Balozi Sefu Iddi ataka jamii itumie fursa elimu ya juu
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiwa na Mwenyeji wake Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dr. Asha-Rose Migiro wakiliongoza Gwaride kulingia kwenye uwanja wa Mahafali ya 26 ya chuo kikuu huria cha Tanzania yaliyofanyika Makamu Makuu yake Bungo Kibaha, Mkoa wa Pwani.
Na Othman Khamis Ame
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT) katika kujipatia Taaluma huku wakiendelea na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Balozi Sefu Iddi abariki tamasha la 17 la ZIFF 2014 visiwani Zanzibar
Makamu wa Rais wa Pili wa Zanzibar, Balozi Sefu Ali Iddi akisalimiana na baadhi ya wageni alipowasili kwenye ufunguzi wa Tamasha la 17 la ZIFF Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya ZIFF Mh. Mahmoud Thabit Kombo.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Sefu Ali Iddi akisalimiana na Mgeni maalum mwalikwa mwigizaji wa filamu ya MANDELA “Long Walk to Freedom” Terry Pheto ambayo ilifungua tamasha hilo la 17 la ZIFF usiku wa kuamkia leo visiwani...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0157.jpg)
BALOZI SEFU IDDI ABARIKI TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014 VISIWANI ZANZIBAR
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Balozi Iddi ataka changamoto zijadiliwe
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, amesema changamoto zilizojitokeza katika ujenzi wa barabara ya Koani hadi Jumbi Wilaya ya Kati ikiwemo uchelewaji wa fedha za kuendesha...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QahIX3juL54/UvpzZ-5CgTI/AAAAAAAFMbo/6THt2meYwOg/s72-c/unnamed+(100).jpg)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA OMAN KUHUSU ELIMU YA JUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-QahIX3juL54/UvpzZ-5CgTI/AAAAAAAFMbo/6THt2meYwOg/s1600/unnamed+(100).jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Balozi Iddi afungua rasmi mkutano wa kikanda juu ya ukuaji wa miji ya Afrika Mashariki
Afisa mtendaji mkuu wa Taasisi ya Uongozi wa Afrika kwa Maendeleo Endelevu (UONGOZI Institute) Prof. Joseph Semboja, (Kulia) akimkaribisha Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mh. Balozi Seif Ali Iddi, (kushoto) kufungua rasmi Mkutano wa kikanda uliokutanisha viongozi na watunga sera kutoka nchi za Afrika mashariki, kuzungumzia changamoto za ukuaji wa miji na kushughulikia hali ya baadae ya miji ya Afrika mpaka ifikapo 2050, katikati ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick....
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gqUnkKm-2AQ/VL9ks1swKhI/AAAAAAACWAg/hIQjh-W-vNg/s72-c/900.jpg)
BALOZI IDDI APOKEA MAANDAMANO YA WAZAZI NA WANAFUNZI KUUNGA MKONO UCHANGIAJI WA ELIMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-gqUnkKm-2AQ/VL9ks1swKhI/AAAAAAACWAg/hIQjh-W-vNg/s640/900.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jkSV1Mj0UAc/VL9kuEVf3bI/AAAAAAACWAo/0Sz89S_-Lj0/s640/923.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0IWRN94b_NA/VHs-MB16YOI/AAAAAAAG0Vs/mesmgXffWrY/s72-c/752.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi awahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-0IWRN94b_NA/VHs-MB16YOI/AAAAAAAG0Vs/mesmgXffWrY/s1600/752.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x5T9Lo-Az6M/VHs-M-gOSMI/AAAAAAAG0V4/8npH6P5ZkGI/s1600/770.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b40b0j0koG4/VOnXRKB9XgI/AAAAAAAHFN8/BfcyqqTmASI/s72-c/196.jpg)
BALOZI SEIF IDDI MGENI RASMI KWENYE MAHAFALI YA SHUO CHA ELIMU YA BIASHARA PEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-b40b0j0koG4/VOnXRKB9XgI/AAAAAAAHFN8/BfcyqqTmASI/s1600/196.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ePkPcp6PBNs/VOnXRQFCZyI/AAAAAAAHFOA/HtgdRZe6o6g/s1600/203.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CDPo5hddbMU/VOnXP9Y-jSI/AAAAAAAHFNo/9QXlY1zkl1s/s1600/183.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KcOHm_n-31E/U_MarajqlKI/AAAAAAAGArY/UjO1jGuNT6Q/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Wazazi wana wajibu na ulazima wa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu bora - Balozi Seif Ali Iddi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa nasaha hizo wakati akizunghumza na Uongozi wa Kamati ya Skuli, walimu, Wazazi na Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A “ mara baada ya kuikagua na kuangalia maendeleo na changamoto zinazoikabili skuli hiyo.
Balozi Seif alisema elimu...