Bajeti ya Elimu yakita kwenye utafiti
Na Mauli Muyenjwa, Dar es Salaam
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Anne Kilango amesema bajeti ya wizara hiyo ya mwaka wa fedha 2015/2016 inaongeza fungu kwa ajili ya utafiti.
Hayo aliyasema Dar es Salaam jana, alipofungua mkutano wa tatu wa wanasayansi mbalimbali nchini ulioandaliwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, (MUHAS).
Alisema sekta ya utafiti ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya taifa lolote duniani hivyo wizara yake imeona umuhimu wa kuiwezesha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s640/unnamed%2B(64).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
11 years ago
Michuzi08 May
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Wadau wa elimu wayazungumzia matokeo ya utafiti wa Uwezo
11 years ago
Mwananchi04 Jul
UTAFITI: ‘Sheria ya elimu inachochea ndoa za utotoni’
10 years ago
Mwananchi09 May
Inashangaza wabunge kulipua Bajeti ya Elimu
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Utafiti: Wananchi wanataka gesi isaidie afya, elimu
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Tanzania yaongoza kwa bajeti kiduchu ya elimu
IMEELEZWA kuwa Tanzania ni nchi inayotenga bajeti ndogo katika sekta ya elimu barani Afrika ukilinganisha na nchi nyingine na kusababisha kushuka kwa kiwango cha elimu nchini. Hayo yamebainishwa jana na...
10 years ago
Mwananchi02 Jun
Upinzani, Kamati ya Bunge waifumua bajeti ya Elimu