Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sarah ajivunia kuwaremba wasanii

SARA-MAPUNDA-2-204x300NA GEORGE KAYALA

MREMBO aliyebahatika kukubalika kwa wasanii wa filamu za Kibongo, Sarah Mapunda, amesema kuwa ana kila sababu ya kujivunia kazi ya kuwaremba waigizaji hao kwa kuwafanyia ‘makeup’ ili wawe na mwonekano
mzuri.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Sarah alisema kuwa karibu waigizaji wote wa filamu nchini wamekuwa wakitegemea huduma yake ya make-up na kwa kiasi kikubwa imemfanya aendeshe maisha yake bila kutetereka, hiyo imetokana na wahusika kumkubali.

“Najivunia kufanya kazi ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Sarah: ‘Make-up’ huficha ubaya wa sura za wasanii

SARA MAPUNDA (2)NA GEORGE KAYALA

MREMBAJI wa sura za waigizaji wanapokuwa katika harakati za upigaji picha za filamu zao, Sarah Mapunda, amesema kuwa ‘make-up’ husaidia kuficha ubaya wa sura za baadhi ya wasanii wa filamu.

Aliongeza kwamba urembo huwabadilisha wasanii na kuwaweka katika mvuto zaidi ndiyo maana wasiporembwa hushangaza wanapokutana na mashabiki wao kwa kuwa baadhi yao huonekana tofauti na sura zao halisi baada ya kuwafanyia ‘make-ups’.

“Kwa muda mrefu nimekuwa nikiwafanyia make-up wasanii wa...

 

9 years ago

BBC

The significance of Sarah Baartman

The extraordinary, appalling story of Sarah Baartman

 

9 years ago

GPL

SARAH MVUNGI: NINA GUNDU NA WANAUME

Msanii wa muziki wa Injili, Sarah Mvungi. BRIGHTON MASALU MSANII wa muziki wa Injili, Sarah Mvungi amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa ana gundu na wanaume na kwamba wengi humkimbia kutokana na sharti analowapa. Akizungumza na Amani, Sarah alisema katika maisha yake hajawahi kufurahia mapenzi, aliwahi kuishi kwenye ndoa kwa miaka 12 lakini hakuwahi kufurahia maisha ya kuolewa. “Si kwamba sitongozwi, la hasha, natongozwa...

 

10 years ago

GPL

SARAH MVUNGI: ROSE MUHANDO HAJIELEWI

Mayasa mariwata Staa wa nyimbo za Injili ambaye pia ni mwigizaji wa sinema za Kibongo, Sarah Mvungi amefunguka juu ya mwimbaji mwenzake, Rose Muhando kutaka kuhama Ukristo na kurudi kwenye Uislam. Akibonga na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Sarah alistaajabu kauli ya Rose kuwa tangu amekuwa Mkristo amekuwa akiandamwa na misukosuko mingi kiasi cha kukata tamaa na kutamani kurejea kwenye dini yake ya awali ya Uislam. ...Soma...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SARAH MVUNGI: Hazina ya vipaji iliyopitia majaribu lukuki

SARAH Mvungi ni miongoni mwa wasanii waliopitia changamoto mbalimbali ambazo zilimsababisha apitie ujuzi wa taaluma tofauti kabla ya kuibukia katika uigizaji. Msanii huyo mwenye vipaji lukuki, amepitia mengi katika maisha...

 

10 years ago

US Department Of State (Press Release)

Under Secretary for Civilian Security, Democracy and Human Rights Sarah ...


Under Secretary for Civilian Security, Democracy and Human Rights Sarah ...
US Department of State (press release)
Under Secretary for Civilian Security, Democracy and Human Rights Sarah Sewall will travel to Kenya, Tanzania and Uganda, March 12-20, 2015. During her travel, Under Secretary Sewall will meet government officials, representatives of civil society, ...

 

9 years ago

Global Publishers

Break Up Day iliniumiza sana kichwa – Sarah Kim

Sarah Kimario ‘Sarah Kim’

Stori: Ng’osha Gabriel

Mwanamuziki wa Muziki wa Injili, Sarah Kimario ‘Sarah Kim’ ameibuka na kusema kwamba ngoma yake mpya ya Break Up Day ndiyo iliyomuumiza kichwa chake katika kipindi alichokuwa akiitunga.

Akipiga stori na mwandishi wetu, Sarah alifunguka kuwa wakati alipopata wazo la kutunga wimbo wa kumuimbia Mungu, alipata wakati mgumu mno kwani kila idea iliyokuja kichwani mwake, ilionekana kutokufaa mpaka alipoonyeshwa na Roho Mtakatifu nini cha kuandika.

“Nilipata wakati mgumu...

 

10 years ago

Kingston Guardian

Sarah Harding is swapping pop for soap as she joins Coronation Street


Epsom Guardian
Sarah Harding is swapping pop for soap as she joins Coronation Street
Kingston Guardian
Former Girls Aloud star Sarah Harding will be bringing Something Kinda Ooooh to the cobbles of Coronation Street. The 33-year-old singer and actress is set to make a guest appearance in the soap this summer, as a feisty new character who will clash with ...
Tanzanian food odyssey lands Trafalgar Infant School pupils a prizeYour Local Guardian

all 2

 

9 years ago

Vijimambo

SARAH K KUPAMBA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI UCHAGUZI MKUU TANZANIA

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la kuombea Amani Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 Alex Msama akifafanua jambo wakati wa mkutano wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste Tanzania, Askofu David Mwasota.(Picha na Francis Dande)Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste Tanzania, Askofu David Mwasota akifafanua jambo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Amani, Alex Msama akifafanua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani