Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


The significance of Sarah Baartman

The extraordinary, appalling story of Sarah Baartman

BBC

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Critical move -- from success to significance

In an interview with John David Mann for the magazine Networking Times, Nido was asked about the difference between success and significance. Nido responded as follows: We talk about ‘success’ as if it were the end result of life’s best journey, but that’s not so.

 

9 years ago

BBC

The amazing significance of what a mother-to-be eats

Where life chances depend on which season you're born in

 

9 years ago

Ykileo

RECOGNISING SIGNIFICANCE OF CYBER SECURITY AWARENESS

To start with I would like to recorgnise this "ARTICLE" , It has been an inspiration to rise awareness on the Cybersecurity awareness month. after that, Let me tell that in terms of global communications, the world is going through the most exciting period in human history. Now people are more connected than ever. Internet has been facilitating many things in daily routines.


People connect with friends and family, conduct business and banking online and rely on many services, like...

 

5 years ago

Dove Medical Press

Detection of PD-L1 Expression and Its Clinical Significance in Circula | CMAR

Detection of PD-L1 Expression and Its Clinical Significance in Circula | CMAR  Dove Medical Press

 

9 years ago

Mtanzania

Sarah ajivunia kuwaremba wasanii

SARA-MAPUNDA-2-204x300NA GEORGE KAYALA

MREMBO aliyebahatika kukubalika kwa wasanii wa filamu za Kibongo, Sarah Mapunda, amesema kuwa ana kila sababu ya kujivunia kazi ya kuwaremba waigizaji hao kwa kuwafanyia ‘makeup’ ili wawe na mwonekano
mzuri.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Sarah alisema kuwa karibu waigizaji wote wa filamu nchini wamekuwa wakitegemea huduma yake ya make-up na kwa kiasi kikubwa imemfanya aendeshe maisha yake bila kutetereka, hiyo imetokana na wahusika kumkubali.

“Najivunia kufanya kazi ya...

 

9 years ago

GPL

SARAH MVUNGI: NINA GUNDU NA WANAUME

Msanii wa muziki wa Injili, Sarah Mvungi. BRIGHTON MASALU MSANII wa muziki wa Injili, Sarah Mvungi amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa ana gundu na wanaume na kwamba wengi humkimbia kutokana na sharti analowapa. Akizungumza na Amani, Sarah alisema katika maisha yake hajawahi kufurahia mapenzi, aliwahi kuishi kwenye ndoa kwa miaka 12 lakini hakuwahi kufurahia maisha ya kuolewa. “Si kwamba sitongozwi, la hasha, natongozwa...

 

10 years ago

GPL

SARAH MVUNGI: ROSE MUHANDO HAJIELEWI

Mayasa mariwata Staa wa nyimbo za Injili ambaye pia ni mwigizaji wa sinema za Kibongo, Sarah Mvungi amefunguka juu ya mwimbaji mwenzake, Rose Muhando kutaka kuhama Ukristo na kurudi kwenye Uislam. Akibonga na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Sarah alistaajabu kauli ya Rose kuwa tangu amekuwa Mkristo amekuwa akiandamwa na misukosuko mingi kiasi cha kukata tamaa na kutamani kurejea kwenye dini yake ya awali ya Uislam. ...Soma...

 

9 years ago

Mtanzania

Sarah: ‘Make-up’ huficha ubaya wa sura za wasanii

SARA MAPUNDA (2)NA GEORGE KAYALA

MREMBAJI wa sura za waigizaji wanapokuwa katika harakati za upigaji picha za filamu zao, Sarah Mapunda, amesema kuwa ‘make-up’ husaidia kuficha ubaya wa sura za baadhi ya wasanii wa filamu.

Aliongeza kwamba urembo huwabadilisha wasanii na kuwaweka katika mvuto zaidi ndiyo maana wasiporembwa hushangaza wanapokutana na mashabiki wao kwa kuwa baadhi yao huonekana tofauti na sura zao halisi baada ya kuwafanyia ‘make-ups’.

“Kwa muda mrefu nimekuwa nikiwafanyia make-up wasanii wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Break Up Day iliniumiza sana kichwa – Sarah Kim

Sarah Kimario ‘Sarah Kim’

Stori: Ng’osha Gabriel

Mwanamuziki wa Muziki wa Injili, Sarah Kimario ‘Sarah Kim’ ameibuka na kusema kwamba ngoma yake mpya ya Break Up Day ndiyo iliyomuumiza kichwa chake katika kipindi alichokuwa akiitunga.

Akipiga stori na mwandishi wetu, Sarah alifunguka kuwa wakati alipopata wazo la kutunga wimbo wa kumuimbia Mungu, alipata wakati mgumu mno kwani kila idea iliyokuja kichwani mwake, ilionekana kutokufaa mpaka alipoonyeshwa na Roho Mtakatifu nini cha kuandika.

“Nilipata wakati mgumu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani