Kavumbagu abariki ufungaji bora kwa Tambwe
![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2prKmS1-1OJGcx78lyynrsycMCPCfGZXzWoerkGIr8iIS3RO7qW4ebQ8EWXLUPlwPWSjaMDK1rV73TDMrm4wbvzu/kavumbagu.jpg?width=650)
Didier Kavumbagu. Na Hans Mloli STRAIKA wa kimataifa wa Yanga, Mrundi, Didier Kavumbagu, ameikubali kasi ya mabao ya Mrundi mwenzake anayekipiga Simba, Amissi Tambwe na kukiri kuwa msimu huu mshambuliaji huyo atatwaa kiatu cha ufungaji bora wa ligi. Tambwe amefikisha jumla ya mabao 17 akiwa ndiye kinara huku akiwa tayari ameshaifikia idadi ya mfungaji bora wa msimu uliopita, mchezaji kutoka Ivory Coast, Kipre Tchetche wa Azam...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Kavumbagu, Tambwe wana kazi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpZYIG6XjRtynEMjmfWKJondLWjTv3cTHow3cMVP6WoSgmBV7pAD5qk6OIOX5rD0rQ-n1veDzkwStodDfkyy6qM/tambwe.jpg)
Tambwe,Kavumbagu waondoka Dar kimya
9 years ago
Habarileo07 Nov
Kiiza ajichuja ufungaji bora
WAKATI mshambuliaji Mzimbabwe wa Yanga, Donald Ngoma akitamba ataibuka Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu, mshambuliaji wa Simba, Mganda Hamis Kiiza amesema yeye hicho sio kipaumbele chake.
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Samatta anukia ufungaji bora Afrika
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MTANZANIA Mbwana Samatta, anayekipiga katika timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, amebakisha mabao mawili tu kuweza kutwaa kiatu cha ufungaji bora wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka huu.
Mpaka sasa timu yake ikiwa imeingia fainali ya michuano hiyo, Samatta anashika nafasi ya pili kwenye chati ya ufungaji bora akiwa na mabao sita, sawa na Mouhcine Iajour wa timu ya Moghreb Tetouan ya Morocco iliyotolewa, anazidiwa bao moja tu na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFxzV*QnfI*9ni8WAKGL1o0TcWV8n5yb8QimU9XKapDTA1PSO3nU9Q037jvT0RrqUmjmviwpNaT9EvDB9q98npB4/PLUIJM.jpg)
Pluijm: Tambwe atakuwa mfungaji bora
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS3KbyiQYZ4WZ6PbtPxIpRPtig9n3-IsPdcNgAoLVMRLw-8g7hi-3O2TaRXpZnF5ifvPYe5z2vSxElxMYqty-quY/tambwe.jpg?width=650)
Tambwe amfikia mfungaji bora msimu uliopita
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Papa abariki kwa Kiswahili
NAIROBI, KENYA
KIONGOZI wa Kanisa la Katoliki Duniani, Papa Francis, amewasili nchini Kenya jana jioni huku akitoa baraka kwa nchi hiyo kwa lugha ya Kiswahili.
Baada ya hotuba yake, Papa Francis, alimaliza kwa kusema “Mungu Ibariki Kenya” jambo lililowafanya watu waliokuwa katika ukumbi wa Ikulu ya Nairobi kulipuka kwa furaha.
Katika ziara yake hiyo ya ya siku tatu nchini Kenya, alipokewa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta, ambapo moja ya mambo ya kukumbukwa ni ujumbe alioutoa kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZX4dS8cVOrk/Uu4WUmxeBiI/AAAAAAAFKPM/zowpvuNUkP8/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Ufungaji wa viti kwa matumizi ya Bunge la Katiba wakamilika
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZX4dS8cVOrk/Uu4WUmxeBiI/AAAAAAAFKPM/zowpvuNUkP8/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n8luj-0C2B0/Uu4WUxbEuYI/AAAAAAAFKPY/Lt_dGa2B_IU/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B5eY0SNPh0w/Uu4WU_o82aI/AAAAAAAFKPQ/2g6L2oBFd7s/s1600/unnamed+(9).jpg)
11 years ago
GPLKavumbagu akabidhiwa kwa Brandts Yanga