Ushirikiano Serikali ya SMT na SMZ wazidi kupaa
![](https://1.bp.blogspot.com/-fB3Gh-jAWIQ/Xl4yrWSn8CI/AAAAAAALgrQ/-oLuep10ER4sYmR3b_w0WW5VeZt10Gn7gCLcBGAsYHQ/s72-c/pix%2B1.jpg)
Na Shamimu Nyaki – WHUSM, Zanzibar
Katika kuimarisha Muungano Serikali ya Tanzania Bara na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Sekta za Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo zimeendelea kutekeleza vizuri maeneo ya ushirikiano ambayo yameridhiwa na pande hizo.
Hayo yamebainika leo visiwani Zanzibar katika Kikao cha Wataalam wa Sekta hizo kutoka pande mbili za serikali wakati walipokuwa wakijadili utekelezaji wa maazimio yaliyoridhiwa na Mawaziri wanaosimamia sekta hizo mwezi julai 2019...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Ruvuma wazidi kupaa kwa kilimo
10 years ago
Habarileo19 Feb
SMZ yahakikisha ushirikiano Mfuko wa Waasisi wa Taifa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Tanzania ziko tayari kushirikiana na Bodi ya Udhamini ya Mfuko wa Kuwaenzi Waasisi wa Taifa kutokana na mchango wao mkubwa kwa Taifa hili.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_MYStguh6B0/VImM6srLoWI/AAAAAAAG2hg/mQwF7wUGAyk/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
WAZIRI CHIKAWE, HAJI WA SMZ WAONGOZA MKUTANO WA USHIRIKIANO WA WIZARA ZAO JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-_MYStguh6B0/VImM6srLoWI/AAAAAAAG2hg/mQwF7wUGAyk/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYoJmZSigYg/VImM6quJgHI/AAAAAAAG2hc/x-Wb_QG97Bw/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
Habarileo13 Jul
Serikali ya Muungano, SMZ zaanika mafanikio ya Ilani
SERIKALI za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi Zanzibar, zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na hivyo kukuza na kuboresha maisha ya wananchi wa pande zote za Muungano.
10 years ago
Mtanzania01 Apr
Maaskofu wazidi kuibana Serikali
Na Esther Mbusi Dar es Salaam na Fredy Azzah, Dodoma
JUKWAA la Wakristo Tanzania (TCF), limeendelea kushikilia msimamo wake wa kuwashinikiza waumini kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.
Limesema Katiba Inayopendekezwa imefika hapo ilipo kwa njia ya ubabe na kukosa uadilifu. Tamko la umoja huo lililotolewa jana na kusainiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Dk. Alex Malasusa, Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Tarcisius...
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Maaskofu wazidi kuikaba koo Serikali
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DKT. SHEIN: SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR (SMZ) INATEKELEZA HAKI ZA BINAADAMU KWA KUTOA AFYA NA ELIMU BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza alipokutana na ujumbe wa watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ikulu Zanzibar, Dkt. Shein alisema kuwa Serikali inatakeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora ikiwa ni utekelezaji wa dhana iliyoasisiwa na Hayati. Abeid...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13-768x589.jpg)
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Inatekeleza Haki za Binadamu Kwa Kutoa Afya na Elimu Bure- Dkt.Shein
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s640/1-13-768x589.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-1-1-1024x683.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (pichani), walipomtembelea Ofisini kwake Ikulu Zanzibar, kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji...
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Serikali kuendeleza ushirikiano na NHIF