MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA UMEPIGA HATUWA KUBWA
Mkurugenzi wa Matibabu na Huduma za kiufundi Dr. Frank Lekey akizugumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya miaka kumi ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dokta Jakaya Kikwete, Mfuko umepiga hatua kubwa ya maendeleo, idadi ya wanachama wachangiaji 640,341 na idadi ya wanufaika ni 3,237,434 kikao hicho kimefanyika leo jiji Dar es Salaam
Waandishi wa habari wa kimsikiliza Mkurugenzi wa Matibabu na Huduma za kiufundi Dr. Frank Lekey kikao hicho kimefanyika leo jiji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWaziri wa Afya atembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya jijini Dar
5 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KUHAMASISHA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO NCHINI KUJIUNGA KIFURUSHI CHA MACHINGA AFYA KWA SH.100,000
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) umeanzisha kifurushi cha 'Machinga Afya' kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo maarufu kwa jina la Wamachinga ambacho gharama yake ni Sh.100,000 tu.
Kwa mujibu wa NHIF ni kifurushi hicho baada mwanachama kujiunga na kulipa fedha hizo atapata huduma ya matibabu ya afya nchi nzima na katika vituo vya afya zaidi ya 7,700.
Akizungumzia leo Juni 9,2020 jijini Dar es Salaam Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja NHIF Hipoliti...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DLF5DsXQ0-k/U5q2nYu5pcI/AAAAAAAAKiM/VeGvn7E5aY8/s72-c/NHIF.7.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA MKOANI TABORA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DLF5DsXQ0-k/U5q2nYu5pcI/AAAAAAAAKiM/VeGvn7E5aY8/s1600/NHIF.7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lTkhnCbe6Cg/U5q3ZHsDpdI/AAAAAAAAKik/4EYn_vIUzdI/s1600/NHIF.9.jpg)
10 years ago
MichuziMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oldZoKvmSuk/U5xCpYD99TI/AAAAAAAFqok/uHYm6Nb5pUc/s72-c/New+Picture.png)
MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KUSHIRIKI KWENYE WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-oldZoKvmSuk/U5xCpYD99TI/AAAAAAAFqok/uHYm6Nb5pUc/s1600/New+Picture.png)
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya utatoa huduma zifuatazo;-
• Elimu kwa Umma juu ya Huduma za NHIF na CHF/TIKA
• Usajili wa wanachama
• Upimaji wa afya bure kwa wanachama na wananchi wengine na vipimo vitakavyotolewa ni;-
1. Kisukari,
2. Shinikizo la damu,
3. Hali Lishe
4. Saratani ya matiti.
5. Ushauri wa...
10 years ago
VijimamboMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) wazindua huduma za madaktari bingwa mkoani Singida!!
9 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA WAMESAINI MKATABA NA PSPF LEO JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziWAJASIRIAMALI TOKA VIKUNDI MBALIMBALI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)
Wajasiriamali toka vikundi mbalimbali wamehamasishwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ili kurahisisha matibabu wawapo katika shughuli zao za kawaida,leo katika ukumbi wa Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam.
Katika Mpango mpya uliozinduliwa na Mfuko huo ujulikanao kama Mpango wa Kikoa(MATUAL PLAN),Wajasiriamali watakaojiunga na mfuko huo na kuwa wanachama watalipia shilingi 76,800 kwa mwaka ili kupata matibabu kupitia mfuko huo. ...