Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Tanzania kinara wa kuzalisha mpunga A. Mashariki kwa asilimia 65

Licha ya taarifa mbalimbali kuonyesha kuwa zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania wameajiriwa na sekta ya kilimo, hali ya sekta hiyo bado si ya kuvutia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ripoti: Tanzania kinara wa utumwa A.Mashariki

Ripoti mpya ya kimataifa kuhusu hali ya utumwa duniani imeitajaTanzania kuongoza Afrika Mashariki kwa kuwa na zaidi ya watu 350,000 wanaotumikishwa maeneo mbalimbali nchini.

 

9 years ago

Bongo5

Utafiti: Upungufu wa nguvu za kiume huongeza hatari ya kupoteza maisha mapema kwa asilimia 70

Anorgasmia

Ni kitu kinachofedhehesha ambacho huathiri shughuli ya mwanaume kitandani.

Anorgasmia

Lakini sasa, wanasayansi wameonya kuwa upungufu wa nguvu za kiume ambao kitaalam hujulikana kama (erectile dysfunction) unaweza kuwa na athari katika maisha ya mwanaume.

Wamebaini kuwa wanaume wenye matatizo hayo wana asilimia 70 ya kufa mapema. Hii ni kwasababu tatizo hilo lina uhusiano na magonjwa ya moyo.

Kwa kawaida, upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ukichukuliwa kama kitu kinachoathiri watu wenye umri mkubwa....

 

5 years ago

Michuzi

JIJI LA DAR KINARA WA MAPATO, LAKUSANYA ASILIMIA 78 YA MAKISIO YA MWAKA


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akitangaza taarifa ya ukusanyaji wa mapato ya vyanzo vya ndani vya halmashauri kwa kipindi cha Julai 2019 hadi Machi 2020.


Charles James, Michuzi TV

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam limeongoza kundi la halmashauri za Majiji kwa kukusanya mapato kwa asilimia 78 ya makisio ya mwaka huku Jiji la Dodoma likiwa la mwisho katika kundi la majiji kwa kukusanya asilimia 55 ya makisio yake ya mwaka.

Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu asilimia 66-LHRC

Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk Helen Kijo-Bisimba Sunday, September 27, 2015 Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema asilimia 60 ya uvunjifu wa haki za binadamu nchini unafanywa na vyombo vya dola huku asilimia […]

The post Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu asilimia 66-LHRC appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

BBCSwahili

Paracetamol yaathiri uwezo wa kuzalisha:Utafiti

Utafiti umebaini kuwa matumizi ya Paracetamol kwa siku 7 unapunguza uzalishaji wa homoni za kiume na uwezo wa watoto mvulana kuzalisha baadaye

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti: Asilimia 15 ya wanawake hukeketwa

>Jana dunia iliadhimisha Siku ya Kutokomeza Ukeketaji. Lengo hasa la uwepo wa siku hiyo ambayo kwa kawaida huadhimishwa kila mwaka ifikapo Februari 6, ni kutafakari njia zaidi ya kupambana na changamoto za ukeketaji.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Tanzania kinara kutoweka wazi nyaraka za bajeti kwa wananchi’

TANZANIA imeelezwa kuwa nchi inayoongoza kwa kutoweka bajeti zake wazi kwa wananchi na hivyo kurudisha nyuma suala zima la uwajibikaji. Hayo yalielezwa jana Jijini Dar es Salaam na Kaimu Mkurugenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani