Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BoT na mafanikio ya miaka 50 ya Muungano

“BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) ilianzishwa mwaka 1966 kwa sheria iliyopitishwa na Bunge la Tanzania mwaka 1965 na kupewa uwezo wa kutekeleza majukumu yake ya msingi.” Hivyo ndivyo anavyoanza kuzungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

MIAKA 50 YA MUUNGANO : Shirika la Posta lajivunia mafanikio

SHIRIKA la Posta Tanzania limeshiriki katika maonyesho ya miaka 50 ya Muungano yaliyofanyika Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Lengo la ushiriki huo ni kuonyesha jamii kuwa wanadumisha muungano uliopo baina...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali ya Muungano, SMZ zaanika mafanikio ya Ilani

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.SERIKALI za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi Zanzibar, zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na hivyo kukuza na kuboresha maisha ya wananchi wa pande zote za Muungano.

 

10 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA MUUNGANO YAMEFIKIA MWISHO KWA MAFANIKIO MAKUBWA SANA, MJINI MUFINDI

 DAUDI YASSINI AKIMKARIBISHA MKUU WA WILAYA YA MUFINDI, MBONI MHITA KATIKA UWANJA WA WAMBI MJINI MAFINGA WAKATI WA FAINALI YA MASHINDANO YA MUUNGANO. MKUU WA WILAYA YA MUFINDI, MBONI MHITA AKIKAGUA TIMU KABLA YA MCHEZOMGENI RASMI KATIKA FAINALI HIZO, MKUU WA WILAYA YA MUFINDI, MBONI MHITA AKIWA KATIKA PICHA MOJA NA MABINGWA  WA MUFINDI CUP TIMU YA MKOBA.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI

 

9 years ago

Michuzi

MIAKA 53 ZA MAFANIKIO YA KUJIVUNIA

Muhtasari Wa Miaka 53 Ya Mafanikio Ya Kujivunia by Evarist Chahali  MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE 2005/2006 HADI 2014/2015 (Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne kuanzia 2005/2006 hadi 2014/2015from Evarist Chahali

 

10 years ago

Habarileo

JK ajivunia miaka 10 ya mafanikio

Rais Jakaya Kikwete akitoa mhadhara katika kituo cha Kimataifa cha Woodrow Wilson jijini Washington DC. (Picha na Ikulu).SERIKALI ya awamu ya nne inajivunia mafanikio iliyoyapata tangu kuingia madarakani mwaka 2005 na kuweka msingi imara wa nchi katika kutekeleza Mkakati wa Maendeleo wa Mwaka 2025 ambao unalenga kuifanya Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DCB yajivunia miaka 12 ya mafanikio

WAKATI ikianza wengi walidhani haitafika mbali kutokana na kumilikiwa na wananchi. Dhati waliyoiweka katika mioyo yao na kuongozwa na viongozi waliohakikisha inanyanyuka na kutoa faida ndio imeifanya Benki ya Wananchi...

 

9 years ago

StarTV

JWTZ laeleza mafanikio ya miaka 30

Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ limeelezea mafanikio yake ya miaka 30 ya uzalishaji wa teknolojia mbalimbali katika Kambi ya Nyumbu mkoani Pwani.

Kambi hiyo ilianzishwa mwaka 1985 kwa ajili ya kufanya utafiti na kuendeleza uvumbuzi na ubunifu wa teknolijia ili kuongeza uwezo wa Tanzania kujitegemea.

 

Akizungumza na waandishi wa habari katika Kambi ya Nyumbu, Mkurugenzi wa Shirika la Nyumbu, Brigedia Jenerali Anselm Shigongo, amesema teknolojia wanazozalisha zinasaidia kuinua maendeleo ya...

 

9 years ago

GPL

NMB YAJIVUNIA MIAKA 10 YA MAFANIKIO

Mkurugenzi wa NMB - Ineke Bussemaker (katikati) akizungumza na Wajumbe wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (Tanzania Editors Forum) jijini Dar es Salaam jana kuhusu maadhimisho ya miaka 10 ya benki hiyo tangu ilipobinafsishwa na hatua ilizopiga katika maendeleo ya benki. Wajumbe wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (Tanzania Editors Forum) wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (katikati) jijini Dar es...

 

10 years ago

Mwananchi

JK avunja Bunge, ataja mafanikio ya miaka 10

>Rais Jakaya Kikwete amelihutubia Bunge la 10 kwa mara ya mwisho, akijikita katika takwimu zinazoonyesha mafanikio ambayo Serikali ya Awamu ya Nne imeyapata tangu alipoingia Ikulu mwaka 2005, lakini akakiri kutofanikiwa kulifufua Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani