Paracetamol yaathiri uwezo wa kuzalisha:Utafiti
Utafiti umebaini kuwa matumizi ya Paracetamol kwa siku 7 unapunguza uzalishaji wa homoni za kiume na uwezo wa watoto mvulana kuzalisha baadaye
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Utafiti:Paracetamol hufupisha maisha
10 years ago
Mtanzania09 Mar
Utafiti: Paracetamol hufupisha maisha ya binadamu
MWANDISHI WETU NA MASHIRIKA YA HABARI
MATUMIZI ya kila siku ya dawa za kupunguza maumivu za paracetamol huongeza hatari ya ugonjwa wa moyo, kiharusi na kufupisha maisha ya binadamu, utafiti mpya umeonya.
Paracetamol hupendelewa zaidi na madaktari wengi hudai zi salama kulinganisha na aspirin, ambayo imehusishwa na kuvuja damu tumboni na ibuprofen iliyohusishwa na magonjwa ya moyo na kiharusi.
Lakini watafiti wa Uingereza waliofanya uchunguzi huo uliowahusisha wagonjwa 666,000 wanasema hatari...
10 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Tanzania ina uwezo wa kuzalisha mchele kutosheleza soko la EAC
11 years ago
Mwananchi30 Oct
Utafiti: Tanzania kinara wa kuzalisha mpunga A. Mashariki kwa asilimia 65
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Wadau wa elimu wayazungumzia matokeo ya utafiti wa Uwezo
11 years ago
Mwananchi16 May
Utafiti: Pombe huchochea hamu, uwezo wa kula zaidi