YATIMA KITUO CHA MWANDALIWA WAWEZESHWA KUANZISHA MRADI WA KUJIPATIA KIPATO
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwasili katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandaliwa kilichopo Bunju, jijini Dar es salaam. Vodocom ilitemebela kituoni hapo kukakidhi hundi ya Sh. 20 kutoka Vodacom Foundation kusaidia mradi wa ushonaji na ufugaji unaondeshwa na kituo hicho. Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Jamii…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eWr9LwHSL5E/VISlsyEHRGI/AAAAAAAG1zQ/U5GTsC9996k/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Watoto wanaolelewa katika kituo cha mwandaliwa waazimia kutimiza ndoto zao
![](http://3.bp.blogspot.com/-eWr9LwHSL5E/VISlsyEHRGI/AAAAAAAG1zQ/U5GTsC9996k/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
Mbali na kozi hiyo anaungana na wenzake wanne wanaolelewa pamoja katika kituo cha Mwandaliwa kusoma kozi ya ushonaji ili ndoto yake isipotimia awe na ujuzi mbadala wa kuendesha biashara ya ushonaji.
“Nachukua mafunzo ya ushonaji wa nguo ili nisipofanikiwa katika fani ya ndoto yangu au...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQkkpDlxzLbMiLJcgZugZLb2MuFR*LdkXXY8G2E8x-x10KKZ3RlEr4n4ggxGXSLwwPQ*usD51s*c376PPuldG0qS/001.Mwandaliwa.jpg?width=650)
WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KITUO CHA MWANDALIWA WAAZIMIA KUTIMIZA NDOTO ZAO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_OUtqzMgaq4/VfeS75GeusI/AAAAAAAH43g/pDlM3PaHYqw/s72-c/Pix%2B1.jpg)
VIJANA WAMETAKIWA KUTUMIA MAZINGIRA YANAYOWAZUNGUKA KUJIPATIA KIPATO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_OUtqzMgaq4/VfeS75GeusI/AAAAAAAH43g/pDlM3PaHYqw/s320/Pix%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Wv2rpi0lkk/VfeTAKv906I/AAAAAAAH434/8RZ2oGpmXfw/s640/Pix%2B5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qx7vJDZvSto/VfeTDShWkDI/AAAAAAAH44A/9pcpMmHBN7I/s640/Pix%2B6.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Washiriki wa Shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 wabuni mbinu za kujipatia kipato
Ni siku ya 14 ambapo mampema kabisa washiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula Msimu wa nne 2015 linaloendeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow na yenye kauli yake ya Wekeza kwa wakulima wadogo wadogo wanawake inalipa , na Kipindi ambacho kinaruka katika Luninga yako kupitia Chanel ya ITV kuanzia saa 12:30 jioni na Marudio saa 11:30 za asubuhi , Katika siku hii Mama Shujaa wa Chakula wanatoka na kuelekea mabondeni kufuata udongo wa Mfinyanzi kwa ajili ya kuja kutengeneza vitu...
11 years ago
MichuziTANZANIA NA MALAWI ZASAINI MKATABA WA KUANZISHA KITUO CHA PAMOJA CHA UHAMIAJI NA USHURU WA FORODHA
10 years ago
MichuziKITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI ORPHANAGE CENTER CHA POKEA ZAWADI NA MSAADA WA MAANDALIZI YA KRISMASI KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF.
10 years ago
CloudsFM29 Dec
JOKATE ATOA MISAADA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA EXTREME
Miss Tanzania namba mbili 2006, mwanamitindo na mcheza filamu, Jokate Mwegello, akicheza na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima cha Extrem cha Tandale kwa Bi Mwamvua Jumanne, alipotembelea kuwapa zawadi ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya. Zawadi alizotoa ni mchele, unga wa sembe, sabuni na ndala zenye nembo za Kidoti.
Jokate Mwegello, akicheza na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima cha Extrem cha Tandale kwa Bi Mwamvua Jumanne.
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
TSSF kuanzisha kituo cha maendeleo
SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Tanzania Social Support Foundation (TSSF), la mjini Mtwara, limefungua kituo cha maendeleo kwa ajili ya Kanda ya Kusini Mashariki, Centre for Development in South-Eastern (CDSET)....