Watoto wanaolelewa katika kituo cha mwandaliwa waazimia kutimiza ndoto zao
![](http://3.bp.blogspot.com/-eWr9LwHSL5E/VISlsyEHRGI/AAAAAAAG1zQ/U5GTsC9996k/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Tunu Jamal (17) hivi sasa anasoma kozi ya kutimiza ndoto yake ya kuwa Ofisa Ugavi katika Chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology na ameanzia ngazi ya cheti ili akifanya vizuri aweze kujiendeleza zaidi.
Mbali na kozi hiyo anaungana na wenzake wanne wanaolelewa pamoja katika kituo cha Mwandaliwa kusoma kozi ya ushonaji ili ndoto yake isipotimia awe na ujuzi mbadala wa kuendesha biashara ya ushonaji.
“Nachukua mafunzo ya ushonaji wa nguo ili nisipofanikiwa katika fani ya ndoto yangu au...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQkkpDlxzLbMiLJcgZugZLb2MuFR*LdkXXY8G2E8x-x10KKZ3RlEr4n4ggxGXSLwwPQ*usD51s*c376PPuldG0qS/001.Mwandaliwa.jpg?width=650)
WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KITUO CHA MWANDALIWA WAAZIMIA KUTIMIZA NDOTO ZAO
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MAFUTA YA PANONE YAWAKUMBUKA WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KITUO CHA GABRIELA CHA MJINI MOSHI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL
10 years ago
VijimamboDC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Tamasha la Msafara lafana Ifakara, vijana wengi wajengewa uwezo wa kutimiza ndoto zao
Baadhi ya vijana wakiwa wanaendelea kufanya usafi maeneo ya Uwanja wa Taifa wa Ifakara eneo ambapo Tamasha hilo la Msafara lilifanyika.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Bw. Yahya Naniya(aliyevaa miwani) akiwa katika ushiriki wa kufanya usafi kaika uwanja wa Taifa wa Ifakara
Mwenyekiti wa Maandalizi wa Msafara kutoka TYDC James Isdore akielezea maana ya msafara kwa wakazi wa Ifakara
Baadhi ya wakazi wa Ifakara wakiendelea kusikiliza kinacho endelea
Mbunge wa Kilombero...
9 years ago
MichuziWATOTO YATIMA WA KITUO CHA VALENTINE CHILDREN HOME WAPIMWA AFYA ZAO
11 years ago
GPLYATIMA KITUO CHA MWANDALIWA WAWEZESHWA KUANZISHA MRADI WA KUJIPATIA KIPATO
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Watoto Yatima wsa kituo cha Valentine Children Home wapatiwa huduma za upimaji wa afya zao bure!
Muhudumu wa afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha alafa kilichopo tandika Dar es salaam Bi, Latifa Masasi wa pili akimpima afya mtoto Lovenes Masawe kulia ni nesi Mary Hongoli
Muhudumu wa afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha alafa kilichopo tandika Dar es salaam Bi, Latifa Masasi wa pili mpima mtoto Nuru Edward wa kituo cha kulea watoto yatima cha Valentine children home kilichopo yombo buza kulia ni mtoto Clara Olimpia nae akihudumiwa na nesi Mary Hongoli
watoto waliojitokezwa...
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Ololosokwan wajiweka tayari kutimiza ndoto ya kijiji cha dijitali
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues aliposimama kwenye Kijiji cha Ngeresero kwa ajili ya kuwaungisha wanawake wa kimasai wanaofanya biashara ya kuuza bidhaa mbalimbali za shanga kwa watalii wanaosimama kwenye kijiji hicho kwa ajili ya kupata mahitaji mbalimbali, wakati akielekea kijiji cha Ololosokwan kilichopo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kukagua miradi mbalimbali inayofadhiliwa na shirika...