WAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Washiriki wa Semina ya wadau watakaoshiriki katika Utafiti wa Ujifunzaji wa Watoto (Wanafunzi) walio na Umri kati ya Miaka Saba hadi 16 katika Kusoma Kiswahili, Kiingereza na Kufanya Hesabu inayofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime kuanzia leo Septemba 22,2015 hadi kesho Septemba 23, 2015 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Enock Waitara (Wa pili kushoto Waliokaa) ambae ni Afisa Elimu Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2Jhx8l-1L1E/Xm2-F73IsMI/AAAAAAALjsk/aCqIdWSGq_QCuckT4BegeSwtJsBTBXmHACLcBGAsYHQ/s72-c/a3d9931f-b021-490e-ba1f-4e3e9397d96c.jpg)
WAZIRI WA MADINI ALITAKA SHIRIKA LA MAENDELEO LA TAIFA (NDC) KUVITAMBUA VIPAJI NA UWEZO WAANZILISHI WA VIWANDA ILI KUWAJENGEA UWEZO
Biteko ameyasema hayo alipotembelea kiwanda kidogo cha kulainisha chuma kilichopo katika kata ya Lubonde wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kinachomilikiwa na Bw. Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) na kuona uwezo wake katika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-r3HQiCNJh3U/UvsuJ1cxFCI/AAAAAAAFMf4/0yK1oET-v6M/s72-c/unnamed+(91).jpg)
HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO YA WADADISI NA WAHARIRI WA MADODOSO YA UTAFITI WA WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WA MWAKA 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-r3HQiCNJh3U/UvsuJ1cxFCI/AAAAAAAFMf4/0yK1oET-v6M/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yipcnojKnIc/UvsuKHTKRMI/AAAAAAAFMf8/2lEeqD2qXco/s1600/unnamed+(94).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-F0BQ3BLXbUM/XrbQ5-_JAfI/AAAAAAALpmQ/pUzwKfY5jiw1tQJTFUrTQYno27qS3HYVwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200509_084648.jpg)
ASKARI MPWAPWA WAJENGEWA UWEZO KUHUSU MPANGO WA POLISI WA KATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-F0BQ3BLXbUM/XrbQ5-_JAfI/AAAAAAALpmQ/pUzwKfY5jiw1tQJTFUrTQYno27qS3HYVwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200509_084648.jpg)
Mkuu wa Kamisheni ya Ushirikishwaji wa Jamii, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, SACP ENXGELBERT KIONDO akizungunza na askari wa Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma alipokwenda kuwajengea uwezo kuhusu Mpango wa Polisi Kata kama utendaji wa kazi za Polisi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z9V8OBgWQF0/XrbQ544LHkI/AAAAAAALpmM/kuD_lz09xSInWQ3sLt2CuWrWpNk_6n8YgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200509_084747.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GIvNB09q1tE/XrbQ6utuvWI/AAAAAAALpmU/TaQ7SM6jugM9Trgl44Oap8QNbWH5_DPwQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200509_092132_Burst03.jpg)
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA MIFUKO YA HIFADHI ZA JAMII TANZANIA WAJENGEWA UWEZO WA UTENDAJI KAZI.
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Tamasha la Msafara lafana Ifakara, vijana wengi wajengewa uwezo wa kutimiza ndoto zao
Baadhi ya vijana wakiwa wanaendelea kufanya usafi maeneo ya Uwanja wa Taifa wa Ifakara eneo ambapo Tamasha hilo la Msafara lilifanyika.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Bw. Yahya Naniya(aliyevaa miwani) akiwa katika ushiriki wa kufanya usafi kaika uwanja wa Taifa wa Ifakara
Mwenyekiti wa Maandalizi wa Msafara kutoka TYDC James Isdore akielezea maana ya msafara kwa wakazi wa Ifakara
Baadhi ya wakazi wa Ifakara wakiendelea kusikiliza kinacho endelea
Mbunge wa Kilombero...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S_aDV7Gr4YM/UvN0vw1qGrI/AAAAAAAFLLo/RC9Sevn7NuI/s72-c/unnamed+(53).jpg)
KAMISHNA WA SENSA ATOA SOMO KWA WADADISI NA WAHARIRI WA MADODOSO YA UTAFITI WA WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI 2014 KUZINGATIA MAADILI NA WELEDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-S_aDV7Gr4YM/UvN0vw1qGrI/AAAAAAAFLLo/RC9Sevn7NuI/s1600/unnamed+(53).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KAOHuS9KJS0/UvN0v0WTmJI/AAAAAAAFLLs/5bpuPfZa-00/s1600/unnamed+(54).jpg)