Wapinzani wana kazi ngumu awamu ya tano
KUWA katika kambi ya upinzani ilikuwa ni kazi rahisi zaidi wakati wa awamu tatu za serikali ziliz
Njonjo Mfaume
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Sep
Tibaigana: Wapinzani wana haki kuandamana
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2468240/highRes/839688/-/maxw/600/-/vlxppiz/-/Tibaigana.jpg)
Katika mahojiano maalumu na gazeti hili nyumbani kwake Buganguzi wilayani Muleba, Kamishna Tibaigana alisema suala la maandamano halikumsumbua kwa kuwa alielewa kuwa sheria inayaruhusu, hivyo alichokuwa akifanya ni kuwaita viongozi wa vyama vinavyotaka kuandamana na kufanya nao makubaliano ya namna maandamano hayo yanavyopaswa yafanywe kabla ya kuyaruhusu.“Pengine hiyo ndiyo sababu sikuwahi kushambuliwa kwa maneno ya kejeli au...
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Mourinho: Wapinzani wana furaha Chelsea kufungwa
LONDON, ENGLAND
BAADA ya Chelsea kukubali kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya wapinzani wake Everton juzi katika michuano ya Ligi Kuu England, Kocha Jose Mourinho amesema anaamini wapinzani wake wana furaha kubwa baada ya kupoteza mchezo huo.
Mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu nchini England, wameanza vibaya michuano hiyo msimu huu baada ya kucheza michezo mitano na kuwafanya washike nafasi ya 16 katika msimamo wa ligi huku wakiwa na pointi 4, hivyo Mourinho anaamini wapinzani wake wana furaha...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-OpZUihWAxXE/VmwEd-fWZhI/AAAAAAAAsKE/mn3V8f8yxY0/s72-c/45.jpg)
MAWAZIRI WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO WAAPISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OpZUihWAxXE/VmwEd-fWZhI/AAAAAAAAsKE/mn3V8f8yxY0/s640/45.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y7rYdZjT84E/VmwEh8Jt5GI/AAAAAAAAsKM/b3ViYHZ5E-0/s640/47.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DPnS5gUIpCw/VmwEh7xwiuI/AAAAAAAAsKQ/x9ruphoVuk0/s640/49.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nA-xAF2ydCY/VmwEkwSTjAI/AAAAAAAAsKc/CK8SAfPP7hg/s640/50.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Hakika, rais wa awamu ya tano atateseka
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s72-c/_MG_5772.jpg)
SERIKALI YA AWAMU YA TANO ITAKUWA NI YA VIWANDA-MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s640/_MG_5772.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5zvqvRy_Vb8/VfWoX5TGDII/AAAAAAAC_D0/_MQoApTYw0g/s640/_MG_5783.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kashfa tano zimeitesa Serikali ya awamu ya nne
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Magufuli: Serikali ya awamu ya tano itakuwa ya viwanda
5 years ago
MichuziAwamu ya Tano Yafanikisha Ndoto ya Wananchi Uyui
Serikali ya Awamu ya Tano imetimiza ndoto ya wananchi wa Wilaya ya Uyui, mkoani Tabora kufikiwa na huduma bora za afya katika maeneo yao.
Akizungumza katika mahojiano maalum wilayani humo, Mkuu wa Wilaya, Gift Msuya amesema kuwa kwa sasa wananchi wa wilaya hiyo wanafikiwa na huduma za afya kupitia vituo vya afya vilivyojengwa na vile vilivyoboreshwa katika kipindi cha miaka mine iliyopita.
“ Tumekamilisha ujenzi wa Hospitali ya Wilaya iliyogharimu Shilingi bilioni 1.5...
9 years ago
Habarileo29 Oct
BREAKING NEWS: Magufuli rais wa awamu ya tano
MGOMBEA urais wa Jamhauri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Joseph Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Tanzania kwa asilimia 58.46 ya kura zote zilizopigwa kufuatia uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 mwezi huu.