Pinda aainisha mafanikio ya Serikali ya JK kwa miaka 10
>Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana aliwasilisha Bajeti ya lala salama ya ofisi yake na taasisi zake kwa mwaka 2015/16, huku akieleza mafanikio katika sekta mbalimbali yaliyofikiwa na Serikali ya Awamu ya Nne tangu ilipoingia madarakani mwaka 2005.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3NfxeLWjbqk/VZqN74ijf3I/AAAAAAAHnT0/VSNoRHThsQg/s72-c/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA MAFANIKIO YA WIZARA YAKE KATIKA KIPINDI CHA MIAKA KUMI YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE
![](http://4.bp.blogspot.com/-3NfxeLWjbqk/VZqN74ijf3I/AAAAAAAHnT0/VSNoRHThsQg/s640/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
9 years ago
StarTV11 Nov
Ushirikiano wa Tanzania na EU kwa miaka 40 yaleta mafanikio
Amani na ukomavu wa kidemokrasia tangu Tanzania ilipoanza kushiriki katika masuala mbalimbali ya maendeleo mwaka 1975 umeifanya nchi hii kuwa mfano wa kuigwa na mataifa mengine.
Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania anayemaliza muda wake Filberto Sebregondi amesema katika kutimiza miaka 40 ya ushirikiano uliopo wanajivunia mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya afya, elimu, miundombinu na maendeleo ya jamii.
Akizungumza jijini Dar es Salaam katika kusheherekea mwaka wa Ulaya kwa...
9 years ago
VijimamboWIZARA YA UJENZI YAELEZEA MAFANIKIO YAKE KWA KIPINDI CHA MIAKA 10
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Wizara ya Ujenzi yaeleza mafanikio yake kwa kipindi cha miaka 10
10 years ago
MichuziTAARIFA YA MAFANIKIO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE KWA MIAKA MITANO TANGU 2010-2015
11 years ago
MichuziMAFANIKIO NA CHANGAMOTO ZA CUF KIPINDI CHA MIAKA MITANO VIWE VITENDEA KAZI KWA UONGOZI MPYA
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwasilisha taarifa ya chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita kwenye mkutano mkuu wa chama hicho unaofanyika Ubungo Plaza Dar es Salaam.
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Serikali yakiri changamoto licha ya mafanikio ajira kwa vijana
Meza kuu katika warsha ya vijana na ajira iliyofadhiliwa na Mpango wa Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Kimataifa kutoka Canada (IDRC) na kuratibiwa na ESRF. Kutoka kushoto ni Afisa kutoka Wizara ya Kazi na Ajira kitengo cha Ajira, Joseph Nganga, Mkurugenzi wa Kazi katika Wizara ya Kazi na Ajira, Ally M. Ahmed,
Mkurugenzi wa Salama Foundation, Shadrack John Msuya akiwasilisha mapendekezo ya vijana juu ya namna ambavyo vipaji, elimu na ubunifu vinavyoweza kutengeneza ajira...
10 years ago
VijimamboBODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAELEZEA MAFANIKIO YAKE NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE KWA KIPINDI CHA MWAKA 2005-2015
10 years ago
Habarileo06 Apr
JK ajivunia miaka 10 ya mafanikio
SERIKALI ya awamu ya nne inajivunia mafanikio iliyoyapata tangu kuingia madarakani mwaka 2005 na kuweka msingi imara wa nchi katika kutekeleza Mkakati wa Maendeleo wa Mwaka 2025 ambao unalenga kuifanya Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.