Awamu ya Tano Yafanikisha Ndoto ya Wananchi Uyui
Na Frank Mvungi- MAELEZO.
Serikali ya Awamu ya Tano imetimiza ndoto ya wananchi wa Wilaya ya Uyui, mkoani Tabora kufikiwa na huduma bora za afya katika maeneo yao.
Akizungumza katika mahojiano maalum wilayani humo, Mkuu wa Wilaya, Gift Msuya amesema kuwa kwa sasa wananchi wa wilaya hiyo wanafikiwa na huduma za afya kupitia vituo vya afya vilivyojengwa na vile vilivyoboreshwa katika kipindi cha miaka mine iliyopita.
“ Tumekamilisha ujenzi wa Hospitali ya Wilaya iliyogharimu Shilingi bilioni 1.5...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-OpZUihWAxXE/VmwEd-fWZhI/AAAAAAAAsKE/mn3V8f8yxY0/s72-c/45.jpg)
MAWAZIRI WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO WAAPISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OpZUihWAxXE/VmwEd-fWZhI/AAAAAAAAsKE/mn3V8f8yxY0/s640/45.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y7rYdZjT84E/VmwEh8Jt5GI/AAAAAAAAsKM/b3ViYHZ5E-0/s640/47.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DPnS5gUIpCw/VmwEh7xwiuI/AAAAAAAAsKQ/x9ruphoVuk0/s640/49.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nA-xAF2ydCY/VmwEkwSTjAI/AAAAAAAAsKc/CK8SAfPP7hg/s640/50.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Hakika, rais wa awamu ya tano atateseka
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Magufuli: Serikali ya awamu ya tano itakuwa ya viwanda
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-yaJgQs55qgw/XoMjedN-pMI/AAAAAAACJkI/ceBMbN5Ss6YHOLRHKRFaOK0a8UBw5JQfQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200221_115250.jpg)
MAKALA: AWAMU YA TANO IMEKOLEZA RADHA YA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yaJgQs55qgw/XoMjedN-pMI/AAAAAAACJkI/ceBMbN5Ss6YHOLRHKRFaOK0a8UBw5JQfQCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200221_115250.jpg)
UTANGULIZI:Kidumu Chama Cha Mapinduzi!!Mnamo 02/06/2018 niliandika Makala iliyoitwa ‘SIRI KUBWA YA CCM HII HAPA’, ni Makala iliyosambazwa kwenye makundi ya WhatsApp na ilijikita zaidi katika kuonesha ni siri gani inayoifanya CCM kushinda na kuwa na uhakika wa kushinda kila chaguzi kuu nchini, ambapo mwandishi aliivujisha siri hiyo hadharani ya kuwa ni KUHANGAIKA NA SHIDA ZA WATU kupitia utekelezaji mzuri wa ilani yake. Leo mwandishi yule yule nakuja na...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Wapinzani wana kazi ngumu awamu ya tano
KUWA katika kambi ya upinzani ilikuwa ni kazi rahisi zaidi wakati wa awamu tatu za serikali ziliz
Njonjo Mfaume
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s72-c/_MG_5772.jpg)
SERIKALI YA AWAMU YA TANO ITAKUWA NI YA VIWANDA-MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s640/_MG_5772.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5zvqvRy_Vb8/VfWoX5TGDII/AAAAAAAC_D0/_MQoApTYw0g/s640/_MG_5783.jpg)
9 years ago
Habarileo29 Oct
BREAKING NEWS: Magufuli rais wa awamu ya tano
MGOMBEA urais wa Jamhauri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Joseph Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Tanzania kwa asilimia 58.46 ya kura zote zilizopigwa kufuatia uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 mwezi huu.
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kashfa tano zimeitesa Serikali ya awamu ya nne
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rfD6x6-hbzo/XufZuqFbG3I/AAAAAAALt8M/vY6dhzZuEqkEVtSGT-FWWuZLR2PRNfDiQCLcBGAsYHQ/s72-c/04e0347e-7987-44f7-97f0-71790182b15e.jpg)
WAZIRI MKUU ATAJA MAFANIKIO MAKUBWA YA AWAMU YA TANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-rfD6x6-hbzo/XufZuqFbG3I/AAAAAAALt8M/vY6dhzZuEqkEVtSGT-FWWuZLR2PRNfDiQCLcBGAsYHQ/s1600/04e0347e-7987-44f7-97f0-71790182b15e.jpg)
******************************
15 Juni, 2020
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika kipindi cha miaka mitano imepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kurekebisha nidhamu kwa watumishi wa umma na uwajibikaji Serikalini, hivyo kuwezesha...