Wadau wa elimu wayazungumzia matokeo ya utafiti wa Uwezo
Wakati sera ya Elimu ya Mwaka 1995 inayotumika sasa inataka mtoto anayemaliza darasa la pili awe na uwezo wa kusoma na kufanya hesabu za darasa la kwanza na pili, matokeo ya utafiti uliofanywa na Uwezo iliyo chini ya asasi isiyo ya kiserikali ya Twaweza yanaonyesha lengo hilo limekuwa halifikiwi shuleni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s72-c/download.jpg)
NECTA yatoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne
![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s1600/download.jpg)
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyotangazwa Februari 21 mwaka huu ambayo ni viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla wa mtahiniwa.
Akitoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam Kaimu Katibu mtendaji wa Baraza hilo Dakta CHARLES MSONDE amesema viwango vya ufaulu ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuweka pamoja...
10 years ago
BBCSwahili21 May
Paracetamol yaathiri uwezo wa kuzalisha:Utafiti
Utafiti umebaini kuwa matumizi ya Paracetamol kwa siku 7 unapunguza uzalishaji wa homoni za kiume na uwezo wa watoto mvulana kuzalisha baadaye
11 years ago
Mwananchi16 May
Utafiti: Pombe huchochea hamu, uwezo wa kula zaidi
>Taasisi ya kimataifa ya uwiano wa uzito na lishe ya Slimming World yenye makao yake makuu nchini Uingereza, imefanya uchunguzi kuhusu watu wanaokunywa pombe na kubaini kuwa inawaongezea kasi ya kula kupita kiasi ndani ya saa 24.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq*NNJVtmwykCmYPAQ68AsKZ12UiDk3qXzF0nc4hlB48oPujWVSVwFs3xI6eN3aprUePMexn4aK4vq48XePikaQr/IMG20141117WA0006.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI AWATUNUKU VYETI WADAU WA ELIMU
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenester Mhagama akiongea na Global TV Online leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar wakati wa kutunuku vyeti wadau wa elimu. Wanahabari wakimhoji Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Rosemary Lulabuka baada ya zoezi la kutunuku vyeti wadau wa elimu leo kwenye Hoteli ya…
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
WaterAid yawajengea uwezo wadau wa afya ya ulezi na uzazi
Nathaniel Limu, Singida
VITENDO...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania