Tanzania yaongoza kwa bajeti kiduchu ya elimu
IMEELEZWA kuwa Tanzania ni nchi inayotenga bajeti ndogo katika sekta ya elimu barani Afrika ukilinganisha na nchi nyingine na kusababisha kushuka kwa kiwango cha elimu nchini. Hayo yamebainishwa jana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Ruzuku ‘kiduchu’ zinaua elimu vyuo vya umma
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu
10 years ago
Mwananchi08 May
Mvua yasababisha Bajeti ya Elimu kupitishwa kwa kulipuliwa
10 years ago
MichuziTANZANIA YAONGOZA AFRIKA MASHARIKI KWA UWEKEZAJI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aRz-xSCkYIQ/VgpISkuB8gI/AAAAAAAH7r4/AWl37wt07E8/s72-c/images.jpg)
BENKI YA DUNIA: TANZANIA YAONGOZA DUNIANI KUTOA HUDUMA ZA PESA KWA SIMUTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aRz-xSCkYIQ/VgpISkuB8gI/AAAAAAAH7r4/AWl37wt07E8/s200/images.jpg)
TANZANIA ni nchi ya kwanza duniani kutoa huduma za pesa, kutoa mikopo na kutoa riba kwa kutumia mawasiliano ya simu, Benki ya Dunia imesema na kuongeza kuwa Tanzania ni moja ya masoko makubwa zaidi duniani ya kutoa huduma ya fedha kwa njia ya simu.
Benki hiyo ya Dunia pia imesema kuwa Serikali ya Tanzania imewekeza kwa kiwango cha juu katika mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) ikilinganishwa na nchi...
9 years ago
Habarileo05 Dec
Awamu ya 4 yaongoza fursa za elimu
SHIRIKA la Elimu la Hakielimu limezindua ripoti ya miaka 10 ya Serikali ya Awamu ya Nne iliyoongozwa na Rais Jakaya Kikwete, iliyobainisha kuwa ni awamu iliyofanya vizuri katika kupanua fursa za elimu kwa watoto wengi wa Kitanzania.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3DaUejesC5M/VGYeGmSZ4dI/AAAAAAAGxOQ/VPqsFsyGQcU/s72-c/TIC%2BADVERT%2BSWAHILI%2BVERSION.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Tanzania yaongoza duniani kutoa huduma za kifedha kwa simu
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
BENKI YA DUNIA: Tanzania yaongoza Duniani kutoa huduma za Pesa kwa simu za mkononi!
Picha ya Maktaba inavyoonesha namna ya huduma za kifedha zinavyofanyika kutoka simu ya mteja mmoja na kwenda kwa mteja mwingine kwa kutumiana pesa kwa njia hiyo ya simu za Mkononi, ambapo kwa Tanzania imekuwa kinara katika huduma hiyo.
TANZANIA ni nchi ya kwanza duniani kutoa huduma za pesa, kutoa mikopo na kutoa riba kwa
kutumia mawasiliano ya simu, Benki ya Dunia imesema na kuongeza kuwa Tanzania
ni moja ya masoko makubwa zaidi duniani ya kutoa huduma ya fedha kwa njia...