Wataalam: Elimu ya kutosha inahitajika kupambana na Malaria
Elimu ndogo juu ya kupambana na mbu wanaoeneza ugonjwa wa Malaria ndio inachangia vita dhidi ya ugonjwa huo kuwa ngumu, imeelezwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
MSD: Tuna dawa za malaria za kutosha
PAMOJA na kuwepo malalamiko ya kukosekana kwa dawa za malaria katika hospitali mbalimbali nchini, Bohari ya Dawa (MSD), imesema ina dawa hizo za kutosha. Akizungumza na Tanzania Daima katika maadhimisho...
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Elimu ya uchaguzi inahitajika kwa vijana
HUU ni mwaka wa uchaguzi, ifikapo mwezi wa nane nchi itakuwa katika harakati za kutafutwa rais wa awamu ya tano kurithi kiti cha Rais Jakaya Kikwete.
Mbali ya nafasi ya rais, nafasi nyingine zitakazowaniwa ni Wabunge na Madiwani kujaza nafasi zinazoachwa au kupigania nafasi moja katika majimbo au kata.
Lakini Watanzania wengi ambao wanaaminiwa kupiga kura ili kupatikana maamuzi ya mwisho ya kuwaweka madarakani viongozi hao wanashindwa kutimiza wajibu wao wa kushiriki kupiga...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Kweli Operesheni Okoa Elimu inahitajika nchini
WAKATI wanafunzi waliomaliza darasa la saba wakijiandaa kuanza muhula wa kwanza wa kidato cha kwanza, tatizo la kufika kwenye shule za kata bado ni changamoto kutokana na kuwa mbali na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hXj4gw9-MpPSsGgicAaqaxTggaSK-51VFpsDKW6CqGm0RAVEtxT8ADgtwgT3lLY19zQVx8S3Mgrxwy2ik5-0v4grym1lnTkE/BARABARADAR2.jpg?width=650)
ELIMU YA USALAMA BARABARANI INAHITAJIKA KWA WATANZANIA
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Nguvu ya ziada inahitajika kukuza elimu nchini
10 years ago
Michuzi18 Jul
Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika - Ridhiwani Kikwete
![ms](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/xB_xK_4ZbrCP2CjiCaLZDp_VIYpJMOUfMG9dV4mIY9Yt4Rk2onn_RL-cLVpDiSY7e4mKB_75LZqhboKeBsqFcjVZzVpRQvJt5HmuRLYJ-YKi0dX6x9MwKr3VfzliTS7ZnbT8=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/07/ms.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Jul
Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika: Ridhiwani Kikwete
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/xB_xK_4ZbrCP2CjiCaLZDp_VIYpJMOUfMG9dV4mIY9Yt4Rk2onn_RL-cLVpDiSY7e4mKB_75LZqhboKeBsqFcjVZzVpRQvJt5HmuRLYJ-YKi0dX6x9MwKr3VfzliTS7ZnbT8=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/07/ms.jpg)
Ridhiwani Kikwete wakati wa mahojiano na Joseph Msami.(Picha:UM/Idhaa ya Kiswahili)Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya ujuzi kwa vijana inashangaza kuona kuwa baadhi ya vijana wanajishughulisha katika kujikwamua kiuchumi lakini wengi hawafahamu kuhusu malengo ya maendeleo ya milenia amesema mbunge kijana kutoka Tanzania Ridhiwani Kikwete.Katika mahojiano na Joseph Msami alipotembelea makao makuu ya Umoja wa...
9 years ago
Habarileo01 Oct
JK, mabilionea wa dunia kupambana na malaria
RAIS Jakaya Kikwete ameombwa na amekubali kujiunga na kundi la watu mashuhuri duniani wakiwemo viongozi wa Afrika, matajiri wa Marekani na watu wengine mashuhuri katika kutafuta majawabu ya kufuta ugonjwa wa malaria duniani kwa kuanzia na Bara la Afrika.