapDTA1PSO3nU9Q037jvT0RrqUmjmviwpNaT9EvDB9q98npB4/PLUIJM.jpg)
Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Na Omary Mdose KOCHA Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amewashangaa wanaosema kuwa mshambuliaji wake, Mrundi, Amissi Tambwe hawezi kuwa mfungaji bora katika Ligi Kuu Bara, msimu huu. Tambwe ambaye amejiunga na Yanga akitokea Simba ikiwa ni siku moja kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa Desemba 15, mwaka jana, alikuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS3KbyiQYZ4WZ6PbtPxIpRPtig9n3-IsPdcNgAoLVMRLw-8g7hi-3O2TaRXpZnF5ifvPYe5z2vSxElxMYqty-quY/tambwe.jpg?width=650)
Tambwe amfikia mfungaji bora msimu uliopita
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3pbaBKayUO9Xoc*PcZlJ7iY4gdlzNjmJTM*sdxW5suTdZVv25QojKq0pY0fLMFbyfyc2hgD59fr4oJ*86MBcOy1dlzJ6Gs8g/CUF.jpg?width=650)
Mfungaji bora Caf anakuja Yanga
9 years ago
Bongo509 Nov
Samatta awa mfungaji bora, TP Mazembe yachukua ubingwa wa Afrika
![Mbwana](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mbwana-300x194.jpg)
Klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imechukua kombe la michuano ya mabingwa wa Afrika baada ya kuifunga mabao 2-0 USM Alger ya Algeria kwenye fainali zilizochezwa jana mjini Lubumbashi.
Samatta alifunga bao moja kwenye mechi hiyo na kufikisha mabao saba yaliyomfanya kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo.
Samatta aliyezaliwa Januari 7, 1992 anacheza kama mshambuliaji kwenye klabu hiyo yenye makazi yake mjini Lubumbashi.
Mchezaji huyo anajulikana kutokana na magoli saba...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Pluijm, Tambwe wakamiana
9 years ago
Habarileo08 Nov
Pluijm awafagilia Tambwe, Busungu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm, amewakingia kifua washambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe na Malimi Busungu na kusema kwamba hajali kama hawajafunga kwenye mechi za karibuni.
9 years ago
Habarileo10 Dec
Tambwe ampa raha Pluijm
KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema kupona kwa mshambuliaji wake Mrundi Amissi Tambwe, kumeongeza matumaini ya kushinda mechi ya Jumamosi dhidi ya Mgambo JKT Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Q0IC036mDoEYIMEP5zW*0nsJ0zA7*M7vH4ogVQXdJqGIZnL7o7c8Hbm2qT5oOFDegDqPJiq6R9pqM-q7DScrIr/hfhh.jpg?width=650)
Pluijm ampa siku 14 Tambwe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vanfKzplWu-qeRd4s-FNH0PAwI3NBDfAtPiHFD81gR3OLus*65kQunDB9WQfTeecH4NqfSQuBX-Y3mZWFoVZTZ-4m*1rUI-Z/p.jpg)
Pluijm: Tambwe, Sherman wataongoza maangamizi