BoT na mafanikio ya miaka 50 ya Muungano
“BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) ilianzishwa mwaka 1966 kwa sheria iliyopitishwa na Bunge la Tanzania mwaka 1965 na kupewa uwezo wa kutekeleza majukumu yake ya msingi.” Hivyo ndivyo anavyoanza kuzungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
MIAKA 50 YA MUUNGANO : Shirika la Posta lajivunia mafanikio
SHIRIKA la Posta Tanzania limeshiriki katika maonyesho ya miaka 50 ya Muungano yaliyofanyika Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Lengo la ushiriki huo ni kuonyesha jamii kuwa wanadumisha muungano uliopo baina...
10 years ago
Habarileo13 Jul
Serikali ya Muungano, SMZ zaanika mafanikio ya Ilani
SERIKALI za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi Zanzibar, zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na hivyo kukuza na kuboresha maisha ya wananchi wa pande zote za Muungano.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-v9YLoDDSzSs/VXkercs4ThI/AAAAAAAAAPs/5HSCqllRz1k/s72-c/mpya6.png)
MASHINDANO YA MUUNGANO YAMEFIKIA MWISHO KWA MAFANIKIO MAKUBWA SANA, MJINI MUFINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-v9YLoDDSzSs/VXkercs4ThI/AAAAAAAAAPs/5HSCqllRz1k/s640/mpya6.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Byj6CnsHQeA/VXkekrcu7fI/AAAAAAAAAPU/D31WQ-OuplU/s640/mpya17.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yTb3ugHgD0s/VXkei5AsUtI/AAAAAAAAAPE/RB5cQRrv0GM/s640/mpya20.png)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
9 years ago
Michuzi08 Oct
MIAKA 53 ZA MAFANIKIO YA KUJIVUNIA
10 years ago
Habarileo06 Apr
JK ajivunia miaka 10 ya mafanikio
SERIKALI ya awamu ya nne inajivunia mafanikio iliyoyapata tangu kuingia madarakani mwaka 2005 na kuweka msingi imara wa nchi katika kutekeleza Mkakati wa Maendeleo wa Mwaka 2025 ambao unalenga kuifanya Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
DCB yajivunia miaka 12 ya mafanikio
WAKATI ikianza wengi walidhani haitafika mbali kutokana na kumilikiwa na wananchi. Dhati waliyoiweka katika mioyo yao na kuongozwa na viongozi waliohakikisha inanyanyuka na kutoa faida ndio imeifanya Benki ya Wananchi...
9 years ago
StarTV25 Aug
JWTZ laeleza mafanikio ya miaka 30
Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ limeelezea mafanikio yake ya miaka 30 ya uzalishaji wa teknolojia mbalimbali katika Kambi ya Nyumbu mkoani Pwani.
Kambi hiyo ilianzishwa mwaka 1985 kwa ajili ya kufanya utafiti na kuendeleza uvumbuzi na ubunifu wa teknolijia ili kuongeza uwezo wa Tanzania kujitegemea.
Akizungumza na waandishi wa habari katika Kambi ya Nyumbu, Mkurugenzi wa Shirika la Nyumbu, Brigedia Jenerali Anselm Shigongo, amesema teknolojia wanazozalisha zinasaidia kuinua maendeleo ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/nmb-1.jpg)
NMB YAJIVUNIA MIAKA 10 YA MAFANIKIO
10 years ago
Mwananchi10 Jul
JK avunja Bunge, ataja mafanikio ya miaka 10