Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kavumbagu abariki ufungaji bora kwa Tambwe

Didier Kavumbagu. Na Hans Mloli
STRAIKA wa kimataifa wa Yanga, Mrundi, Didier Kavumbagu, ameikubali kasi ya mabao ya Mrundi mwenzake anayekipiga Simba, Amissi Tambwe na kukiri kuwa msimu huu mshambuliaji huyo atatwaa kiatu cha ufungaji bora wa ligi. Tambwe amefikisha jumla ya mabao 17 akiwa ndiye kinara huku akiwa tayari ameshaifikia idadi ya mfungaji bora wa msimu uliopita, mchezaji kutoka Ivory Coast, Kipre Tchetche wa Azam...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kavumbagu, Tambwe wana kazi

Mombasa. Kukosekana kwenye michuano ya Chalenji na Chan huenda kukawagharimu mastraika Didier Kavumbagu wa Yanga na Amissi Tambwe wa Simba

 

11 years ago

GPL

Tambwe,Kavumbagu waondoka Dar kimya

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, ambaye ni mfungaji bora wa msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara, amepanga kuondoka nchini leo Jumatatu kimyakimya kwenda jijini Nairobi nchini Kenya. Tambwe anakwenda katika kikosi cha timu yake ya taifa ya Burundi akiongozana na mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu.Burundi imealikwa kuivaa Kenya katika mechi ya kirafiki jijini...

 

9 years ago

Habarileo

Kiiza ajichuja ufungaji bora

WAKATI mshambuliaji Mzimbabwe wa Yanga, Donald Ngoma akitamba ataibuka Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu, mshambuliaji wa Simba, Mganda Hamis Kiiza amesema yeye hicho sio kipaumbele chake.

 

9 years ago

Mtanzania

Samatta anukia ufungaji bora Afrika

samataNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MTANZANIA Mbwana Samatta, anayekipiga katika timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, amebakisha mabao mawili tu kuweza kutwaa kiatu cha ufungaji bora wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka huu.

Mpaka sasa timu yake ikiwa imeingia fainali ya michuano hiyo, Samatta anashika nafasi ya pili kwenye chati ya ufungaji bora akiwa na mabao sita, sawa na Mouhcine Iajour wa timu ya Moghreb Tetouan ya Morocco iliyotolewa, anazidiwa bao moja tu na...

 

10 years ago

GPL

Pluijm: Tambwe atakuwa mfungaji bora

Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Na Omary Mdose
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amewashangaa wanaosema kuwa mshambuliaji wake, Mrundi, Amissi Tambwe hawezi kuwa mfungaji bora katika Ligi Kuu Bara, msimu huu. Tambwe ambaye amejiunga na Yanga akitokea Simba ikiwa ni siku moja kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa Desemba 15, mwaka jana, alikuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu...

 

11 years ago

GPL

Tambwe amfikia mfungaji bora msimu uliopita

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe . Na Phillip Nkini
ZIKIWA zimebaki mechi saba ili Ligi Kuu ya Tanzania Bara imalizike, mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, ameshafikisha idadi ya mabao yaliyofungwa na Kipre Tchetche, msimu uliopita. Kipre, msimu uliopita alikuwa mfungaji bora baada ya kufunga mabao 17 kwenye ligi kuu, lakini mabao mawili ambayo Tambwe alifunga jana yameshamfanya afikie idadi hiyo. Hii ni rekodi mpya...

 

9 years ago

Mtanzania

Papa abariki kwa Kiswahili

POPE8NAIROBI, KENYA

KIONGOZI wa Kanisa la Katoliki Duniani, Papa Francis, amewasili nchini Kenya jana jioni huku akitoa baraka kwa nchi hiyo kwa lugha ya Kiswahili.

Baada ya hotuba yake, Papa Francis, alimaliza kwa kusema “Mungu Ibariki Kenya” jambo lililowafanya watu waliokuwa katika ukumbi wa Ikulu ya Nairobi kulipuka kwa furaha.

Katika ziara yake hiyo ya ya siku tatu nchini Kenya, alipokewa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta, ambapo moja ya mambo ya kukumbukwa ni ujumbe alioutoa kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Ufungaji wa viti kwa matumizi ya Bunge la Katiba wakamilika

Mhe Spika Anne Makinda akikagua kazi baada ya ufungaji wa Vito ndani ya ukumbi huo kukamilika.Mwingine pichani ni Mkandarasi Dr.David Zachariah wa Computer Consult ambao ni wakandarasi wa mradi huo wa ufungaji viti.Vito hivyo ni mahsusi kwa matumizi ya Bunge la Katiba. Viti vipya tayari kwa matumizi ya Bunge Maalum la Katiba. Dr David Zachariah wa Computer Consult akimtambulisha mtaalamu wake wa mradi wa Viti,Bw.Sidney Robson kutoka Afrika Kusini.Mradi huo umekamilika tayari kwa...

 

11 years ago

GPL

Kavumbagu akabidhiwa kwa Brandts Yanga

Didier Kavumbagu. Na Lucy Mgina
UONGOZI wa Yanga umesema mtu atakayeamua hatma ya mshambuliaji wa kimataifa wa klabu hiyo, Didier Kavumbagu, raia wa Burundi kubaki au kuondoka ni kocha Ernie Brandts. Kavumbagu aliyeifungia mabao matano Yanga kwenye mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara, amebakiza mkataba wa miezi sita tu. Akizungumza na Championi Jumatano, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Abdallah Bin Kleb, alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani