Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadau wa elimu wayazungumzia matokeo ya utafiti wa Uwezo

Wakati sera ya Elimu ya Mwaka 1995 inayotumika sasa inataka mtoto anayemaliza darasa la pili awe na uwezo wa kusoma na kufanya hesabu za darasa la kwanza na pili, matokeo ya utafiti uliofanywa na Uwezo iliyo chini ya asasi isiyo ya kiserikali ya Twaweza yanaonyesha lengo hilo limekuwa halifikiwi shuleni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.

Washiriki wa Semina ya wadau watakaoshiriki katika Utafiti wa Ujifunzaji wa Watoto (Wanafunzi) walio na Umri kati ya Miaka Saba hadi 16 katika Kusoma Kiswahili, Kiingereza na Kufanya Hesabu inayofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime kuanzia leo Septemba 22,2015 hadi kesho Septemba 23, 2015 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Enock Waitara (Wa pili kushoto Waliokaa) ambae ni Afisa Elimu Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...

 

11 years ago

Michuzi

NECTA yatoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne

Na Hellen kwavava
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyotangazwa Februari 21 mwaka huu ambayo ni viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla wa mtahiniwa.
Akitoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam Kaimu Katibu mtendaji wa Baraza hilo Dakta CHARLES MSONDE amesema viwango vya ufaulu ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuweka pamoja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Paracetamol yaathiri uwezo wa kuzalisha:Utafiti

Utafiti umebaini kuwa matumizi ya Paracetamol kwa siku 7 unapunguza uzalishaji wa homoni za kiume na uwezo wa watoto mvulana kuzalisha baadaye

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti: Pombe huchochea hamu, uwezo wa kula zaidi

>Taasisi ya kimataifa ya uwiano wa uzito na lishe ya Slimming World yenye makao yake makuu nchini Uingereza, imefanya uchunguzi kuhusu watu wanaokunywa pombe na kubaini kuwa inawaongezea kasi ya kula kupita kiasi ndani ya saa 24.

 

10 years ago

GPL

NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI AWATUNUKU VYETI WADAU WA ELIMU

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenester Mhagama akiongea na Global TV Online leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar wakati wa kutunuku vyeti wadau wa elimu. Wanahabari wakimhoji Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Rosemary Lulabuka baada ya zoezi la kutunuku vyeti wadau wa elimu leo kwenye Hoteli ya…

 

10 years ago

Dewji Blog

WaterAid yawajengea uwezo wadau wa afya ya ulezi na uzazi

DSC00416

Mkurugenzi wa masuala ya fedha, uchumi na misaada wa shirika la WaterAid Tanzania, Juliet Kayendeke, akizungumza kwenye ufunguzi wa warsha ya siku mbili, iliyohusu kuwajengea uwezo wasimamizi wa mradi wa kuimarisha haki na kuboresha afya ya wanawake, wasichana na watoto katika halmashauri ya wilaya ya Iramba na manispaa ya Singida. Mradi huo wa miaka mitatu,unatarajiwa kukamilika baada ya miaka mitatu na unatarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi bilioni moja.

Nathaniel Limu, Singida

VITENDO...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani