Nkurunziza ajivunia kuleta demokrasia
Raia wa Burundi wanapiga kura leo katika uchaguzi wa rais uliojaa utata, miezi kadhaa baada ya jaribio lililokwama la mapinduzi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
10 years ago
Habarileo06 Apr
JK ajivunia miaka 10 ya mafanikio
SERIKALI ya awamu ya nne inajivunia mafanikio iliyoyapata tangu kuingia madarakani mwaka 2005 na kuweka msingi imara wa nchi katika kutekeleza Mkakati wa Maendeleo wa Mwaka 2025 ambao unalenga kuifanya Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mpinga ajivunia mitandao ya kijamii
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Mpoto ajivunia ziara mikoani
MSANII wa muziki wa asili nchini, Mrisho Mpoto, amesema albamu yake ya ‘Waite’ imekuwa ikifanya vizuri sokoni hasa kupitia ziara yake katika mikoa mbalimbali kwani hadi sasa ameweza kuuza nakala...
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Sarah ajivunia kuwaremba wasanii
NA GEORGE KAYALA
MREMBO aliyebahatika kukubalika kwa wasanii wa filamu za Kibongo, Sarah Mapunda, amesema kuwa ana kila sababu ya kujivunia kazi ya kuwaremba waigizaji hao kwa kuwafanyia ‘makeup’ ili wawe na mwonekano
mzuri.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Sarah alisema kuwa karibu waigizaji wote wa filamu nchini wamekuwa wakitegemea huduma yake ya make-up na kwa kiasi kikubwa imemfanya aendeshe maisha yake bila kutetereka, hiyo imetokana na wahusika kumkubali.
“Najivunia kufanya kazi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMnR095r2ankBsbvmzu84nOH1AUfG7dqLQKy19aD7JVHBxvAdsWp3aXDpE61SfXCp*JDa0QEzab*Q81J4GJ9Lg5a/riyana.jpg?width=650)
RIYAMA AJIVUNIA KUPUNGUA UNENE
10 years ago
Bongo Movies26 May
Riyama Ajivunia Maneno ya Kiswazi
Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally, ameibuka na kusema anajivunia kuwa na manenona misemo ya kiswazi ambayo huzungumzwa na wanawake wanaishi sehemu za uswahilini ndiyo maana amekuwa akishirikishwa kwenye Filamu nyingi.
Akizungumza na Tanuru la Filamu jana, Rayama alisema kuwa filamu mpya iitwayo WOGA ambayo ipo madukani sasa imesababisha watu wengi wahisi kama ndivyo alivyo hata akiwa nyumbani kwake kwa sababu uhusika alioubeba huku unaonekana ndivyo tabia yake.
“Nine kila sababu...
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Maguli ajivunia kucheza na Samatta
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Dullayo ajivunia kipaji chake
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abrahaman Kasembe ‘Dullayo’, amesema anajivunia kipaji alichonacho kwani hakiwezi kuchuja kama inavyokuwa kwa wasanii wengine. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Dullayo alisema,...