SMZ yahakikisha ushirikiano Mfuko wa Waasisi wa Taifa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Tanzania ziko tayari kushirikiana na Bodi ya Udhamini ya Mfuko wa Kuwaenzi Waasisi wa Taifa kutokana na mchango wao mkubwa kwa Taifa hili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMaalim Seif akutana na wanabodi ya udhamini wa mfuko wa kuwaenzi waasisi wa Taifa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fB3Gh-jAWIQ/Xl4yrWSn8CI/AAAAAAALgrQ/-oLuep10ER4sYmR3b_w0WW5VeZt10Gn7gCLcBGAsYHQ/s72-c/pix%2B1.jpg)
Ushirikiano Serikali ya SMT na SMZ wazidi kupaa
Na Shamimu Nyaki – WHUSM, Zanzibar
Katika kuimarisha Muungano Serikali ya Tanzania Bara na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Sekta za Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo zimeendelea kutekeleza vizuri maeneo ya ushirikiano ambayo yameridhiwa na pande hizo.
Hayo yamebainika leo visiwani Zanzibar katika Kikao cha Wataalam wa Sekta hizo kutoka pande mbili za serikali wakati walipokuwa wakijadili utekelezaji wa maazimio yaliyoridhiwa na Mawaziri wanaosimamia sekta hizo mwezi julai 2019...
Katika kuimarisha Muungano Serikali ya Tanzania Bara na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Sekta za Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo zimeendelea kutekeleza vizuri maeneo ya ushirikiano ambayo yameridhiwa na pande hizo.
Hayo yamebainika leo visiwani Zanzibar katika Kikao cha Wataalam wa Sekta hizo kutoka pande mbili za serikali wakati walipokuwa wakijadili utekelezaji wa maazimio yaliyoridhiwa na Mawaziri wanaosimamia sekta hizo mwezi julai 2019...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Kikwete: Ni utovu wa nidhamu kuwatukana waasisi wa Taifa
Rais Jakaya Kikwete amesema ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu unaoonyeshwa na baadhi ya Watanzania kuwatukana, kuwadhihaki na kuwakejeli waanzilishi wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_MYStguh6B0/VImM6srLoWI/AAAAAAAG2hg/mQwF7wUGAyk/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
WAZIRI CHIKAWE, HAJI WA SMZ WAONGOZA MKUTANO WA USHIRIKIANO WA WIZARA ZAO JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-_MYStguh6B0/VImM6srLoWI/AAAAAAAG2hg/mQwF7wUGAyk/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYoJmZSigYg/VImM6quJgHI/AAAAAAAG2hc/x-Wb_QG97Bw/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uKnyDJPhpJo/Xp7-5SLOMUI/AAAAAAALnuU/JZppuSorC64zGNQ-M6CjmBxMieJbRgGEQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200421-WA0045.jpg)
DAWASA YAHAKIKISHA USALAMA KWA WAFANYAKAZI WAKE KUJIKINGA NA COVID-19
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani DAWASA wamechukua tahadhari kwa wafanyakazi dhidi ya Maambukizi ya homa ya Mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona.
Dawasa wamechukua tahadhari hiyo kwa kuwapatia wafanyakazi wake wakiwemo mafundi wa maeneo mbalimbali vifaa vya kuwakinga ikiwemo Barakoa ili wavae muda wote wakiwa katika majukumu yao.
Hatua hiyo ni muhimu katika kutii agizo la serikali kwa kuvaa barakoa ili kuweza kujikinga, kupunguza...
Dawasa wamechukua tahadhari hiyo kwa kuwapatia wafanyakazi wake wakiwemo mafundi wa maeneo mbalimbali vifaa vya kuwakinga ikiwemo Barakoa ili wavae muda wote wakiwa katika majukumu yao.
Hatua hiyo ni muhimu katika kutii agizo la serikali kwa kuvaa barakoa ili kuweza kujikinga, kupunguza...
9 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA UMEPIGA HATUWA KUBWA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DLF5DsXQ0-k/U5q2nYu5pcI/AAAAAAAAKiM/VeGvn7E5aY8/s72-c/NHIF.7.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA MKOANI TABORA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DLF5DsXQ0-k/U5q2nYu5pcI/AAAAAAAAKiM/VeGvn7E5aY8/s1600/NHIF.7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lTkhnCbe6Cg/U5q3ZHsDpdI/AAAAAAAAKik/4EYn_vIUzdI/s1600/NHIF.9.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RCD2NUyH8vA/U4h97SPqllI/AAAAAAACifY/op-jg1IubNU/s72-c/New+Picture+(2).png)
Kamati Tendaji ya Taifa ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, yazuru Kibaha, Pwani.
![](http://4.bp.blogspot.com/-RCD2NUyH8vA/U4h97SPqllI/AAAAAAACifY/op-jg1IubNU/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7Xb4pVQTdeM/U4h-D2lmyrI/AAAAAAACifg/AKQTBLonCJI/s1600/New+Picture+(3).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tbUli0nLnQE/U4h-D2nAviI/AAAAAAACifk/wXTQxCo3YLE/s1600/New+Picture+(4).png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oldZoKvmSuk/U5xCpYD99TI/AAAAAAAFqok/uHYm6Nb5pUc/s72-c/New+Picture.png)
MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KUSHIRIKI KWENYE WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-oldZoKvmSuk/U5xCpYD99TI/AAAAAAAFqok/uHYm6Nb5pUc/s1600/New+Picture.png)
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya utatoa huduma zifuatazo;-
• Elimu kwa Umma juu ya Huduma za NHIF na CHF/TIKA
• Usajili wa wanachama
• Upimaji wa afya bure kwa wanachama na wananchi wengine na vipimo vitakavyotolewa ni;-
1. Kisukari,
2. Shinikizo la damu,
3. Hali Lishe
4. Saratani ya matiti.
5. Ushauri wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania