Utafiti: Tanzania kinara wa kuzalisha mpunga A. Mashariki kwa asilimia 65
Licha ya taarifa mbalimbali kuonyesha kuwa zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania wameajiriwa na sekta ya kilimo, hali ya sekta hiyo bado si ya kuvutia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Ripoti: Tanzania kinara wa utumwa A.Mashariki
9 years ago
Bongo531 Dec
Utafiti: Upungufu wa nguvu za kiume huongeza hatari ya kupoteza maisha mapema kwa asilimia 70
![Anorgasmia](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Anorgasmia-300x194.jpg)
Ni kitu kinachofedhehesha ambacho huathiri shughuli ya mwanaume kitandani.
Lakini sasa, wanasayansi wameonya kuwa upungufu wa nguvu za kiume ambao kitaalam hujulikana kama (erectile dysfunction) unaweza kuwa na athari katika maisha ya mwanaume.
Wamebaini kuwa wanaume wenye matatizo hayo wana asilimia 70 ya kufa mapema. Hii ni kwasababu tatizo hilo lina uhusiano na magonjwa ya moyo.
Kwa kawaida, upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ukichukuliwa kama kitu kinachoathiri watu wenye umri mkubwa....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pAFgN7QmKZo/XqGM-opD5iI/AAAAAAALn_0/5kWQ2vjH3A8BEGc3r-KgHrVpN3ddj02QgCLcBGAsYHQ/s72-c/bb51cf43-7d05-46d9-9924-f017a3e6913f.jpg)
JIJI LA DAR KINARA WA MAPATO, LAKUSANYA ASILIMIA 78 YA MAKISIO YA MWAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pAFgN7QmKZo/XqGM-opD5iI/AAAAAAALn_0/5kWQ2vjH3A8BEGc3r-KgHrVpN3ddj02QgCLcBGAsYHQ/s640/bb51cf43-7d05-46d9-9924-f017a3e6913f.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akitangaza taarifa ya ukusanyaji wa mapato ya vyanzo vya ndani vya halmashauri kwa kipindi cha Julai 2019 hadi Machi 2020.
Charles James, Michuzi TV
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam limeongoza kundi la halmashauri za Majiji kwa kukusanya mapato kwa asilimia 78 ya makisio ya mwaka huku Jiji la Dodoma likiwa la mwisho katika kundi la majiji kwa kukusanya asilimia 55 ya makisio yake ya mwaka.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Sep
Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu asilimia 66-LHRC
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk Helen Kijo-Bisimba Sunday, September 27, 2015 Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema asilimia 60 ya uvunjifu wa haki za binadamu nchini unafanywa na vyombo vya dola huku asilimia […]
The post Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu asilimia 66-LHRC appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
BBCSwahili21 May
Paracetamol yaathiri uwezo wa kuzalisha:Utafiti
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Utafiti: Asilimia 15 ya wanawake hukeketwa
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
‘Tanzania kinara kutoweka wazi nyaraka za bajeti kwa wananchi’
TANZANIA imeelezwa kuwa nchi inayoongoza kwa kutoweka bajeti zake wazi kwa wananchi na hivyo kurudisha nyuma suala zima la uwajibikaji. Hayo yalielezwa jana Jijini Dar es Salaam na Kaimu Mkurugenzi...