Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK ajivunia miaka 10 ya mafanikio

Rais Jakaya Kikwete akitoa mhadhara katika kituo cha Kimataifa cha Woodrow Wilson jijini Washington DC. (Picha na Ikulu).SERIKALI ya awamu ya nne inajivunia mafanikio iliyoyapata tangu kuingia madarakani mwaka 2005 na kuweka msingi imara wa nchi katika kutekeleza Mkakati wa Maendeleo wa Mwaka 2025 ambao unalenga kuifanya Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mtitu ajivunia mafanikio 2013

MKURUGENZI wa kampuni ya kizalendo ya 5 Effects Film, William Mtitu, amejivunia mafanikio aliyoyapata mwaka 2013 kwa kufanikiwa kutoa filamu tatu ambazo zote zinafanya vizuri sokoni, huku mapema mwezi huu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maalim Seif ajivunia mafanikio CUF

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema mafanikio na changamoto katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, viwe vitendea kazi kwa uongozi mpya utakaopatikana baada ya...

 

11 years ago

Habarileo

Profesa Maghembe ajivunia mafanikio miradi ya maji

Profesa Jumanne MaghembeWAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe amesema wabunge watapewa nakala za taarifa za miradi ya maji inayotekelezwa mijini ambapo kumekuwa na mafanikio makubwa katika utekelezaji wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dully Sykes ajivunia miaka 15 ya usanii

BAADA ya kutimiza miaka 15 katika tasnia ya muziki ya Bongo Fleva, msanii Abdul Sykes ‘Dully Sykes’ anatarajia kufungua studio ya kufanya kazi za ‘live’ na matangazo ikiwa ni hatua...

 

9 years ago

Michuzi

MIAKA 53 ZA MAFANIKIO YA KUJIVUNIA

Muhtasari Wa Miaka 53 Ya Mafanikio Ya Kujivunia by Evarist Chahali  MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE 2005/2006 HADI 2014/2015 (Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne kuanzia 2005/2006 hadi 2014/2015from Evarist Chahali

 

9 years ago

StarTV

JWTZ laeleza mafanikio ya miaka 30

Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ limeelezea mafanikio yake ya miaka 30 ya uzalishaji wa teknolojia mbalimbali katika Kambi ya Nyumbu mkoani Pwani.

Kambi hiyo ilianzishwa mwaka 1985 kwa ajili ya kufanya utafiti na kuendeleza uvumbuzi na ubunifu wa teknolijia ili kuongeza uwezo wa Tanzania kujitegemea.

 

Akizungumza na waandishi wa habari katika Kambi ya Nyumbu, Mkurugenzi wa Shirika la Nyumbu, Brigedia Jenerali Anselm Shigongo, amesema teknolojia wanazozalisha zinasaidia kuinua maendeleo ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DCB yajivunia miaka 12 ya mafanikio

WAKATI ikianza wengi walidhani haitafika mbali kutokana na kumilikiwa na wananchi. Dhati waliyoiweka katika mioyo yao na kuongozwa na viongozi waliohakikisha inanyanyuka na kutoa faida ndio imeifanya Benki ya Wananchi...

 

9 years ago

GPL

NMB YAJIVUNIA MIAKA 10 YA MAFANIKIO

Mkurugenzi wa NMB - Ineke Bussemaker (katikati) akizungumza na Wajumbe wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (Tanzania Editors Forum) jijini Dar es Salaam jana kuhusu maadhimisho ya miaka 10 ya benki hiyo tangu ilipobinafsishwa na hatua ilizopiga katika maendeleo ya benki. Wajumbe wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (Tanzania Editors Forum) wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (katikati) jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BoT na mafanikio ya miaka 50 ya Muungano

“BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) ilianzishwa mwaka 1966 kwa sheria iliyopitishwa na Bunge la Tanzania mwaka 1965 na kupewa uwezo wa kutekeleza majukumu yake ya msingi.” Hivyo ndivyo anavyoanza kuzungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani