Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtitu ajivunia mafanikio 2013

MKURUGENZI wa kampuni ya kizalendo ya 5 Effects Film, William Mtitu, amejivunia mafanikio aliyoyapata mwaka 2013 kwa kufanikiwa kutoa filamu tatu ambazo zote zinafanya vizuri sokoni, huku mapema mwezi huu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

JK ajivunia miaka 10 ya mafanikio

Rais Jakaya Kikwete akitoa mhadhara katika kituo cha Kimataifa cha Woodrow Wilson jijini Washington DC. (Picha na Ikulu).SERIKALI ya awamu ya nne inajivunia mafanikio iliyoyapata tangu kuingia madarakani mwaka 2005 na kuweka msingi imara wa nchi katika kutekeleza Mkakati wa Maendeleo wa Mwaka 2025 ambao unalenga kuifanya Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maalim Seif ajivunia mafanikio CUF

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema mafanikio na changamoto katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, viwe vitendea kazi kwa uongozi mpya utakaopatikana baada ya...

 

11 years ago

Habarileo

Profesa Maghembe ajivunia mafanikio miradi ya maji

Profesa Jumanne MaghembeWAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe amesema wabunge watapewa nakala za taarifa za miradi ya maji inayotekelezwa mijini ambapo kumekuwa na mafanikio makubwa katika utekelezaji wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunauaga 2013 bila mafanikio kwenye michezo

>Zimebaki siku nne kabla ya kuuga mwaka 2013. Jumamosi hii ya leo inatukumbusha nini tulifanya mwaka huu kabla ya kuanza mwaka 2014.

 

9 years ago

Mwananchi

MBINU ZA MAFANIKIO : Jinsi ya kutawala mafanikio yako - 2

Katika mada hii ya namna ya kudumisha mafanikio yako, wiki iliyopita nilielezea juu ya dondoo za jinsi ya kutawala biashara yako ili isitetereke na kurudi nyuma.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mpoto ajivunia ziara mikoani

MSANII wa muziki wa asili nchini, Mrisho Mpoto, amesema albamu yake ya ‘Waite’ imekuwa ikifanya vizuri sokoni hasa kupitia ziara yake katika mikoa mbalimbali kwani hadi sasa ameweza kuuza nakala...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Phiri ajivunia kiwango Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, amesema kutokana na ubora wa kikosi alichonacho anauhakika kuwa kikosi hicho kitatwaa ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/2015. Kauli hiyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nkurunziza ajivunia kuleta demokrasia

Raia wa Burundi wanapiga kura leo katika uchaguzi wa rais uliojaa utata, miezi kadhaa baada ya jaribio lililokwama la mapinduzi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diamond ajivunia vurugu za Ujerumani

MASANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amesema vurugu zilizotokea hivi karibuni nchini Ujerumani, haoni kama zimemchafua kwa namna yeyote na badala yake zimempa nafasi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani