Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sarah: ‘Make-up’ huficha ubaya wa sura za wasanii

SARA MAPUNDA (2)NA GEORGE KAYALA

MREMBAJI wa sura za waigizaji wanapokuwa katika harakati za upigaji picha za filamu zao, Sarah Mapunda, amesema kuwa ‘make-up’ husaidia kuficha ubaya wa sura za baadhi ya wasanii wa filamu.

Aliongeza kwamba urembo huwabadilisha wasanii na kuwaweka katika mvuto zaidi ndiyo maana wasiporembwa hushangaza wanapokutana na mashabiki wao kwa kuwa baadhi yao huonekana tofauti na sura zao halisi baada ya kuwafanyia ‘make-ups’.

“Kwa muda mrefu nimekuwa nikiwafanyia make-up wasanii wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Sarah ajivunia kuwaremba wasanii

SARA-MAPUNDA-2-204x300NA GEORGE KAYALA

MREMBO aliyebahatika kukubalika kwa wasanii wa filamu za Kibongo, Sarah Mapunda, amesema kuwa ana kila sababu ya kujivunia kazi ya kuwaremba waigizaji hao kwa kuwafanyia ‘makeup’ ili wawe na mwonekano
mzuri.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Sarah alisema kuwa karibu waigizaji wote wa filamu nchini wamekuwa wakitegemea huduma yake ya make-up na kwa kiasi kikubwa imemfanya aendeshe maisha yake bila kutetereka, hiyo imetokana na wahusika kumkubali.

“Najivunia kufanya kazi ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Octopizzo: Sitajibu ubaya kwa ubaya

octoMSANII wa Kenya, Octopizzo amesema hatorekodi wimbo wa kuponda wabaya wake kwa kuwa kuendeleza ubaya kwa ubaya ni kupoteza muda bure.

Mwana hip hop huyo wa Kenya alikuwa katika majibizano makali na wasanii wenzake wa hip hop nchini humo; King Kaka, Jones, Khaligraph na Juliani.

Katika mahojiano na redio USIU ya nchini humo, alisema anapotaka kusaka mkwanja ataendelea kuusaka na hatotumia muda wake kujibizana.

 

10 years ago

Bongo5

Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache

Rapper Stamina anaamini kuwa tasnia ya filamu nchini inashindwa kwenda mbele zaidi kutokana na waigizaji wengi kutokuwa na vipaji bali wanatafuta umaarufu na pesa. Stamina amesema anashindwa kukaa na kuangalia filamu za siku hizi kwakuwa zimekosa waigizaji mahiri. “Unajua kuangalia filamu kuna raha yake kama utakuta waigizaji ambao wanajua kazi yao. Sio o hawa wanaotafuta […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Sauti nzito kwenye kima huficha udhaifu

Sauti nzito za kima huenda huwa ni njia ya kuficha udhaifu kwenye nguvu za uzazi, wanabiolojia wanasema.

 

9 years ago

TheCitizen

Kudos for traffic police ‘clean-up’

The decision by the Police to sack, demote, reassign and transfer some of their traffic officers to instil discipline as well as end endemic corruption within the force deserves a big pat on the back.

 

5 years ago

Capital FM

Harry Styles ‘Shaken Up’ After Being ‘Robbed At Knife Point’ On Valentine’s Night

Harry Styles ‘Shaken Up’ After Being ‘Robbed At Knife Point’ On Valentine’s Night  Capital FMHarry Styles: Singer 'mugged at knifepoint' in Hampstead on Valentine's Day  BBC NewsHarry Styles mugged at knifepoint in London on Valentine's Day  Daily MailHarry Styles ‘robbed at knifepoint’ in north London  The IndependentHarry Styles threatened at knifepoint for his cash on Valentine's Day  Mirror OnlineView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Michuzi

Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro

Na Magreth Kinabo
WANANCHI   wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa  sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno  ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana  na  Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha   Rose Migiro wakati  wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana  wanaoishi katika mazingira hatarishi  ya WAMA  Nakayama, iliyopo  wilayani Rufiji...

 

9 years ago

BBC

The significance of Sarah Baartman

The extraordinary, appalling story of Sarah Baartman

 

10 years ago

GPL

SARAH MVUNGI: ROSE MUHANDO HAJIELEWI

Mayasa mariwata Staa wa nyimbo za Injili ambaye pia ni mwigizaji wa sinema za Kibongo, Sarah Mvungi amefunguka juu ya mwimbaji mwenzake, Rose Muhando kutaka kuhama Ukristo na kurudi kwenye Uislam. Akibonga na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Sarah alistaajabu kauli ya Rose kuwa tangu amekuwa Mkristo amekuwa akiandamwa na misukosuko mingi kiasi cha kukata tamaa na kutamani kurejea kwenye dini yake ya awali ya Uislam. ...Soma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani