Tamasha la Msafara lafana Ifakara, vijana wengi wajengewa uwezo wa kutimiza ndoto zao
Baadhi ya vijana wakiwa wanaendelea kufanya usafi maeneo ya Uwanja wa Taifa wa Ifakara eneo ambapo Tamasha hilo la Msafara lilifanyika.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Bw. Yahya Naniya(aliyevaa miwani) akiwa katika ushiriki wa kufanya usafi kaika uwanja wa Taifa wa Ifakara
Mwenyekiti wa Maandalizi wa Msafara kutoka TYDC James Isdore akielezea maana ya msafara kwa wakazi wa Ifakara
Baadhi ya wakazi wa Ifakara wakiendelea kusikiliza kinacho endelea
Mbunge wa Kilombero...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eWr9LwHSL5E/VISlsyEHRGI/AAAAAAAG1zQ/U5GTsC9996k/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Watoto wanaolelewa katika kituo cha mwandaliwa waazimia kutimiza ndoto zao
![](http://3.bp.blogspot.com/-eWr9LwHSL5E/VISlsyEHRGI/AAAAAAAG1zQ/U5GTsC9996k/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
Mbali na kozi hiyo anaungana na wenzake wanne wanaolelewa pamoja katika kituo cha Mwandaliwa kusoma kozi ya ushonaji ili ndoto yake isipotimia awe na ujuzi mbadala wa kuendesha biashara ya ushonaji.
“Nachukua mafunzo ya ushonaji wa nguo ili nisipofanikiwa katika fani ya ndoto yangu au...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQkkpDlxzLbMiLJcgZugZLb2MuFR*LdkXXY8G2E8x-x10KKZ3RlEr4n4ggxGXSLwwPQ*usD51s*c376PPuldG0qS/001.Mwandaliwa.jpg?width=650)
WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KITUO CHA MWANDALIWA WAAZIMIA KUTIMIZA NDOTO ZAO
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Vijana wengi wapata mafunzo juu ya maisha na kujiajili katika Kongamano la Msafara lililofanyika UDSM
Msanii wa sanaa za Maonesho Vanensia Shule, ambaye pia ni Mkufunzi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam upande wa sanaa na Filamu akielezea jinsi Sanaa inavyoweza kumkomboa kijana na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-F0BQ3BLXbUM/XrbQ5-_JAfI/AAAAAAALpmQ/pUzwKfY5jiw1tQJTFUrTQYno27qS3HYVwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200509_084648.jpg)
ASKARI MPWAPWA WAJENGEWA UWEZO KUHUSU MPANGO WA POLISI WA KATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-F0BQ3BLXbUM/XrbQ5-_JAfI/AAAAAAALpmQ/pUzwKfY5jiw1tQJTFUrTQYno27qS3HYVwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200509_084648.jpg)
Mkuu wa Kamisheni ya Ushirikishwaji wa Jamii, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, SACP ENXGELBERT KIONDO akizungunza na askari wa Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma alipokwenda kuwajengea uwezo kuhusu Mpango wa Polisi Kata kama utendaji wa kazi za Polisi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z9V8OBgWQF0/XrbQ544LHkI/AAAAAAALpmM/kuD_lz09xSInWQ3sLt2CuWrWpNk_6n8YgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200509_084747.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GIvNB09q1tE/XrbQ6utuvWI/AAAAAAALpmU/TaQ7SM6jugM9Trgl44Oap8QNbWH5_DPwQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200509_092132_Burst03.jpg)
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA MIFUKO YA HIFADHI ZA JAMII TANZANIA WAJENGEWA UWEZO WA UTENDAJI KAZI.
10 years ago
GPLBONANZA LA KUTIMIZA MIAKA 9 YA KUNDI LA JAKAYA THEATRE LAFANA!
9 years ago
StarTV04 Dec
Waandishi wa habari wajengewa uwezo Mtwara kuandika Habari Za Gesi Na Mafuta
Mradi wa kuwajengea uwezo waandishi wa habari wanaoandika habari za gesi na mafuta katika nchi tatu za Afrika, Tanzania, Uganda na Ghana unaoendeshwa na chama cha waandishi wa habari za Mazingira JET pamoja na wadau wengine umeanza kuzaa matunda baada ya kuwepo kwa ongezeko la habari zinazogusa sekta hiyo mpya hapa nchini.
Katika awamu ya pili ya mafunzo hayo kwa waandishi wa habari wanane wa Tanzania ambao hapo awali walihudhuria mafunzo hayo mjini Accra Ghana, imebainishwa kuwa tangu...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Sitta: Ninagombea uenyekiti kutimiza ndoto ya Rais