WAZIRI MKUU ATAJA MAFANIKIO MAKUBWA YA AWAMU YA TANO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma Hotuba ya Kukamilika kwa Shughuli za Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge, Bungeni Jijini Dodoma, Juni 15, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
******************************
15 Juni, 2020
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika kipindi cha miaka mitano imepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kurekebisha nidhamu kwa watumishi wa umma na uwajibikaji Serikalini, hivyo kuwezesha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
SHEREHE ZA KUAPISHWA WAZIRI MKUU WA AWAMU YA TANO VIWANJA VYA IKULU NDOGO CHAMWINO MJINI DODOMA



10 years ago
Michuzi
WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA MAFANIKIO YA WIZARA YAKE KATIKA KIPINDI CHA MIAKA KUMI YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE

11 years ago
Michuzi13 May
11 years ago
Michuzi
Waziri Mkuu Pinda mgeni rasmi mkutano wa mashauriano ya awamu ya kwanza uwekezaji DART leo

Mkutano huo wa siku mbili unawakutanisha wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje kwenye kituo cha mikutano Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka Dar es salaam (DART), Bi. Asteria Mlambo, amewaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa mkutano huo wa...
10 years ago
Mwananchi10 Jul
JK avunja Bunge, ataja mafanikio ya miaka 10
5 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMPATIA MSAADA WA SHILINGI MILIONI TANO MIRIAM WA MOMBO






Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Miriam Shemndolwa ambaye ni mlemavu wakati alipomtembelea nyumbani kwao Mombo wilayani Korogwe,...
10 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF JIJINI ARUSHA LEO

Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akitoa hotuba yake ya Ufunguzi wa Mkutano wa tano wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ulioanza leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.Mh. Pinda awewasihi wasomi nchini pamoja na watanzania kuacha fikra ya kusubiri kuajiriwa mara wanapomaliza vyuo badala yake wajiajiri wenyewe ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha.

Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudencia Kabaka akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni...
10 years ago
Vijimambo