Sarah ajivunia kuwaremba wasanii
NA GEORGE KAYALA
MREMBO aliyebahatika kukubalika kwa wasanii wa filamu za Kibongo, Sarah Mapunda, amesema kuwa ana kila sababu ya kujivunia kazi ya kuwaremba waigizaji hao kwa kuwafanyia ‘makeup’ ili wawe na mwonekano
mzuri.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Sarah alisema kuwa karibu waigizaji wote wa filamu nchini wamekuwa wakitegemea huduma yake ya make-up na kwa kiasi kikubwa imemfanya aendeshe maisha yake bila kutetereka, hiyo imetokana na wahusika kumkubali.
“Najivunia kufanya kazi ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Sarah: ‘Make-up’ huficha ubaya wa sura za wasanii
NA GEORGE KAYALA
MREMBAJI wa sura za waigizaji wanapokuwa katika harakati za upigaji picha za filamu zao, Sarah Mapunda, amesema kuwa ‘make-up’ husaidia kuficha ubaya wa sura za baadhi ya wasanii wa filamu.
Aliongeza kwamba urembo huwabadilisha wasanii na kuwaweka katika mvuto zaidi ndiyo maana wasiporembwa hushangaza wanapokutana na mashabiki wao kwa kuwa baadhi yao huonekana tofauti na sura zao halisi baada ya kuwafanyia ‘make-ups’.
“Kwa muda mrefu nimekuwa nikiwafanyia make-up wasanii wa...
9 years ago
BBC07 Jan
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyX6b85vL9eTLoUfB45SEVZ344e2tWkfUPrcfL6Xl6yiotg6OKRnBs6Oe947Um9bloz5dGA4SwF0r-UE8kgP5WXL/sara1.jpg?width=650)
SARAH MVUNGI: NINA GUNDU NA WANAUME
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0I-FGNA3NojYGCHnfu5OUm7Mh5lef4iu3*rlB-wW15*oyyK4ySBXN81ntMHhBbT75XzLdXEy3ERh5GaQzS3LcID/sara1.jpg?width=650)
SARAH MVUNGI: ROSE MUHANDO HAJIELEWI
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
SARAH MVUNGI: Hazina ya vipaji iliyopitia majaribu lukuki
SARAH Mvungi ni miongoni mwa wasanii waliopitia changamoto mbalimbali ambazo zilimsababisha apitie ujuzi wa taaluma tofauti kabla ya kuibukia katika uigizaji. Msanii huyo mwenye vipaji lukuki, amepitia mengi katika maisha...
10 years ago
US Department Of State (Press Release)14 Mar
Under Secretary for Civilian Security, Democracy and Human Rights Sarah ...
US Department of State (press release)
Under Secretary for Civilian Security, Democracy and Human Rights Sarah Sewall will travel to Kenya, Tanzania and Uganda, March 12-20, 2015. During her travel, Under Secretary Sewall will meet government officials, representatives of civil society, ...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Break Up Day iliniumiza sana kichwa – Sarah Kim
Stori: Ng’osha Gabriel
Mwanamuziki wa Muziki wa Injili, Sarah Kimario ‘Sarah Kim’ ameibuka na kusema kwamba ngoma yake mpya ya Break Up Day ndiyo iliyomuumiza kichwa chake katika kipindi alichokuwa akiitunga.
Akipiga stori na mwandishi wetu, Sarah alifunguka kuwa wakati alipopata wazo la kutunga wimbo wa kumuimbia Mungu, alipata wakati mgumu mno kwani kila idea iliyokuja kichwani mwake, ilionekana kutokufaa mpaka alipoonyeshwa na Roho Mtakatifu nini cha kuandika.“Nilipata wakati mgumu...
10 years ago
Kingston Guardian01 Apr
Sarah Harding is swapping pop for soap as she joins Coronation Street
Epsom Guardian
Kingston Guardian
Former Girls Aloud star Sarah Harding will be bringing Something Kinda Ooooh to the cobbles of Coronation Street. The 33-year-old singer and actress is set to make a guest appearance in the soap this summer, as a feisty new character who will clash with ...
Tanzanian food odyssey lands Trafalgar Infant School pupils a prizeYour Local Guardian
all 2
9 years ago
VijimamboSARAH K KUPAMBA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI UCHAGUZI MKUU TANZANIA