JK avunja Bunge, ataja mafanikio ya miaka 10
>Rais Jakaya Kikwete amelihutubia Bunge la 10 kwa mara ya mwisho, akijikita katika takwimu zinazoonyesha mafanikio ambayo Serikali ya Awamu ya Nne imeyapata tangu alipoingia Ikulu mwaka 2005, lakini akakiri kutofanikiwa kulifufua Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Dec
Young Killer ataja mafanikio aliyopata kwenye muziki ndani ya miaka mitatu
![YounG KILLER](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/YounG-KILLER-300x194.jpg)
Young Killer Msodoki ni msanii kutoka Rock City, Mwanza aliyeibuliwa kwenye shindano la Fiesta Super Nyota la mwaka 2012, na hadi mwaka huu anafikisha miaka mitatu kwenye muziki.
Rapper huyo ameshare na Bongo5 mafanikio aliyoyapata toka alivyoingia rasmi kwenye muziki miaka mitatu iliyopita.
“Mafanikio ambayo nimeyapata kwanza ni kujuana na watu ambao nilikuwa naamini wanaweza wakaja kuwa watu muhimu katika maisha yangu na nilikuwa nikipenda nije kukutana nao,” alisema Young Killer.
“Kitu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rfD6x6-hbzo/XufZuqFbG3I/AAAAAAALt8M/vY6dhzZuEqkEVtSGT-FWWuZLR2PRNfDiQCLcBGAsYHQ/s72-c/04e0347e-7987-44f7-97f0-71790182b15e.jpg)
WAZIRI MKUU ATAJA MAFANIKIO MAKUBWA YA AWAMU YA TANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-rfD6x6-hbzo/XufZuqFbG3I/AAAAAAALt8M/vY6dhzZuEqkEVtSGT-FWWuZLR2PRNfDiQCLcBGAsYHQ/s1600/04e0347e-7987-44f7-97f0-71790182b15e.jpg)
******************************
15 Juni, 2020
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika kipindi cha miaka mitano imepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kurekebisha nidhamu kwa watumishi wa umma na uwajibikaji Serikalini, hivyo kuwezesha...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CPYywEaKnGI/VZ6u8ErauHI/AAAAAAABdJ4/LJTDeqVHJeo/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.1.jpg)
RAIS KIKWETE AVUNJA BUNGE RASMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-CPYywEaKnGI/VZ6u8ErauHI/AAAAAAABdJ4/LJTDeqVHJeo/s640/Picha%2Bya%2BPg.1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilihutubia Bunge la Tanzania na hatimae kulifunga. Kulia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Makinda. (Picha na Joseph Senga)
![](http://2.bp.blogspot.com/-S2hPI-GVO1w/VZ6wTEuGNyI/AAAAAAABdKQ/K1F6_dlrAmQ/s640/Kikwete%2Bkuingia.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-s3OxW0LsLcE/VZ6wWrJag-I/AAAAAAABdKs/1rBiWJYTD4E/s640/Wastaafu.jpg)
9 years ago
StarTV20 Nov
Prof. Lipumba ataja changamoto ya kulidhibiti Bunge
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Tanzania Bara Profesa Ibrahimu Lipumba amesema kitendo cha Rais John Magufuli kumteua Kassim Majaliwa Mbunge wa Luangwa kuwa Waziri Mkuu kimeonyesha kuwa hana mbia katika nafasi yake ya Urais.
Amesema Rais Magufuli ameonyesha wazi kuwa anahitaji kufanya kazi kwa ukaribu na mtu atakayefuata sheria na taratibu za nchi.
Akizungumza jijini Dar es salaam, Profesa Lipumba amesema, waziri mkuu ndiye kiongozi wa serikali bungeni hivyo Waziri Mkuu Kassim...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRaFFiSWSbXoCRfn0r*8D7ITDR6*xvoq*FaHb6sfC8XTxLwmu79zZFeDsf7AuC41QnD3GEnb7KrpMTs3sGU8*kUv/IddaBaita.jpg)
MTOTO WA MIAKA 9 AVUNJA RECORD YA KUFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO
9 years ago
Michuzi08 Oct
MIAKA 53 ZA MAFANIKIO YA KUJIVUNIA
10 years ago
Habarileo06 Apr
JK ajivunia miaka 10 ya mafanikio
SERIKALI ya awamu ya nne inajivunia mafanikio iliyoyapata tangu kuingia madarakani mwaka 2005 na kuweka msingi imara wa nchi katika kutekeleza Mkakati wa Maendeleo wa Mwaka 2025 ambao unalenga kuifanya Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
9 years ago
StarTV25 Aug
JWTZ laeleza mafanikio ya miaka 30
Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ limeelezea mafanikio yake ya miaka 30 ya uzalishaji wa teknolojia mbalimbali katika Kambi ya Nyumbu mkoani Pwani.
Kambi hiyo ilianzishwa mwaka 1985 kwa ajili ya kufanya utafiti na kuendeleza uvumbuzi na ubunifu wa teknolijia ili kuongeza uwezo wa Tanzania kujitegemea.
Akizungumza na waandishi wa habari katika Kambi ya Nyumbu, Mkurugenzi wa Shirika la Nyumbu, Brigedia Jenerali Anselm Shigongo, amesema teknolojia wanazozalisha zinasaidia kuinua maendeleo ya...
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
DCB yajivunia miaka 12 ya mafanikio
WAKATI ikianza wengi walidhani haitafika mbali kutokana na kumilikiwa na wananchi. Dhati waliyoiweka katika mioyo yao na kuongozwa na viongozi waliohakikisha inanyanyuka na kutoa faida ndio imeifanya Benki ya Wananchi...