Waziri wa Afya atembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya jijini Dar
Kaimu Mkurugezi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Hamis Mdee akimkabidhi Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt. Seif Rashid nakala ya Taarifa ya Utekelezaji wa Mfuko huo,wakati wa ziara ya Waziri kwenye Ofisi za Mfuko huo,jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt. Seif Rashid akizungumza na watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (hawapo pichani) wakati alipotembelea Ofisi za Mfuko huo,jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt. Seif Rashid...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA WAMESAINI MKATABA NA PSPF LEO JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZI0EssbtJsI/Vg1OlDxpo1I/AAAAAAAH8LU/Og131zR8ENc/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF) WASANI MKATABA NA TFF LEO JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KUHAMASISHA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO NCHINI KUJIUNGA KIFURUSHI CHA MACHINGA AFYA KWA SH.100,000
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) umeanzisha kifurushi cha 'Machinga Afya' kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo maarufu kwa jina la Wamachinga ambacho gharama yake ni Sh.100,000 tu.
Kwa mujibu wa NHIF ni kifurushi hicho baada mwanachama kujiunga na kulipa fedha hizo atapata huduma ya matibabu ya afya nchi nzima na katika vituo vya afya zaidi ya 7,700.
Akizungumzia leo Juni 9,2020 jijini Dar es Salaam Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja NHIF Hipoliti...
9 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA UMEPIGA HATUWA KUBWA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DLF5DsXQ0-k/U5q2nYu5pcI/AAAAAAAAKiM/VeGvn7E5aY8/s72-c/NHIF.7.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA MKOANI TABORA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DLF5DsXQ0-k/U5q2nYu5pcI/AAAAAAAAKiM/VeGvn7E5aY8/s1600/NHIF.7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lTkhnCbe6Cg/U5q3ZHsDpdI/AAAAAAAAKik/4EYn_vIUzdI/s1600/NHIF.9.jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Jul
AFYA: Hofu yatanda Mfuko Bima ya Afya
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oldZoKvmSuk/U5xCpYD99TI/AAAAAAAFqok/uHYm6Nb5pUc/s72-c/New+Picture.png)
MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KUSHIRIKI KWENYE WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-oldZoKvmSuk/U5xCpYD99TI/AAAAAAAFqok/uHYm6Nb5pUc/s1600/New+Picture.png)
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya utatoa huduma zifuatazo;-
• Elimu kwa Umma juu ya Huduma za NHIF na CHF/TIKA
• Usajili wa wanachama
• Upimaji wa afya bure kwa wanachama na wananchi wengine na vipimo vitakavyotolewa ni;-
1. Kisukari,
2. Shinikizo la damu,
3. Hali Lishe
4. Saratani ya matiti.
5. Ushauri wa...