RIDHIWANI KIKWETE NA NIA YA KUWASAIDIA VIJANA WA CHALINZE
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wake na waandishi hao wakati akizungumzia mwenendo mzima wa Kampeni zake,leo April 4,2014,Nyumbani kwake Msoga.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete.
MGOMBEA ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, amesema akipata...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLRIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA KAMPENI CHALINZE
10 years ago
MichuziMH. RIDHIWANI KIKWETE KUHARAKISHA MAENDELEO CHALINZE
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Ridhiwani Kikwete kuharakisha maendeleo Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akihutubia wananchi katika Kijiji cha Changarikwa wakati wa ziara ya kikazi pamoja na kuwashukuru wananchi kwa kuchagua viongozi wa Seikali ya Kijiji wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.CCM imepata ushindi wa Vijiji vyote katika 74 katika jimbo hilo.
Ridhiwani akisisitiza jambo alipokuwa akihutubia katika kijiji hicho ambapo aliwataka kuacha tabia ya kukata miti ovyo kwa ajili ya mkaa ama sivyo vijiji vitageuka jangwa.
Mkazi wa...
11 years ago
GPLRIDHIWANI KIKWETE MWENDO MDUNDO JIMBO LA CHALINZE
11 years ago
Habarileo16 Mar
Ridhiwani Kikwete aanza kampeni kuwania Chalinze
WAKATI leo ni siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, mgombea wa ubunge katika uchaguzi mwingine mdogo jimboni Chalinze, Pwani kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete jana alianza kwa kishindo kampeni zake.
10 years ago
MichuziMbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ajiandikisha Msoga
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Ridhiwani Kikwete ambwaga madega ubunge Chalinze