Sarah: ‘Make-up’ huficha ubaya wa sura za wasanii
NA GEORGE KAYALA
MREMBAJI wa sura za waigizaji wanapokuwa katika harakati za upigaji picha za filamu zao, Sarah Mapunda, amesema kuwa ‘make-up’ husaidia kuficha ubaya wa sura za baadhi ya wasanii wa filamu.
Aliongeza kwamba urembo huwabadilisha wasanii na kuwaweka katika mvuto zaidi ndiyo maana wasiporembwa hushangaza wanapokutana na mashabiki wao kwa kuwa baadhi yao huonekana tofauti na sura zao halisi baada ya kuwafanyia ‘make-ups’.
“Kwa muda mrefu nimekuwa nikiwafanyia make-up wasanii wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Sarah ajivunia kuwaremba wasanii
NA GEORGE KAYALA
MREMBO aliyebahatika kukubalika kwa wasanii wa filamu za Kibongo, Sarah Mapunda, amesema kuwa ana kila sababu ya kujivunia kazi ya kuwaremba waigizaji hao kwa kuwafanyia ‘makeup’ ili wawe na mwonekano
mzuri.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Sarah alisema kuwa karibu waigizaji wote wa filamu nchini wamekuwa wakitegemea huduma yake ya make-up na kwa kiasi kikubwa imemfanya aendeshe maisha yake bila kutetereka, hiyo imetokana na wahusika kumkubali.
“Najivunia kufanya kazi ya...
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Octopizzo: Sitajibu ubaya kwa ubaya
MSANII wa Kenya, Octopizzo amesema hatorekodi wimbo wa kuponda wabaya wake kwa kuwa kuendeleza ubaya kwa ubaya ni kupoteza muda bure.
Mwana hip hop huyo wa Kenya alikuwa katika majibizano makali na wasanii wenzake wa hip hop nchini humo; King Kaka, Jones, Khaligraph na Juliani.
Katika mahojiano na redio USIU ya nchini humo, alisema anapotaka kusaka mkwanja ataendelea kuusaka na hatotumia muda wake kujibizana.
10 years ago
Bongo515 Oct
Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache
9 years ago
BBCSwahili24 Oct
Utafiti: Sauti nzito kwenye kima huficha udhaifu
9 years ago
TheCitizen22 Dec
Kudos for traffic police ‘clean-up’
5 years ago
Capital FM18 Feb
Harry Styles ‘Shaken Up’ After Being ‘Robbed At Knife Point’ On Valentine’s Night
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s72-c/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro
![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s1600/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
9 years ago
BBC07 Jan
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0I-FGNA3NojYGCHnfu5OUm7Mh5lef4iu3*rlB-wW15*oyyK4ySBXN81ntMHhBbT75XzLdXEy3ERh5GaQzS3LcID/sara1.jpg?width=650)
SARAH MVUNGI: ROSE MUHANDO HAJIELEWI