Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kavumbagu, Tambwe wana kazi

Mombasa. Kukosekana kwenye michuano ya Chalenji na Chan huenda kukawagharimu mastraika Didier Kavumbagu wa Yanga na Amissi Tambwe wa Simba

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Tambwe,Kavumbagu waondoka Dar kimya

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, ambaye ni mfungaji bora wa msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara, amepanga kuondoka nchini leo Jumatatu kimyakimya kwenda jijini Nairobi nchini Kenya. Tambwe anakwenda katika kikosi cha timu yake ya taifa ya Burundi akiongozana na mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu.Burundi imealikwa kuivaa Kenya katika mechi ya kirafiki jijini...

 

11 years ago

GPL

Kavumbagu abariki ufungaji bora kwa Tambwe

Didier Kavumbagu. Na Hans Mloli
STRAIKA wa kimataifa wa Yanga, Mrundi, Didier Kavumbagu, ameikubali kasi ya mabao ya Mrundi mwenzake anayekipiga Simba, Amissi Tambwe na kukiri kuwa msimu huu mshambuliaji huyo atatwaa kiatu cha ufungaji bora wa ligi. Tambwe amefikisha jumla ya mabao 17 akiwa ndiye kinara huku akiwa tayari ameshaifikia idadi ya mfungaji bora wa msimu uliopita, mchezaji kutoka Ivory Coast, Kipre Tchetche wa Azam...

 

11 years ago

GPL

tambwe aanza kazi simba, ambeza coutinho

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe. Na Hans Mloli
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, ameanza kujifua rasmi jana kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao lakini hapohapo akamtupia dongo kiungo mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho.
Tambwe alitua nchini juzi usiku na kuamua kuingia mzigoni moja kwa moja kujumuika na wenzake kwenye mazoezi ya gym yanayofanyika Chang’ombe, Dar es Salaam.
Baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Wajumbe NEC wana kazi kubwa

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete jana alifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho huku akikiri kuwa “wajumbe wana kazi kubwa”.

 

9 years ago

Raia Mwema

Wapinzani wana kazi ngumu awamu ya tano

KUWA katika kambi ya upinzani ilikuwa ni kazi rahisi zaidi wakati wa awamu tatu za serikali ziliz

Njonjo Mfaume

 

11 years ago

Habarileo

Tufanye kazi, Watanzania wana matarajio makubwa—Muhongo

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameeleza kuwa Watanzania wana matarajio makubwa kutokana na kugunduliwa kwa hazina kubwa ya gesi katika maeneo ya kina kirefu cha bahari.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota hawa wana kazi kucheza ‘First XI’ msimu ujao

Septemba 12 mwaka huu, vishindo vya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ilifunguliwa rasmi kwa mechi ya Ngao ya Jamii baina ya Azam na Yanga Jumamosi, Agosti 22 vitaanza kusikika kwenye viwanja mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?


Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm amsikitikia Kavumbagu

Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amekiri kwamba kuondoka kwa mshambuliaji wake Didier Kavumbagu ni pigo kwa klabu hiyo, lakini amesema ana imani pengo lake litazibwa kikamilifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani