Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Sauti nzito kwenye kima huficha udhaifu

Sauti nzito za kima huenda huwa ni njia ya kuficha udhaifu kwenye nguvu za uzazi, wanabiolojia wanasema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Darassa: Kuachia redioni wimbo wa kwenye mixtape ni udhaifu

12142383_447607855445800_816074488_n

Rapper Darassa amesema kama angeamua kutoa wimbo kutoka kwenye mixtape yake kama wimbo rasmi, angeonesha udhaifu mkubwa.

12142383_447607855445800_816074488_n

Akizungumza kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, rapper huyo alisema ana uwezo wa kutengeneza nyimbo nyingi kali na nyimbo za mixtape zitabaki kuchezwa mtaani peke yake.

“Kweli mixtape yangu watu wanaipenda sana na kila wakisikiliza napata comments zao, lakini maana ya kufanya mixtape ni kuonesha mashabiki wangu nina uwezo kiasi gani wa kufanya chochote kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Udhaifu wa Kiswahili ulivyojikita kwenye vyombo vya habari

Inafahamika kuwa Tanzania ni kitovu cha lugha ya Kiswahili na hili halina ubishi. Kutokana na hali hii, mataifa mengi yenye taasisi za lugha kama vituo vya kufundisha Kiswahili na utamadani wake vinaitegemea sana Tanzania kama chanzo cha taaluma ya Kiswahili.

 

9 years ago

Bongo5

Roma: Mfumo wa ulipaji mirahaba unaenda kutuingiza kwenye ‘vita’ nzito

12105229_1668899886720358_1089964568_n

Roma anahisi mfumo wa vyombo vya habari kulipa mirahaba kutokana na uchezaji kazi za wasanii utakaoanza January utachimba kaburi kwa muziki wa Tanzania.

12105229_1668899886720358_1089964568_n

Tunaingia katika vita ambayo tutawapoteza wapiganaji wetu wengi sana mahiri na wale watakaosalimika ni wachache sana!! Na sio kama watasalimika kwakuwa wanajua saaaana kupigana au wanazijua mbinu za kivita No. Ni kwakuwa tu walipewa silaha zote za kujilinda na kupambana!!

Na hawa mahiri waliingia vitani wao kama wao na Mungu wao bila...

 

9 years ago

Mtanzania

Sarah: ‘Make-up’ huficha ubaya wa sura za wasanii

SARA MAPUNDA (2)NA GEORGE KAYALA

MREMBAJI wa sura za waigizaji wanapokuwa katika harakati za upigaji picha za filamu zao, Sarah Mapunda, amesema kuwa ‘make-up’ husaidia kuficha ubaya wa sura za baadhi ya wasanii wa filamu.

Aliongeza kwamba urembo huwabadilisha wasanii na kuwaweka katika mvuto zaidi ndiyo maana wasiporembwa hushangaza wanapokutana na mashabiki wao kwa kuwa baadhi yao huonekana tofauti na sura zao halisi baada ya kuwafanyia ‘make-ups’.

“Kwa muda mrefu nimekuwa nikiwafanyia make-up wasanii wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sauti za wanawake zisikike kwenye katiba

DHANA ya kwamba wanawake hawawezi kushiriki katika vyombo vya uamuzi na hivyo kuamuliwa kila kitu na wanaume imepitwa na wakati. Lazima wanaume na baadhi ya wanawake wenyewe waliokuwa na fikra...

 

10 years ago

Mtanzania

Bajeti ya Elimu yakita kwenye utafiti

kilangoNa Mauli Muyenjwa, Dar es Salaam
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Anne Kilango amesema bajeti ya wizara hiyo ya mwaka wa fedha 2015/2016 inaongeza fungu kwa ajili ya utafiti.
Hayo aliyasema Dar es Salaam jana, alipofungua mkutano wa tatu wa wanasayansi mbalimbali nchini ulioandaliwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS).
Alisema sekta ya utafiti ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya taifa lolote duniani hivyo wizara yake imeona umuhimu wa kuiwezesha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kima cha chini kiongezwe

LEO ni Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani, ambapo wafanyakazi wa Tanzania wanaungana na wenzao ulimwenguni kote kusherehekea siku hii. Kwa namna ya pekee kabisa, Mkurugenzi Mtendaji na uongozi wote wa Kampuni...

 

11 years ago

CloudsFM

ZITTO KABWE AINGIZA SAUTI KWENYE WIMBO MPYA WA LINEX

Staa wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda hivi karibuni ataandika historia kwa kutambulisha video ya ngoma yake “wema kwa ubaya” katika ukumbi flani na tukio hilo kuonyeshwa live kwenye tv station mbili nchini Tanzania, na katika ngoma hiyo itaskika sauti ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mheshimiwa Zito Kabwe.Kwa mara ya kwanza pia linex ameweka rekodi kwa kumlipa mkwanja mrefu director Adam Juma next lavel ambaye hivi karibuni aliwahi kufunguka kuwa tangu aanze kazi yake hajawahi kulipwa zaidi...

 

10 years ago

Mwananchi

Chaka Khan: Sauti iliyoacha historia kwenye miondoko ya Funk

Unapozungumzia muziki wa Funk, hutatenda haki kwa mashabiki ikiwa hutamtaja Chaka Khan ambaye ni miongoni mwa wasanii waliowahi kufanya vizuri kwenye miondoko hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani