Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika: Ridhiwani Kikwete
Ridhiwani Kikiwete wakati wa mahojiano na Joseph Msami.(Picha:UM/Idhaa ya Kiswahili)
Ridhiwani Kikwete wakati wa mahojiano na Joseph Msami.(Picha:UM/Idhaa ya Kiswahili)Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya ujuzi kwa vijana inashangaza kuona kuwa baadhi ya vijana wanajishughulisha katika kujikwamua kiuchumi lakini wengi hawafahamu kuhusu malengo ya maendeleo ya milenia amesema mbunge kijana kutoka Tanzania Ridhiwani Kikwete.Katika mahojiano na Joseph Msami alipotembelea makao makuu ya Umoja wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi18 Jul
Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika - Ridhiwani Kikwete
![ms](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/xB_xK_4ZbrCP2CjiCaLZDp_VIYpJMOUfMG9dV4mIY9Yt4Rk2onn_RL-cLVpDiSY7e4mKB_75LZqhboKeBsqFcjVZzVpRQvJt5HmuRLYJ-YKi0dX6x9MwKr3VfzliTS7ZnbT8=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/07/ms.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Elimu ya uchaguzi inahitajika kwa vijana
HUU ni mwaka wa uchaguzi, ifikapo mwezi wa nane nchi itakuwa katika harakati za kutafutwa rais wa awamu ya tano kurithi kiti cha Rais Jakaya Kikwete.
Mbali ya nafasi ya rais, nafasi nyingine zitakazowaniwa ni Wabunge na Madiwani kujaza nafasi zinazoachwa au kupigania nafasi moja katika majimbo au kata.
Lakini Watanzania wengi ambao wanaaminiwa kupiga kura ili kupatikana maamuzi ya mwisho ya kuwaweka madarakani viongozi hao wanashindwa kutimiza wajibu wao wa kushiriki kupiga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hXj4gw9-MpPSsGgicAaqaxTggaSK-51VFpsDKW6CqGm0RAVEtxT8ADgtwgT3lLY19zQVx8S3Mgrxwy2ik5-0v4grym1lnTkE/BARABARADAR2.jpg?width=650)
ELIMU YA USALAMA BARABARANI INAHITAJIKA KWA WATANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lWrgtd2heug/Uz6VrCWFgmI/AAAAAAAFYYc/IAVh5E2G7Xs/s72-c/MMG27322.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE NA NIA YA KUWASAIDIA VIJANA WA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-lWrgtd2heug/Uz6VrCWFgmI/AAAAAAAFYYc/IAVh5E2G7Xs/s1600/MMG27322.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K64RQ5uESGg/Uz6Vtpzm5MI/AAAAAAAFYYk/9qz0WMRTJm8/s1600/MMG27311.jpg)
MGOMBEA ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, amesema akipata...
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA TAMASHA LA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA VIJANA KATIKA SHULE YA SEKONDARI WAMA NAKAYAMA
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUTUBIA MKUTANO WA ELIMU NA AFYA KWA VIJANA DUNIANI ULIOANDALIWA NA TAASISI YA MAMA SARAH BROWN
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Wataalam: Elimu ya kutosha inahitajika kupambana na Malaria