Ushirikiano wa Tanzania na EU kwa miaka 40 yaleta mafanikio
Amani na ukomavu wa kidemokrasia tangu Tanzania ilipoanza kushiriki katika masuala mbalimbali ya maendeleo mwaka 1975 umeifanya nchi hii kuwa mfano wa kuigwa na mataifa mengine.
Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania anayemaliza muda wake Filberto Sebregondi amesema katika kutimiza miaka 40 ya ushirikiano uliopo wanajivunia mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya afya, elimu, miundombinu na maendeleo ya jamii.
Akizungumza jijini Dar es Salaam katika kusheherekea mwaka wa Ulaya kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Ushirikiano kwa wasanii nguzo ya mafanikio
10 years ago
MichuziTANZANIA NA VIETNAM WASHEREHEKEA MIAKA 50 YA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA
11 years ago
Michuzi
MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA NA USHIRIKIANO KATIKA UTUMISHI WA UMMA.

11 years ago
Michuzi.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA KATI YA TANZANIA NA CHINA HUKO BEIJING
.jpg)
.jpg)
10 years ago
MichuziMFUKO WA VYOMBO VYA HABARI TANZANIA KUADHIMISHA MIAKA NANE YA MAFANIKIO
10 years ago
Mwananchi13 May
Pinda aainisha mafanikio ya Serikali ya JK kwa miaka 10
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Mfuko wa vyombo vya Habari Tanzania (TMF) kuadhimisha miaka nane ya mafanikio
Mkurugenzi wa Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF), Ernest Sungura akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari kutangaza tukio hilo, ameeleza Tarehe 22 Septemba, 2015 tutakuwa na tukio la madhimisho ambayo yatajumuisha maonyesho kwa ajili ya waandishi wa habari waliowezeshwa na misaada ya TMF kuonyesha kazi zao na jinsi gani zimechangia kuleta uwajibikaji na pia kuonyesha kazi ambazo zimepandisha kiwango cha mijadala ya umma katika masuala husika hususani utawala bora na haki za...
11 years ago
Michuzi
Bayport Tanzania yaleta kicheko kwa watumishi wa umma

Uzinduzi huo uliofanyika jana, umeonyesha matumaini mapya ya Watanzania...
10 years ago
VijimamboWIZARA YA UJENZI YAELEZEA MAFANIKIO YAKE KWA KIPINDI CHA MIAKA 10