Serikali ya Muungano, SMZ zaanika mafanikio ya Ilani
SERIKALI za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi Zanzibar, zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na hivyo kukuza na kuboresha maisha ya wananchi wa pande zote za Muungano.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
BoT na mafanikio ya miaka 50 ya Muungano
“BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) ilianzishwa mwaka 1966 kwa sheria iliyopitishwa na Bunge la Tanzania mwaka 1965 na kupewa uwezo wa kutekeleza majukumu yake ya msingi.” Hivyo ndivyo anavyoanza kuzungumza...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
MIAKA 50 YA MUUNGANO : Shirika la Posta lajivunia mafanikio
SHIRIKA la Posta Tanzania limeshiriki katika maonyesho ya miaka 50 ya Muungano yaliyofanyika Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Lengo la ushiriki huo ni kuonyesha jamii kuwa wanadumisha muungano uliopo baina...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-v9YLoDDSzSs/VXkercs4ThI/AAAAAAAAAPs/5HSCqllRz1k/s72-c/mpya6.png)
MASHINDANO YA MUUNGANO YAMEFIKIA MWISHO KWA MAFANIKIO MAKUBWA SANA, MJINI MUFINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-v9YLoDDSzSs/VXkercs4ThI/AAAAAAAAAPs/5HSCqllRz1k/s640/mpya6.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Byj6CnsHQeA/VXkekrcu7fI/AAAAAAAAAPU/D31WQ-OuplU/s640/mpya17.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yTb3ugHgD0s/VXkei5AsUtI/AAAAAAAAAPE/RB5cQRrv0GM/s640/mpya20.png)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fB3Gh-jAWIQ/Xl4yrWSn8CI/AAAAAAALgrQ/-oLuep10ER4sYmR3b_w0WW5VeZt10Gn7gCLcBGAsYHQ/s72-c/pix%2B1.jpg)
Ushirikiano Serikali ya SMT na SMZ wazidi kupaa
Katika kuimarisha Muungano Serikali ya Tanzania Bara na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Sekta za Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo zimeendelea kutekeleza vizuri maeneo ya ushirikiano ambayo yameridhiwa na pande hizo.
Hayo yamebainika leo visiwani Zanzibar katika Kikao cha Wataalam wa Sekta hizo kutoka pande mbili za serikali wakati walipokuwa wakijadili utekelezaji wa maazimio yaliyoridhiwa na Mawaziri wanaosimamia sekta hizo mwezi julai 2019...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13-768x589.jpg)
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Inatekeleza Haki za Binadamu Kwa Kutoa Afya na Elimu Bure- Dkt.Shein
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s640/1-13-768x589.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-1-1-1024x683.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (pichani), walipomtembelea Ofisini kwake Ikulu Zanzibar, kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DKT. SHEIN: SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR (SMZ) INATEKELEZA HAKI ZA BINAADAMU KWA KUTOA AFYA NA ELIMU BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza alipokutana na ujumbe wa watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ikulu Zanzibar, Dkt. Shein alisema kuwa Serikali inatakeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora ikiwa ni utekelezaji wa dhana iliyoasisiwa na Hayati. Abeid...
11 years ago
Mwananchi02 May
Serikali yajigamba mafanikio ya BRN
10 years ago
Habarileo23 Jun
Elimu, afya yapaisha mafanikio ya Serikali
SERIKALI imesema imepata mafanikio makubwa katika maeneo mbalimbali ikiwemo Sekta ya Afya na Elimu katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na hiyo ni ishara nzuri ya kufikia lengo la uchumi wa kati na endelevu ifikapo mwaka 2025.
10 years ago
Mwananchi13 May
Pinda aainisha mafanikio ya Serikali ya JK kwa miaka 10