Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Octopizzo: Sitajibu ubaya kwa ubaya

octoMSANII wa Kenya, Octopizzo amesema hatorekodi wimbo wa kuponda wabaya wake kwa kuwa kuendeleza ubaya kwa ubaya ni kupoteza muda bure.

Mwana hip hop huyo wa Kenya alikuwa katika majibizano makali na wasanii wenzake wa hip hop nchini humo; King Kaka, Jones, Khaligraph na Juliani.

Katika mahojiano na redio USIU ya nchini humo, alisema anapotaka kusaka mkwanja ataendelea kuusaka na hatotumia muda wake kujibizana.

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music Video: Linex — Wema Kwa Ubaya

Linex Sunday Mjeda ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Wema Kwa Ubaya’, video ambayo imeongozwa na Adam Juma (AJ) wa Visual Lab: Next Level. Itazame

 

9 years ago

Bongo5

Mrisho Mpoto amliza Vanessa Mdee…lakini si kwa ubaya!

mpoto n vee

Sio kila siku unaweza kuamka na furaha na kila kitu kikawa sawa. Kuna nyakati ambazo mtu unaweza kujikuta hauko vizuri kutokana na baadhi ya mambo yako kukwama.

mpoto n vee

Katika hali kama hii binadamu huhitaji kitu kidogo tu kama maneno ya kutia moyo kutoka kwa mtu unayemuheshimu, ambayo yanaweza kuirudisha furaha iliyokuwa imepotea kwa muda.

Ujumbe wa pongezi kwa muimbaji wa ‘Never Ever’ Vanessa Mdee umegeuka kuwa faraja kwa Vee Money ambaye kwa mujibu wa post yake ya Instagram siku ya leo Dec 8...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Tazama teaser ya video mpya wa Linex ‘Wema Kwa Ubaya’

“Mungu ni Wa ajabu hata ukiwa mtenda mabaya ukirudisha moyo wako nyuma anasamehe na kusahau”, hayo ni baadhi ya maneno katika wimbo mpya wa Linex uitwao ‘Wema Kwa Ubaya’ ambao anatarajia kuutoa. Kuna dalili nyingi sana za wimbo huu wa hisia kuteka mioyo ya wengi, na ukitaka kufahamu sababu basi tazama sekunde 30 za video […]

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU MRS BARKE M. UBAYA


index
MRS BARKE M. UBAYA LEO UMETIMIZA MIAKA MIWILI TANGU UTUTOKE DUNIANI SISI TULIO HAI BADO TUNAKUKUMBUKA KWA UPOLE UCHESHI NA UKARIMU WAKO UNAKUMBUKWA NA MUMEO BW.MWINYI UBAYA WANAO SALAMA NA RAHMA MAMA YAKO FAMILIA YA MAGOHA NA UBAYA JIRANI NA MARAFIKI INSHA'ALLAH M MUNGU AKUSAMEHE MAKOSA YAKO AMIN INNA LILLAH WA INNA LILLAH RAJIUN

 

11 years ago

Mwananchi

Kila kona ubaya England

Arsenal inaongoza Ligi Kuu ya England katika raundi hii ya 12, wakiwa mbele kwa pointi tano kwa wapinzani wake wa karibu Liverpool na Chelsea.

 

10 years ago

GPL

UZURI NA UBAYA WA MUME WA MTU!

HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Tumekutana tena kwa mara nyingine ili tuweze kupeana mawili matatu yanayohusu uhusiano wa kimapenzi na maisha ndani ya ndoa. Kabla sijaingia chumba cha habari na kuandika makala haya, nilifanya utafiti mdogo kwa kuwashirikisha marafiki, wanafunzi na watu wengine walio na uzoefu wa maisha ya kimapenzi na baadaye kubaini sababu kadhaa zinazowafanya wasichana kupenda waume za watu....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uzuri, ubaya wa choo cha kukaa

BAADHI ya watu huwa hawapendi kujadili mambo yanayohusiana na kinyesi kwa kudai ni jambo la siri na aibu. Kwa wanadamu wote tunapozungumzia ‘choo’ huwa tuna maana ya kinyesi, ijapokuwa neno...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani