TANZANIA NA MALAWI ZASAINI MKATABA WA KUANZISHA KITUO CHA PAMOJA CHA UHAMIAJI NA USHURU WA FORODHA
Na Ally Kondo, Lilongwe Nchi za Afrika zimehimizwa kufanya biashara baina yao ili kujiletea maendeleo, badala ya kusubiri misaada isiyokuwa na uhakika kutoka nchi wahisani. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum (Mb) wakati wa hafla ya uwekaji saini Mkataba wa kuanzisha Kituo cha Pamoja cha Uhamiaji na Ushuru wa Forodha cha Songwe - Kasumulu kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Malawi. Uwekaji saini huo ulifanyika Lilongwe, Malawi leo Jumatatu tarehe 10 Machi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MTX6__NDvDY/Xlzf3sJw40I/AAAAAAACz2U/SjimRpBX-FQGTKsz8o2CMPJbzoJcXL84gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU: HAJARIDHISHWA NA UJENZI WA JENGO LA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA YA FORODHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MTX6__NDvDY/Xlzf3sJw40I/AAAAAAACz2U/SjimRpBX-FQGTKsz8o2CMPJbzoJcXL84gCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
“Jengo hili kuta tayari zimeshaanza kuvimba, kwa nini majengo ya TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania) yanajengwa kwa kiwango cha chini na kwa nini mmeruhusu majengo haya yatumike,” amehoji Waziri Mkuu.
Kufuatia hali hiyo Waziri Mkuu amemtaka Afisa Miliki wa TRA, Bw. Haruna...
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebc98k8dWa0/Vg1je5XS_eI/AAAAAAAH8Nw/Jq5mzxltNS8/s72-c/k1.jpg)
JUST IN: KITUO CHA MICHEZO CHAENDELEA KUJIZATITI Aliyekuwa Kocha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza aja Tanzania kuongoza kituo cha vijana cha michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebc98k8dWa0/Vg1je5XS_eI/AAAAAAAH8Nw/Jq5mzxltNS8/s640/k1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g8Pcwf5OgxU/U288bmIru8I/AAAAAAAAYFM/EbLLH3fGX4Y/s72-c/TMT+TVP.jpg)
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
Polisi yavamia kituo cha ukusanyaji taarifa cha TACCEO na kukamata maafisa 36 pamoja na vifaa
Wakili Imelda – Lulu Urio Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC.
Na Mwandishi wetu
Mtandao wa Asasi za Kiraia za Kuangalia chaguzi nchini jana ulipata pigo katika mwendelezo wake wa kukusanya taarifa juu ya mchakato wa uchaguzi mkuu wa 2015 kama unavyoendelea nchi nzima baada ya Jeshi la Polisi kuvamia kituo cha kukusanya taarifa kilichopo katika ofisi za Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu ofisi ya Mbezi Beach.
Tukio hilo lisilo la kawaida lilitokea Majira ya saa nane mchana baada ya polisi...
10 years ago
StarTV12 Jan
Ujenzi wa kituo cha ushuru Rusumo, TANROADS yalalamikiwa.
Na Mariam Emily,
Rusumo.
Baadhi ya wananchi katika mpaka wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera, wamelalamikia wakala wa barabara nchini TANROADS kutokuwa makini katika usimamizi wa ujenzi wa kituo cha ushuru wa forodha katika mpaka huo, ambacho wanadai kimejengwa chini ya kiwango ukilinganisha na kile cha nchi jirani ya Rwanda, ambavyo vyote vimejengwa kwa ufadhili wa serikali ya Japan kwa gharama ya dola za kimarekani milioni thelathini na mbili.
Wananchi hao wametoa malalamiko hayo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7JcyW5fAGTg/VItHiJvazxI/AAAAAAACwYQ/UP6Gyi5p-1g/s72-c/01.jpg)
Tanzania yasaini mkataba wa Sh. bilioni 15.5 kutoka benki ya ADB kuboresha kituo cha utafiti MUHAS.
![](http://2.bp.blogspot.com/-7JcyW5fAGTg/VItHiJvazxI/AAAAAAACwYQ/UP6Gyi5p-1g/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LXDjioyJfts/VItHlPvYdlI/AAAAAAACwYg/41byjXYvSRk/s1600/02.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
TSSF kuanzisha kituo cha maendeleo
SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Tanzania Social Support Foundation (TSSF), la mjini Mtwara, limefungua kituo cha maendeleo kwa ajili ya Kanda ya Kusini Mashariki, Centre for Development in South-Eastern (CDSET)....
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19
Kituo cha Mazoezi cha Home Gym…
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.
Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...