Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Awamu ya 4 yaongoza fursa za elimu

SHIRIKA la Elimu la Hakielimu limezindua ripoti ya miaka 10 ya Serikali ya Awamu ya Nne iliyoongozwa na Rais Jakaya Kikwete, iliyobainisha kuwa ni awamu iliyofanya vizuri katika kupanua fursa za elimu kwa watoto wengi wa Kitanzania.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yaongoza kwa bajeti kiduchu ya elimu

IMEELEZWA kuwa Tanzania ni nchi inayotenga bajeti ndogo katika sekta ya elimu barani Afrika ukilinganisha na nchi nyingine na kusababisha kushuka kwa kiwango cha elimu nchini. Hayo yamebainishwa jana na...

 

9 years ago

Michuzi

SHIVYAWATA WATAKA MAZINGIRA RAFIKI YA ELIMU KWA SERIKALI YA AWAMU YA TANO

 Mwenyekiti wa Taifa wa Shirikisho la Vyama Watu wenye Ulemavu Tanzania(SHIVYSWATA) Amon Anastaz Mpanju akizungumza na wandishi wa habari hawapo pichani juu ya kumpongeza  Rais   John Pombe Joseph Magufuli kwa kutimiza ahadi yake ya kuyajali  na kuyapa kipaumbele masuala ya watanzania wenye ulemavu kwa uteuzi wa Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi Vijana na Ajira  Dk.Abdallah Possy, kulia ni Mwekahazina Alias Masamaki Waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Taifa wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Taasisi 12 zanyimwa fursa kutoa elimu ya Katiba

Ofisi za wabunge na vyama vya siasa ni miongoni mwa asasi 12 zilizonyimwa fursa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kutoa elimu ya uraia kwa mpigakura kuhusu Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Michuzi

Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika - Ridhiwani Kikwete



Ridhiwani Kikiwete wakati wa mahojiano na Joseph Msami.(Picha:UM/Idhaa ya Kiswahili)Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya ujuzi kwa vijana inashangaza kuona kuwa baadhi ya vijana wanajishughulisha katika kujikwamua kiuchumi lakini wengi hawafahamu  kuhusu malengo ya maendelo ya milenia amesema mbunge kijana kutoka Tanzania Mhe. Ridhiwani Kikwete.Katika mahojiano na Joseph Msami alipotembelea makao makuu ya Umoja wa Mataifa hivi karibuni, mbunge huyo wa Chalinze mkoani Pwani anasema licha ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika: Ridhiwani Kikwete

Ridhiwani Kikiwete wakati wa mahojiano na Joseph Msami.(Picha:UM/Idhaa ya Kiswahili)
Ridhiwani Kikwete wakati wa mahojiano na Joseph Msami.(Picha:UM/Idhaa ya Kiswahili)Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya ujuzi kwa vijana inashangaza kuona kuwa baadhi ya vijana wanajishughulisha katika kujikwamua kiuchumi lakini wengi hawafahamu kuhusu malengo ya maendeleo ya milenia amesema mbunge kijana kutoka Tanzania Ridhiwani Kikwete.Katika mahojiano na Joseph Msami alipotembelea makao makuu ya Umoja wa...

 

5 years ago

Michuzi

MAAFISA MAWASILIANO WA WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA WATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO INAYOFADHILIWA NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO - MAEKANI

 Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala na Fedha (DVC(AF) Prof. Ernest Kihanga akitoa ufafanuzi kwa Maafisa Mawasiliano wa Wizara ya Elimu, kuhusu maendeleo ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa, mradi mpya ambao unahusisha ujenzi wa vyumba vya madarasa, kumbi za mikutano na ofisi za watumishi, eneo la Maekani Chuo Kikuu Mzumbe.  Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala na Fedha (DVC(AF) Prof. Ernest Kihanga akitoa  maelezo kwa Maafisa Mawasiliano wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia  kuhusu ujenzi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Sefu Iddi ataka jamii itumie fursa elimu ya juu

795

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiwa na Mwenyeji wake Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dr. Asha-Rose Migiro wakiliongoza Gwaride kulingia kwenye uwanja wa Mahafali ya 26 ya chuo kikuu huria cha Tanzania yaliyofanyika Makamu Makuu yake Bungo Kibaha, Mkoa wa Pwani.

Na Othman Khamis Ame

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia  fursa  inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT) katika kujipatia Taaluma  huku wakiendelea na...

 

9 years ago

StarTV

Walimu watakiwa kutumia fursa zao katika Utatuzi Changamoto Za Elimu

Walimu nchini wametakiwa watumie fursa walizonazo kutatua changamoto za elimu kwa kuwa taifa linawategemea kupata wataalam.

Katika mahafali ya chuo kikuu cha DUCE imeelezwa kuwa Serikali inajitahidi kusomesha walimu kwa kutumia kodi za wananchi lengo likiwa ni kuongeza fursa za ajira ya walimu kutokana na uhaba wa walimu hasa katika masomo ya Sayansi.

 Mgeni rasmi katika mahafali hayo Prof.   Martha  Mlau  amewtakaa wahitimu kutumia taaluma waliyoipata chuoni hapo, kwa kuwa taifa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Planet Core yaangalia fursa ya uwekezaji sekta ya elimu, mafuta na gesi Zanzibar

458

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya Uwekezaji ya Planet Core ya Nchini India hapo Nyumbani kwake Mazizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.Kati kati ni Mwenyekiti wa Timu ya Uongozi wa Planet Core Bwana Deepak Balaji na Kulia ni Rais wa Taasisi hiyo Bwana Dilip Kulmarni.

Na Othman Khamis Ame

Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na Miundo mbinu ya Elimu, Madini, mafuta na Gesi, nishati na mawasiliano ya Planet Core kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani