Ololosokwan wajiweka tayari kutimiza ndoto ya kijiji cha dijitali
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues aliposimama kwenye Kijiji cha Ngeresero kwa ajili ya kuwaungisha wanawake wa kimasai wanaofanya biashara ya kuuza bidhaa mbalimbali za shanga kwa watalii wanaosimama kwenye kijiji hicho kwa ajili ya kupata mahitaji mbalimbali, wakati akielekea kijiji cha Ololosokwan kilichopo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kukagua miradi mbalimbali inayofadhiliwa na shirika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Feb
Ololosokwan wapigwa msasa kukitumia vyema kijiji cha dijitali
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin Yusuph akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues (aliyeipa mgongo kamera) wakati wa ukaguzi wa mwisho wa eneo la mradi wa kijiji cha digitali wa Samsung unaoendeshwa na UNESCO lilitolewa na serikali ya kijiji. Katikati ni Mwenyekiti wa kijiji cha Ololosokwan...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0022.jpg)
OLOLOSOKWAN WAPIGWA MSASA KUKITUMIA VYEMA KIJIJI CHA DIJITALI
10 years ago
Dewji Blog14 Nov
Unesco, Samsung kujenga kijiji cha digitali Ololosokwan
Mwakilishi mkazi shirika la UNESCO nchini Bi. Zulmira Rodrigues na Mkurugenzi wa Samsung Electronics nchini Tanzania, Bw. Mike Seo wakibadilishana nyaraka za makubaliano hayo yaliyofanyika ofisi za UNESCO.
Na Mwandishi wetu
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limetiliana saini mkataba na kampuni ya elektroniki ya Samsung ya ujenzi wa kijiji cha digitali cha Ololosokwan, Loliondo.
Makubaliano hayo yalitiwa saini hivi karibuni kati ya Mwakilishi mkazi...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0062.jpg)
UNESCO, SAMSUNG KUJENGA KIJIJI CHA DIGITALI OLOLOSOKWAN
10 years ago
Michuzi04 Mar
OLOLOSOKWAN WAFURAHIA UJIO WA KIJIJI CHA DIGITALI ENEO LAO
![DSC_0003](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_00031.jpg)
Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa kikundi kazi cha sekta ya Tehama, Al Amin Yusuph akiwasilisha mrejesho wa kazi ya kikundi chake wakati wa kuhitimisha warsha ya wiki moja ikiwa ni sehemu ya mandalizi ya utekelezaji wa mradi wa kijiji cha kidigitali Ololosokwan wilayani Ngorongoro mkoani Arusha.(Picha na zote Zainul Mzige wa modewjiblog)
Na Mwandishi Wetu
WAKAZI wa kijiji cha...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_00031.jpg)
OLOLOSOKWAN WAFURAHIA UJIO WA KIJIJI CHA DIGITALI ENEO LAO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eWr9LwHSL5E/VISlsyEHRGI/AAAAAAAG1zQ/U5GTsC9996k/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Watoto wanaolelewa katika kituo cha mwandaliwa waazimia kutimiza ndoto zao
![](http://3.bp.blogspot.com/-eWr9LwHSL5E/VISlsyEHRGI/AAAAAAAG1zQ/U5GTsC9996k/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
Mbali na kozi hiyo anaungana na wenzake wanne wanaolelewa pamoja katika kituo cha Mwandaliwa kusoma kozi ya ushonaji ili ndoto yake isipotimia awe na ujuzi mbadala wa kuendesha biashara ya ushonaji.
“Nachukua mafunzo ya ushonaji wa nguo ili nisipofanikiwa katika fani ya ndoto yangu au...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQkkpDlxzLbMiLJcgZugZLb2MuFR*LdkXXY8G2E8x-x10KKZ3RlEr4n4ggxGXSLwwPQ*usD51s*c376PPuldG0qS/001.Mwandaliwa.jpg?width=650)
WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KITUO CHA MWANDALIWA WAAZIMIA KUTIMIZA NDOTO ZAO
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Sitta: Ninagombea uenyekiti kutimiza ndoto ya Rais