WAZIRI WA MADINI ALITAKA SHIRIKA LA MAENDELEO LA TAIFA (NDC) KUVITAMBUA VIPAJI NA UWEZO WAANZILISHI WA VIWANDA ILI KUWAJENGEA UWEZO
![](https://1.bp.blogspot.com/-2Jhx8l-1L1E/Xm2-F73IsMI/AAAAAAALjsk/aCqIdWSGq_QCuckT4BegeSwtJsBTBXmHACLcBGAsYHQ/s72-c/a3d9931f-b021-490e-ba1f-4e3e9397d96c.jpg)
Waziri wa Madini Dotto Biteko amelitaka shirika la maendeleo la taifa (NDC)kujipa muda wa kuvitambua vipaji na uwezo walionao waanzilishi mbalimbali wa viwanda na kuona wanawasaidiaje katika kukuza uwezo wao badala ya kukimbilia kuulizia vibali au leseni ya shughuli zao.
Biteko ameyasema hayo alipotembelea kiwanda kidogo cha kulainisha chuma kilichopo katika kata ya Lubonde wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kinachomilikiwa na Bw. Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) na kuona uwezo wake katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
10 years ago
Habarileo22 Feb
Mradi wa kuwajengea uwezo vijana wazinduliwa
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, amezindua mradi wa kuwajengea uwezo vijana katika ujasiriamali.
10 years ago
Vijimambo22 May
TAMWA Kuwajengea Uwezo Waandishi Uandishi Habari za Uchaguzi
![Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Gradness Munuo akizungumza na baadhi ya Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari leo jijini Dar es Salaam katika mkutano na wahariri hao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_00191.jpg)
![Sehemu ya wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiwa katika mkutano ulioandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) na kufanyika leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0005.jpg)
![Sehemu ya wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiwa katika mkutano ulioandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) na kufanyika leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_00071.jpg)
10 years ago
MichuziWananchi waishukuru serikali kuwajengea uwezo wa kupunguza athari za maafa ya ukame
Wananchi wa Wilayani Same katika kata ya Hedaru, Makanya na Vunta wameishukuru serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya uratibu maafa, kwa kuwajengea uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame ambao umekuwa ukizisumbua kata hizo Kutokana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa kujengea jamii uwezo wa kukabili maafa ya ukame imefanikiwa kujenga uwezo huo kupitia vikundi vya maendeleo...
5 years ago
MichuziSACCOS 90 KANDA YA KATI ZAPATIWA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO VIONGOZI WAO
Viongozi wa SACCOS Kanda ya Kati wakishiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyoandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika hapa nchini.
Washiriki wa mafunzo hayo wakiwa katika picha ya pamoja.
Na Ismail Luhamba, Singida
ZAIDI ya SACCOS 90 za Mikoa ya Kanda ya Kati zimepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa viongozi wa SACCOS yatakayosaidia kuharakisha mchakato wa upatikanaji wa leseni za vyama vyao.
Mafunzo hayo yanayofanyika nchi nzima yametolewa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika hapa nchini...
10 years ago
Michuzi26 Sep
MAMA SALMA AHUTUBIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS WA UN WA KUWAJENGEA UWEZO WANAWAKE NA WASICHANA KIFEDHA
![IMG_2587](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/cZ2ufpNGsspBGQ_QIpUUN78YJpFvlpH2TDd9Fq7KYX-hkRfoRVFr4zUhY8f9sEkt8DODgOokWQm3rv0qjmsIRDxmCOBWgvizzelR4Z9hTkUsrwYxScEs7s_OReE=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/IMG_2587.jpg)
![IMG_2605](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/sSsdWKZeS6sODzF5xGunThvH3K4vuOOd8pxKfs65GRRP5PixJ2svd0k2ltKddYksft0Byr9jQGVke3GLycXzxBuavdwZtoErlsjk9R6HMlqOWYBX-_F8OgKRngo=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/IMG_2605.jpg)
11 years ago
Dewji Blog22 Jun
Warsha ya kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu uandishi wa habari za kitakwimu yafanyika mkoani Morogoro
Mkurugenzi wa Takwimu za Kijamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Morice Oyuke (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Morogoro leo wakati akifungua Warsha ya siku moja ya kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu namna bora ya kuandika habari za kitakwimu. Kulia ni Meneja wa Takwimu za Pato la Taifa, Daniel Masolwa.
Meneja wa Takwimu za Pato la Taifa, Daniel Masolwa (kulia), akitoa mada katika warsha hiyo. Kushoto ni Watakwimu, Stephano Cosmas na Hashim Njowele.
10 years ago
MichuziMhe .Ummy Mwalimu Aendesha Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Wasichana wa Wilaya ya Muheza - Tanga
10 years ago
VijimamboZAIDI WANAFUNZI 100 WAPEWA SEMINA YA KUWAJENGEA UWEZO KUANZA SAFARI YA MASOMO KATIKA VYUO VIKUU VYA INDIA NA CHINA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10